Tamthilia ya Bibi Titi Mohammed na Prof. Emmanuel Mbogo

Tamthilia ya Bibi Titi Mohammed na Prof. Emmanuel Mbogo

Naam, na ndiyo maana tunapeana darsa.

Kwa hakika uongo ukisemwa sana mwishowe huwaingia watu na kuuona ni ukweli na hata anafundishwa ukweli bado haumuingii akilini.

Kuna watu chungu nzima humu wakiambiwa TANU haikuasisiwa na Nyerere na hata jina la TANU hajalitowa yeye, basi hiyo kabisa haiwaingii akilini kwa kuwa tu wameshajazwa ujinga.

Nyerere alikuwepo wakati TANU inaundwa 1954 lakini hakuwa muasisi wala hakuwa mtoa wazo, wazo lilikuwepo kabla hajajiunga na waasisi wa kupigania Uhuru wa Tanganyika waliokuwepo Dar.

Of course Nyerere alikuwa msomi wa kutokea Ulaya na alikuwa ni nguzo kubwa alipojiunga na wapigania Uhuru wa Dar lakini hakuwa muasisi.

Hilo ni ngumu sana watu kulikubali, kwanini?
Maalim Faiza,
Umeeleza vyema sana hali ya watu kuukubali ukweli baada ya kulishwa
uongo kwa muda mrefu.

Kuna barua ya Kleist Sykes anajibu barua ya Mzee bin Sudi mwaka wa
1933, Kleist akitabiri kuwa kazi hii ya African Association walioianza wao
itakujwa kumalizwa na watakaokuja baada yao.

Hebu tustaladhi na kipande hiki hapo chini:

Abdulwahid sasa akiwa na umri wa miaka 30, alikuwa amekamilisha lile
lengo lake kubwa katika maisha yake, lengo ambalo lilianza kwa marehemu
baba yake ambaye miaka 21 iliyopita alitabiri kuendelea kwa mapambano
kati ya Waafrika wa Tanganyika na serikali ya kikoloni.

Kleist Sykes alikuwa halikadhalika ametabiri jukumu la kizazi kijacho. Katika
barua aliyomwandikia Mzee bin Sudi, rais wa African Association, mwaka
wa 1933, Kleist katika umri mdogo wa miaka 29, akiwa kijana mdogo sana
aliandika maneno haya:

‘’Tupambane kwa nguvu zetu zote kuelekea njia ya ustaarabu kama vile watu
wa makabila mengine wanavyofanya.

Haidhuru kitu ikiwa hatukamilishi kila kitu.

Wale watakaokuja baada yetu watakamilisha yatakayobakia.’’

Kwa hakika Kleist alikuwa mtu wa fikra.

Alizungumzia kuhusu ''ustaarabu,'' ambao hivi leo ungemaanisha ''kujitawala,''
na kuhusu, ''makabila,'' ambayo TANU imeyageuza kuwa ''taifa.''

Katika mwaka wa 1954 robo karne baadaye katika jengo lilo hilo, 25 New Street
ambalo Kleist alisaidia kulijenga kwa njia ya kujitolea, kizazi kipya nchini
Tanganyika kilikuwa kikiigeuza African Association aliyoiunda katika mwaka 1929
kuwa chama cha siasa.

DSCN1154.JPG

Lengo lake lilikuwa kuwatayarisha Watanganyika kujitawala.

Miongoni mwa waliokuwa wakiongoza harakati za kudai uhuru zilizokuwa zikiibuka
walikuwa watoto wake watatu, Abdulwahid, Ally na Abbas.

-8tehr0qBv0b_wnTNDACSkxzxk9wvrwI_0amhzzjPVNLtc48_KLfeIhWgL2Oufq09DzK0DO20GRAqL5KAmzkC_sQcKM45nY8IKrUAWLPQM1WWjVvgIRA5rcsFg_O3HqusPklgdXoGxCvi-Bvhd3bp9EhGhybIuJRnS0pwdPV5rKKHymJiM-lf-Zy3OK5h8gxd8YAfGZP_wpmiqv1i-5D-mzQn5ElNrKc3y_6eiw1_QtS66QGo_sFaqQsR6S09xf1f1i0BOTExtHUEkJIznQ7yCZtNDLEL4SJa1mFbpezHDr_t8IT_7-awc5TBDK06cqfTUmjU2l2n4ZdLxnrGV_JB6myr9A7PuV6UKN3clp_Jgo8tmZDVurulrhDmykObqbL5N_86oekEGSUfPUYG3dvYA5kYiPQ2JWgdBOVw2lHBTIZ-ZYwLwvs2JgqubCRxohr823CudC3D35Yyumpcxn1CSpP5XeoVzTVZdnK9suhErtbCqJRy7LwnSjMGwbCo0IStqogQMGqmL33zpfXm0WpUGIscZvlIYSg9Jb-c8aOMZAyEYSBRiqlcxFFIWQYtfWESsW8ywlALAyUk9efwTv75hCxYBdzNrvWn3Y1ph8xRPRaxzI4nooK4Q=w352-h480-no

Kushoto: Kleist Sykes, Abbas nyumna ni Ally na Abdul
picha hii ilipigwa 1942 Abdul aliporudi Dar es Salaam
kutoka Kabete Kenya alipokuwa akifanya mafunzo ya kijeshi
katika KAR kabla hajaondoka kwenda Burma katika Vita Vya
Pili Vya Dunia.


