Tammy Abraham, mchezaji wa chelsea F.C na timu ya Taifa ya England aikana nchi yake ya Nigeria

Tammy Abraham, mchezaji wa chelsea F.C na timu ya Taifa ya England aikana nchi yake ya Nigeria

Nilidhani wapuuzi ni waliokulia huku Mahaha au Nanjilinji kumbe hata waliokulia ulaya hawana akili
 
Okaka ndo alitoa sababu nzuri maana alisema hajawahi kufika Nigeria na wala hajui utamaduni wa Nigeria, kwa kifupi hajui chochote kuhusu Nigeria.

Nikatafakari kuna watu wamezaliwa Dar wakikutana na watu wameshuka fresh toka kwenye mikoa waliyo na asili nayo wanawanyanyapaa.

Sisi ndo waafrika nenda Marekani uone utakavyonyanyapaliwa na maniga wa huko
 
Africa hakuna mazingira mazur ya soccer hasa kwenye team za taifa vyama vya mpira vimejaa uhuni na ubababishaji wachezaji wengi wanakosa stahiki zao

Lkn huko anakoenda kuna chance ya kucheza???

Ni hayo tu

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Safi sana, Africa kumejaa upuuzi mtupu.

Kabisa maana africa president wa federation an familia yake wanasafiri business class wachezaji economy wakati ha wachezaji ndio wanaenda kucheza hilo kombe la dunia.
Bora ubaguliwe na mzungu kuliko dharau za hawa wafrica wenzutu tuonajidai kuitana ndungu.
 
Kama hujawahi kuwa mchezaji na kufika level flani ya pro kila kitu uta kuwa una kitafsiri kwa hisia na picha ndogo ila picha kubwa wanayo waloi wahi kufika au ambao bado wapo kwenye game.
 
Africa hakuna mazingira mazur ya soccer hasa kwenye team za taifa vyama vya mpira vimejaa uhuni na ubababishaji wachezaji wengi wanakosa stahiki zao

Lkn huko anakoenda kuna chance ya kucheza???

Ni hayo tu

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Kuna mmoja aliiponda nchi yake akataka achezee uingereza wakambania,alipotaka kurudi akawekewa uso wa mbuzi, nimesahau jina
 
Huyu mtoto mwambie anakula kidogo maana nawaza hivi huyu anaweza akamwekea msuli RAMOS
 
Tusimlaumu, kawakilisha mindset za waafrica tuliowengi......

"Miafrica ndivyo ilivyo"
 
"Kuna sababu za msingi ambazo zilinifanya nichague kuichezea timu ya Taifa ya England badala ya Nigeria, Sababu ya Kwanza ni wazi Nigeria haina nafasi kwenye michuano ya Kombe la Dunia wakati England ina nafasi kubwa ya kushinda Kombe la Dunia, Sababu ya pili ni kwamba siwezi kuimba wimbo wa Taifa wa Nigeria vizuri, Sababu ya tatu michuano ya Euro ni bora sana kuliko AFCON, Mimi ni Muingereza zaidi kuliko Nigeria"
Tammy Abraham

View attachment 1474153
Mjinga huyo siku akibaguliwa tena na hao waingereza hakuna support kutoka kwa watu weusi Hana akili huyo mtoto
 
Kwani ameitwa kikosi cha EURO !!! Huko la dunia anaendaje sasa hili hayupo!!??
 
Back
Top Bottom