Elections 2010 Tamko rasmi la CCM kuhusu kuanguka kwa rais Kikwete

Elections 2010 Tamko rasmi la CCM kuhusu kuanguka kwa rais Kikwete

Wewe August wacha kuzua uongo kwa wenzako. Una kithibitisho gani? Jamani musichukue rumours mukazigeuza kuwa facts.
hizi kwako ni romours


Sakata la nyara za Serikali: Kada wa Kikwete lawamani


maalum.jpg

Na Mwandishi wetu - Imechapwa 08 September 2009

kinana_1.jpg



KAMPUNI ya uwakala iliyosafirisha kontena lililokuwa na meno ya tembo ambayo yalikamatwa nchini Vietnam, inamilikiwa na Mjumbe wa Kamati Kuu (CC) ya CCM, Abdulrahman Kinana, imefahamika.
Taarifa zinaonyesha kuwa Kinana anamiliki hisa 7,500 kati ya 10,000 za kampuni hiyo inayoitwa Sharaf Shipping Company iliyosajiliwa Dar es Salaam.
Mshirika mwenzake katika kampuni hiyo, Rahma Hussen anamiliki hisa 2,500 zenye thamani ya shilingi 1,000 kila moja.
Kwamujibu wa taarifa za usajili, wamiliki wote wawili, Kinana na Rahma wanapatikana kwa S.L.P 10910, Kiwanja Na. 403 Mtaa wa Tosamaganga, Msasani Peninsular, Dar es Salaam.
Nyaraka zilizopo katika ofisi ya Wakala wa Usajili wa Makampuni na Biashara (BRELA), zinaonyesha kuwa kampuni ya Kinana ilisajiliwa Oktoba 2003 na kupewa hati Na. 47221.
Sakata la kukamatwa kwa nyara hizo za serikali zilizosafirishwa na kampuni ya Sharaf Shipping Agency liliibuliwa bungeni kwa mara ya kwanza na mbunge wa Same Mashariki (CCM), Anne Kilango Malecela.
Hati ya kusafirisha makontena hayo mawili yaliyokuwa yamesheheni pembe za ndovu ilisainiwa na mfanyakazi mwenye asili ya India wa kampuni hiyo Samir Hemani.
Nyaraka zote zilionyesha kuwa kilichokuwa ndani ni plastiki zilizorudufiwa, wakati baada ya makontena kukamatwa, walikuta yamesheheni pembe za ndovu.
Taarifa zinasema kibali cha kusafirishwa kontena hilo kilisainiwa 13 Novemba 2008 na Meneja wa Fedha na Utawala wa Kampuni hiyo.
Wakati Hemani anasaini nyaraka hizo, kibali chake cha kuishi nchini tayari kilikuwa kimeshaisha. Kibali cha Hemani kiliisha 7 Mei 2008.
Makontena yalikamtwa nchini China yakisafirishwa kwenda Hong Kong.
Akichangia makadirio ya bajeti ya wizara ya Maliasili na Utalii ya mwaka 2009/2010, Kilango alisema utafiti wake umeonyesha kuwa makontena hayo yalipitia bandari ya Dar es Salaam na nyaraka zinaonyesha ndani kulikuwa na plastiki.
Kilango alisema nchi zinazoongoza kwa kupokea nyara kutoka Tanzania ni Phillipines, China, Singapore na Hong Kong.