DSCN1138.JPG

Kutoka Dictionary of African Biography, Oxford University Press, New York

Hii ndiyo historia ya TANU.
 
Naam, na ndiyo maana tunapeana darsa.

Kwa hakika uongo ukisemwa sana mwishowe huwaingia watu na kuuona ni ukweli na hata anafundishwa ukweli bado haumuingii akilini.

Kuna watu chungu nzima humu wakiambiwa TANU haikuasisiwa na Nyerere na hata jina la TANU hajalitowa yeye, basi hiyo kabisa haiwaingii akilini kwa kuwa tu wameshajazwa ujinga.

Nyerere alikuwepo wakati TANU inaundwa 1954 lakini hakuwa muasisi wala hakuwa mtoa wazo, wazo lilikuwepo kabla hajajiunga na waasisi wa kupigania Uhuru wa Tanganyika waliokuwepo Dar.

Of course Nyerere alikuwa msomi wa kutokea Ulaya na alikuwa ni nguzo kubwa alipojiunga na wapigania Uhuru wa Dar lakini hakuwa muasisi.

Hilo ni ngumu sana watu kulikubali, kwanini?
kwa sababu alijiaminisha , kuwa yeye ndiye yeye
 
Kujiaminisha hakuibadilishi historia. Au?
no, kwasababu alikuwa mbinafsi na kutaka kutukuza , leo hii wanaimba kama sio juhudi zakee............na uhuru tungepata wapi..je hauoni huu ni umimi ambao yeye alijijengea mazingira?
 
no, kwasababu alikuwa mbinafsi na kutaka kutukuza , leo hii wanaimba kama sio juhudi zakee............na uhuru tungepata wapi..je hauoni huu ni umimi ambao yeye alijijengea mazingira?


Nimekuelewa.

Huko ndiko nnakokuita kuwajaza watu ujinga.
 
Nimekuelewa.

Huko ndiko nnakokuita kuwajaza watu ujinga.
Yaaah!! tena huu ujinga na kushindwa kujenga hoja kwa watanzania ,na unafiki ulokithiri yeye ndo muasisi wake..... leo hii somo la historia linafunzwa ,kuhusu uhuru yupo yeye mpaka inakosa mvuto.....watu wanashindwa kuijua nchi yao na kukosa uzalendo , madini yanaondoka tuu...mpaka hua nina wasi kuwa kuna mkataba ameingia huko na jamaa kuhusu mali zilizopo ardhin..haiwezekani tuna kila kitu tunakosa dira
 
Maalim Faiza,
Umeeleza vyema sana hali ya watu kuukubali ukweli baada ya kulishwa
uongo kwa muda mrefu.

Kuna barua ya Kleist Sykes anajibu barua ya Mzee bin Sudi mwaka wa
1933, Kleist akitabiri kuwa kazi hii ya African Association walioinza wao
itakujwa kumalizwa na watakaokuja baada yao.

Hebu tustaladhi na kipande hiki hapo chini:

Abdulwahid sasa akiwa na umri wa miaka 30, alikuwa amekamilisha lile
lengo lake kubwa katika maisha yake, lengo ambalo lilianza kwa marehemu
baba yake ambaye miaka 21 iliyopita alitabiri kuendelea kwa mapambano
kati ya Waafrika wa Tanganyika na serikali ya kikoloni.

Kleist Sykes alikuwa halikadhalika ametabiri jukumu la kizazi kijacho. Katika
barua aliyomwandikia Mzee bin Sudi, rais wa African Association, mwaka
wa 1933, Kleist katika umri mdogo wa miaka 29, akiwa kijana mdogo sana
aliandika maneno haya:

‘’Tupambane kwa nguvu zetu zote kuelekea njia ya ustaarabu kama vile watu
wa makabila mengine wanavyofanya.

Haidhuru kitu ikiwa hatukamilishi kila kitu.

Wale watakaokuja baada yetu watakamilisha yatakayobakia.’’

Kwa hakika Kleist alikuwa mtu wa fikra.

Alizungumzia kuhusu ''ustaarabu,'' ambao hivi leo ungemaanisha ''kujitawala,''
na kuhusu, ''makabila,'' ambayo TANU imeyageuza kuwa ''taifa.''

