Tamko Rasmi la Gerrad Hando

What goes around comes around huyu kipindi kile aliwasnitch Fina na Masudi wakatemwa
 
Atawika tena jamaa ana kaudadisi flani flani ivi ka kukosoa indirect na kananogesha kipindi kiukweli so pale lazima papwaye tu tena hadi PJ kudadis kutaboa

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Mwambie
Hayo ni maswala binafsi je keshawahi kuendesha kipindi akiwa chakari? Katika hii dunia iliyojaa binadamu Ukianza kutafuta miongoni mwao apatikane malaika inawezekana malaika huenda ni wewe huna dhambi
huyo mpuuzi
 
Atawika tena jamaa ana kaudadisi flani flani ivi ka kukosoa indirect na kananogesha kipindi kiukweli so pale lazima papwaye tu tena hadi PJ kudadis kutaboa

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums

Clouds tangu 1999 haijawahi kupwaya, Wanakuja na kuondoka wengi sana. Ruge kichwa yake imetulia sana anajua anachofanya. Ila nimependa wamemalizana kistaarabu. Aliondoka Gadner na Masoud bado haikuyumba, Jaydee akajaribu kutikisa Mbuyu kwa Ncha ya vidole matokeo yake imekuwa kama kituo cha Taifa kunachotumika na Rais
 
Clouds has to a large extent become irrelevant. What with bigoted managers like Ruge. Nilisikiliza zile fursa ngapi sijui, aaaarrggghhh just ordinary stuff. Surprisingly Ruge thinks he was being brilliant. Aendelee kuwaramba tu mabinti pale. Ndio interview zake
 
"FREQUENCY MPYA SOON"...NAHISI ITAKUWA AZAM KATIKA REDIO YAO "U FM"
 
Hivi mmekaa kusikiliza radio tu kutwa nzima?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…