Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
-
- #261
Hahaaaa hatare unakaba mpka pumzi....acha wa2 wale nao mana mpnz cku hizi kusaidiana tu...nipe wawili nikusaidie kuanzia bia,whisky n kodi zao
Poa binamu ngoja nikupe wawili
teh teh teh.....kwani siku hizi naonana na watu?
Ulinzi shirikishi at weki :A S shade:Hahahahaha lol
Watu wakali na vyao 
Ulinzi shirikishi at weki :A S shade:
Hahaahhaha nimependa hiyo security ntakukodi lol
Kichwa cha habari chajieleza,
Kuhongwa rep power sio tiketi ya kuombea na bia, kama mna kiu na bia mtafute hela zenu, muombe kwa wazazi au wame zenu. Mambo ya kuomba hela ya bia kwa shemeji yenu sitaki tena mkome alaaah mie mwenyewe hizo bia nina kiu nazo msijitie kuhoji kwanini sijaongea nae jibu ni kwasababu nimeona mafuriko ya kuomba omba yamezidi nimeamua kusema kama vipi namie mnipe namba na wanaume zenu wanipe hizo hela za bia kubafu
Sitaki mazoea kwa baby wangu sitaki sitaki mfowadiane pm kwa anaehitaji kumjua
Nb: Tamko halina mjadala
Ha ha ha ha haya bana
Mweeh! Yamekufika hapa
Majanga!
Wafi angu mie....
Shosti umevurugwa.........khaaa........
Wala sio kuvurugwa bwana ni kufanya marekebisho
kila mtu akitaka bia mwisho atahonga depot ujue ohoooo
bora wewe umeomba zako novida
Usiogope wifi angu 😉
Hahahaha message delivered, teh teh
Ha ha ha usijiaminishe hivo, hata waomba bia nkikuambia hautawadhani
muwape bia wapenzi wenu jamani tusisumbuane kisa 2500