Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
-
- #241
sasa we ulitaka tuombe dawa wakati hatuumwi alaaaaa tutaomba bia Tu sie labda uifunge pm
Wifi naona hujui gubu langu teh
unalijua gubu la ndugu wa mume lakini?hapa ndio kwao
Nashukuru kwa kunipunguzia jam ndo maana nakupendaga sema tu wewe unampenda dada ako zaidi...
Kuanzia sasa nasaliti kambi ya dada, natangaza kampeni za kukupenda wewe daima
Hahahaa wifi bhana...biere tu??? tungeomba nanihii ndo ingekuwaje?
Aaah labda sio wewe
Maweeeee.....!:A S embarassed::A S embarassed:
namm nataka nitoe warning kwa wanao kufuatafuata. Kwahyo itulie kwangu
Ha ha ha naona kwenye movement ya #say no to beer begger nipo mwenyewe
hebu ninunulie kwanza bia ili tuongee lugha moja
Hahahaha kwenda Bar na wewe ni msala, tusije tukashikana mashati bure.. Nitakurushia kwenye M-Pesa ukapate bia 2,3 hapo bar ya jirani haha
Basi vema kwakua sasa umejua
karibu tena
Lakini na wewe acha uchoyo, si wanasema kizuri kula na nduguyo,
Hebu nipe namba nijiridhishe :A S shade:
Kuna post za mwanzo kabisa pale kuna mtu umemuignore kabisa.. Na mtu huyo najua ndio tabia yake kubwa hahahaha
check Pm nimekutumia NMB account no.
Sijakataa lakini si unajua sharti la kula ni lazma uliwe?