Kutokana na kutopatikana kwa Kinana juzi kuzungumzia suala hilo, haikufahamika iwapo kampuni ya spika huyo wa zamani wa Afrika Mashariki au yeye mwenyewe, walijua kilichokuwamo katika makontena hayo. Lakini afisa mwandamizi katika wizara ya Viwanda na Biashara alisema kazi ya kukagua kilichomo kwenye kontena linalosafirishwa si ya wakala wa meli kwani wenye mamlaka na idhini ya kufanya hivyo ni Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Alisema wanaowajibika kusitisha mzigo kusafirishwa pindi wanapoutilia mashaka ni TRA.
"TRA ndio wanakagua na baada ya kujiridhisha kama kilichomo ndani ndicho kilichotamkwa kwenye nyaraka na ni halali, ndipo wanaweka muhuri (seal) wa mwisho," alisema afisa huyo.
"Ukitamka kwa mfano, kuwa katika nyaraka ndani ya kontena kuna matairi 40 ya magari, lazima TRA wafungue na kukagua kuona kama kweli yako matairi 40 au kitu kingine. Baada ya hapo wanaweka seal; sasa kuna kila sababu ya kujenga mashaka,” alieleza.
Alisema, "Wakala wa meli kazi yake ni kusafirisha mzigo wa mteja wake. Hata mteja akija na kontena tupu na kusema anataka liende nchi fulani, kazi yake ni kulipeleka kunakohusika na si kuhoji kilichomo.”
Alifafanua kuwa watu muhimu wa kuhojiwa na ambao wanaweza kuwa wanajua mchezo wote, kama upo, ni wafanyakazi wa TRA.
Hadi juzi Jumatatu hakukuwa na taarifa zozote za maofisa wa TRA kuhojiwa kuhusiana na sakata hilo.
 
Wewe August wacha kuzua uongo kwa wenzako. Una kithibitisho gani? Jamani musichukue rumours mukazigeuza kuwa facts.
haya ndio maslahi ya tanzania yanayo simamimiwa na Kinana?
Home
1px.gif
Our Profile
1px.gif
Mission & Vision
1px.gif
Guiding Tenets & Values
1px.gif
Our Strategy
1px.gif
Shipping
1px.gif
Retail
1px.gif
Travel & Tourism
1px.gif
Air Cargo
1px.gif
IT Services
1px.gif
Logistics
1px.gif
Distribution
1px.gif
Real Estate
1px.gif
Financial Services
1px.gif
Sharaf Industries
1px.gif
Careers
1px.gif
Contact Us
1px.gif
1px.gif
news.JPG
1px.gif
1px.gif
1px.gif
banner_ad_4.gif
1px.gif
1px.gif
1px.gif
1px.gif
Shipping
1px.gif
bullet2.gif
Representation of major shipping lines and ship owners across Middle East, East and South Africa and India
shipping.gif
1px.gif
bullet2.gif
Ship Owners and Ship Management Services
1px.gif
bullet2.gif
Project Cargo Handling
1px.gif
bullet2.gif
Logistics
1px.gif
bullet2.gif
Ship Operators
1px.gif
bullet2.gif
Container Feeder Services
1px.gif
bullet2.gif
Chartering and Brokering
1px.gif
Located In : UAE, India, Oman, Qatar, Bahrain, Saudi Arabia, Kuwait, South Africa, Kenya, Tanzania, Ethiopia, Djibouti,
Sri Lanka, Mozambique, Uganda and Iraq. Home
1px.gif
Our Profile
1px.gif
Mission & Vision
1px.gif
Guiding Tenets & Values
1px.gif
Our Strategy
1px.gif
Shipping
1px.gif
Retail
1px.gif
Travel & Tourism
1px.gif
Air Cargo
1px.gif
IT Services
1px.gif
Logistics
1px.gif
Distribution
1px.gif
Real Estate
1px.gif
Financial Services
1px.gif
Sharaf Industries
1px.gif
Careers
1px.gif
Contact Us
1px.gif
1px.gif
news.JPG
1px.gif
1px.gif
1px.gif
banner_ad_4.gif
hapa ndipo napo kumbuka habari ya mwanakijiji na yule brigedia wa dubai kuhusu richmond nk, tunasubiri tu kurudishwa utumwani
1px.gif
1px.gif
1px.gif
1px.gif
Shipping
1px.gif
bullet2.gif
Representation of major shipping lines and ship owners across Middle East, East and South Africa and India
shipping.gif
1px.gif
bullet2.gif
Ship Owners and Ship Management Services
1px.gif
bullet2.gif
Project Cargo Handling
1px.gif
bullet2.gif
Logistics
1px.gif
bullet2.gif
Ship Operators
1px.gif
bullet2.gif
Container Feeder Services
1px.gif
bullet2.gif
Chartering and Brokering
1px.gif
Located In : UAE, India, Oman, Qatar, Bahrain, Saudi Arabia, Kuwait, South Africa, Kenya, Tanzania, Ethiopia, Djibouti,
Sri Lanka, Mozambique, Uganda and Iraq.
 
