masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
ha ha hahaHa ha ha :A S shade:
We sio wa bia buana ntakupa ya amarula kabisa
sema nawe mbinafsi bibie, kweni siuwaachie tu wapige vimizinga jaman au unataka baby wako aitwe mbahili?Ndo nimemsaidia kulalamika hivo
Ha ha ha ha ha mmmh
Kila mtu akiomba bia unadhani itakuaje?sema nawe mbinafsi bibie, kweni siuwaachie tu wapige vimizinga jaman au unataka baby wako aitwe mbahili?
ha ha haha
watu wanaomba bia
nikajua mnakiwanda teh teh
hahahaha nunua tu ngano maana hamna namnaHata grocery tu sina, ehuuuuu itabidi ninunue ngano atakaetaka bia nampa ngano akajitengenezee
Haaaaaaaaaaaaa
Wamekuvurugaa
Lakini unaambiwa kizuri kula na mwenzio!
Kila mtu akiomba bia unadhani itakuaje?
atleast wengine waombe mirinda huku namie wakinipa namba za manaume zao namie nijinywee
hahahaha nunua tu ngano maana hamna namna
hahahah!! haya endelea kuwapa vidonge vyao kumbe wao bia tyuu hata soda hawataki
Nanunua na zabibu kwa wale wa wyne
Teh too much khaaaa
karibu bia, kila mtu anadrop namba kutaka bia jamani utadhani bebi wangu ni meneja wa breweries
Litakalo mpata Atajijua Huko Alipo
Wenzio wanatafuta fursa...hawajui ulinzi shirikishi umewekwa hadi PM......
Ila aibu duh
Tunda kitu gani tupa kule, nunua sabuni yako tena yenye marashi zama bafuni