Tamko: Sitaki shobo

Ukiomba sigara kali hauna madhara kabisa
wajitia hujui id yake wakati jina lako lipo kwenye diary yangu ulitembelea profile yake
jiandae, ntakuhoji kwenye press conference nnayoiandaa ha ha ha

Haaa! Wwka screenshot hapa mode kakuruhusu.
Mwee nisingizie vyotee ila si kukagua profile za watu...nimekuruka kimanga!
 
Binadamu tunatofautiana mamii.
Wengine mishipa ya aibu na woga ishakata kitaaambo......anajilipua tu

Atakayeingia 18 zake huyo huyo...

Ila risky sana...maana hujui utakutana na maswaibu gani



Mi najiulizaga mtu anaekaa anatoa toa namba kwa wanaume wa mtandaoni hana mwanaume?
haogopi? Unatoaje namba kwa mtu usiemjua, yani kirahisii naomba namba na unatoa
i am so wonders
 
Binadamu tunatofautiana mamii.
Wengine mishipa ya aibu na woga ishakata kitaaambo......anajilipua tu

Atakayeingia 18 zake huyo huyo...

Ila risky sana...maana hujui utakutana na maswaibu gani

Wanajiweza.....
 
Teh Teh Mwl vipi umekatwa kama Lowasa? basi unda tume! Pole Mwl..
 
Evelyn Salt naomba nirushie namba kama nne ili nimpunguzie majukumu bebi wako!

Bia zenyewe si hizi za TBL? Isije ikawa ni bia zingine!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…