Na kwa taarifa zaidi nenda popote pale dunia hii ukutane na wahindi na wasomali watakuuliza uwezekano wa wao kununua ardhi, na kufanya biashara tanzania, wakisha jizatiti ndio mila na desturi zao wanaziingiza katika nchi, je unakumbuka hawa jamaa walikuwa wana jazana pale mnazi moja na mafiata yao? je walipotelea wapi?, kwanini kwa sasa hawafurukuti kwa saana? sasa ngoja ukaribishe hiyo ajali ndipo utakapo shtuka.
kwa mfano hiyo jumuia ya agakhan , wanasema ni kiongozi wa kidini aliye uhamishoni, wewe uliona wapi kiongozi wa kidini akashindwa kuka kwao? huoni hilo ni jambo la ajabu? halafu ndio ana biashara hizo za mahoteli, hospitali, shule kwa ajili ya watu wake, kwanini hiyo dini isiwe kwa wote na wamatumbi? maana uislamu, na ukristo wamatumbi wamo.
 


Spin masters kama kawaida yao!

Wanasema angefika Mwanza asubuhi mpaka sasa hivi hajafika bado sijui asubuhi haijaisha? Why not take a rest mkuu??????????????????



Kauli rasmi ya Chama Cha Majambazi ambacho kiongozi wake ana kifafa na anategemea sukari ili azinduke.
 
Last edited by a moderator:
JK Rais kipenzi cha watu, ametenda mambo mengi katika miaka mitano iliyopita, kupambana na rushwa na ufisadi ni mengi kati ya mengi, ujenzi wa shule za sekondari,vyuo vikuu, barabara za lami, changarawe, ameimarisha demokrasia, utawala bora ndo usiseme, uhuru wakuabudu, kuandika na kutoa habari, wasanii na michezo,kaboresha na amejipanga kutoa ajira zaidi ya awali, chagua JK kwa maisha bora na maendeleo ya Taifa. Chagua CCM. Pamoja twasonga mbele.

Ndugu taratibu basi. Yaani umejiunga leo leo halafu umeshakunya mabandiko 80 na ushee? Khaaaaaa!!!!!
 
rumours ya kitu gani?

you need to be absolutely stupid to believe that kind of crap. Wanadhani watanzania tutaendelea kuwa wajinga miaka yote. Every political lie starts as a rumor and every truth starts with a rumor as well. So anything is possible. Did Nyerere ever fell like that? DId Mwinyi or Mkapa for that matter? fool can't fool me again.
 
Ndugu taratibu basi. Yaani umejiunga leo leo halafu umeshakunya mabandiko 80 na ushee? Khaaaaaa!!!!!

Hahahah ahaha heehe umeona eeh?

Sasa naamini JK pamoja na kujifanya he doesn't care with wht is going on the net lakini bado anaumia. Na of course ni kawaida ya mapopulist wa kibongo kudhani na kutaka kupendwa na kila mtu.

Sasa naanza kuamini kuna watu wametumwa humu kujaribu kuneutralize namna JK anavyochambuliwa. Wanasahau kwamba mijadala mingi humu kwenye JF ni based on facts.
 
watasema weee lakini wapi issue ni kuwa RAIS WA TANZANIA AMEANGUKA, tena hii ni mara ya tatu, tunajua sababu zipo lakini ukweli unabaki pale pale RAIS KIKWETE KAANGUKA MARA YA TATU HADHARANI kuanguka kwingine akiwa peke yake ni SIRI YAKE lakini KIKWETE AMEANGUKA
 
Back
Top Bottom