Ukiomba sigara kali hauna madhara kabisa
wajitia hujui id yake wakati jina lako lipo kwenye diary yangu ulitembelea profile yake
jiandae, ntakuhoji kwenye press conference nnayoiandaa ha ha ha
Tatizo mie vyao hawanipi, wanataka vyangu tyuHahahaha Acha uchoyo bana, kizuri kula na wenzio. Ila nimecheka jamani, nimekuaminia gelofriend huna utani kwenye asset yako, unakaba hadi profile teh
teh kumbe we muoga eeh ha ha ha hayaHaaa! Wwka screenshot hapa mode kakuruhusu.
Mwee nisingizie vyotee ila si kukagua profile za watu...nimekuruka kimanga!
Mi najiulizaga mtu anaekaa anatoa toa namba kwa wanaume wa mtandaoni hana mwanaume?
haogopi? Unatoaje namba kwa mtu usiemjua, yani kirahisii naomba namba na unatoa
i am so wonders
Binadamu tunatofautiana mamii.
Wengine mishipa ya aibu na woga ishakata kitaaambo......anajilipua tu
Atakayeingia 18 zake huyo huyo...
Ila risky sana...maana hujui utakutana na maswaibu gani
teh kumbe we muoga eeh ha ha ha haya
Teh Teh Mwl vipi umekatwa kama Lowasa? basi unda tume! Pole Mwl..Kichwa cha habari chajieleza......
kuhongwa rep power sio tiketi ya kuombea na bia, kama mna kiu na bia mtafute hela zenu, muombe kwa wazazi au wame zenu. Mambo ya kuomba hela ya bia kwa shemeji yenu sitaki tena mkome alaaah mie mwenyewe hizo bia nna kiu nazo msijitie kuhoji kwanini sijaongea nae jibu ni kwasababu nimeona mafuriko ya kuomba omba yamezidi nimeamua kusema kama vipi namie mnipe namba na wanaume zenu wanipe hizo hela za bia kubafu
sitaki mazoea kwa baby wangu sitaki sitaki....mfowadiane pm kwa anaehitaji kumjua
nb: tamko halina mjadala
Ha ha ha na wengine wangeomba ugolo ingekua poaNiombee basi hela ya ugoro.😀🙄
Teh Teh Mwl vipi umekatwa kama Lowasa? basi unda tume! Pole Mwl..
Aisee!!!!Elli yupo matakko bar anakunywa biere
Hizi post za weekend!!!!?
Hapo lazima vilevi vinahusika
hahahah mwambie shem mi nataka kuchoma tu sindano
Man united oyeeeeee
Evelyn Salt naomba nirushie namba kama nne ili nimpunguzie majukumu bebi wako!
Bia zenyewe si hizi za TBL? Isije ikawa ni bia zingine!
Ha ha ha ni TBL na Serengeti ngoja nkupm huyu mweye 06...... Ndio ana kiu sana