Katika mwaka wa 1954 robo karne baadaye katika jengo lilo hilo, 25 New Street
ambalo Kleist alisaidia kulijenga kwa njia ya kujitolea, kizazi kipya nchini
Tanganyika kilikuwa kikiigeuza African Association aliyoiunda katika mwaka 1929
kuwa chama cha siasa.

DSCN1154.JPG

Lengo lake lilikuwa kuwatayarisha Watanganyika kujitawala.

Miongoni mwa waliokuwa wakiongoza harakati za kudai uhuru zilizokuwa zikiibuka
walikuwa watoto wake watatu, Abdulwahid, Ally na Abbas.

-8tehr0qBv0b_wnTNDACSkxzxk9wvrwI_0amhzzjPVNLtc48_KLfeIhWgL2Oufq09DzK0DO20GRAqL5KAmzkC_sQcKM45nY8IKrUAWLPQM1WWjVvgIRA5rcsFg_O3HqusPklgdXoGxCvi-Bvhd3bp9EhGhybIuJRnS0pwdPV5rKKHymJiM-lf-Zy3OK5h8gxd8YAfGZP_wpmiqv1i-5D-mzQn5ElNrKc3y_6eiw1_QtS66QGo_sFaqQsR6S09xf1f1i0BOTExtHUEkJIznQ7yCZtNDLEL4SJa1mFbpezHDr_t8IT_7-awc5TBDK06cqfTUmjU2l2n4ZdLxnrGV_JB6myr9A7PuV6UKN3clp_Jgo8tmZDVurulrhDmykObqbL5N_86oekEGSUfPUYG3dvYA5kYiPQ2JWgdBOVw2lHBTIZ-ZYwLwvs2JgqubCRxohr823CudC3D35Yyumpcxn1CSpP5XeoVzTVZdnK9suhErtbCqJRy7LwnSjMGwbCo0IStqogQMGqmL33zpfXm0WpUGIscZvlIYSg9Jb-c8aOMZAyEYSBRiqlcxFFIWQYtfWESsW8ywlALAyUk9efwTv75hCxYBdzNrvWn3Y1ph8xRPRaxzI4nooK4Q=w352-h480-no

Kushoto: Kleist Sykes, Abbas nyumna ni Ally na Abdul
picha hii ilipigwa 1942 Abdul aliporudi Dar es Salaam
kutoka Kabete Kenya alipokuwa akifanya mafunzo ya kijeshi
katika KAR kabla hajaondoka kwenda Burma katika Vita Vya
Pili Vya Dunia.


DSCN1138.JPG

Kutoka Dictionary of African Biography, Oxford University Press, New York

Hii ndiyo historia ya TANU.


AlhamduliLlah, leo tunayajuwa hayo.
 
una Kila haja sasa, kuona tulikosea wapi, ....kujipanga upya tunahistaji raisi mzalendo asiye endekeza ubinafsi na mtengano miongoni mwa jamii....hasa katika kupiga hatua madhubuti...
 
Tuesday, 20 December 2016
TAMTHILIA YA BIBI TITI MOHAMED NA PROF. EMMANUEL MBOGO

Hapo chini ni kidokezo kaniandikia rafiki yangu Tamim Faraj kuhusu kitabu cha Bi. Titi Mohamed ambacho alikuwa kamaliza kukisoma na kimemgusa sana. Kaniandikia ili nami nikisome. Chini ya saa moja kitabu kikawa kimenifikia nyumbani na chini ya saa moja nyingine nikawa nimemaliza kuisoma tamthilia nzima ya Bi. Titi iliyoandikwa na Prof. Emmanuel Mbogo:
''Asalaam Aleykum,
Nimekisoma kijitabu (61 pages) cha tamthilia juu ya Bibi Titi - tiled: MALKIA BIBI TITI MOHAMED by Prof. Emmanuel Mbogo.
Ni kizuri.
Ni script iliyo capture vizuri a short history on the role of Bibi Titi katika kuupigania uhuru wa Tanganyika. pazia la tamthiliya linafunguka jela ya Isanga alikofungwa Bibi Titi na kufungwa huko baada ya uhuru kupatikana.

Setting imepangwa kumuonesha Bi Titi akiwa jela na daftari ambalo anaandika historia ya harakati za uhuru.

Zubeda askari jela baada ya kujua anachoandika Bi Titi, anamuomba kutumia historia aliyoiandika Bi Titi ili kuandaa igizo kwaajili ya kuazimisha sherehe za uhuru Disemba.

Anamueleza Bi Titi kawaida ya jela kufanya hivyo kila mwaka. Hivyo amamshawishi wafanye mchezo kwa mujib wa alichokiandika katika daftari lake na kumuomba Bi Titi ashiriki pamoja na wafungwa wenziwe.

Mwisho pazia linafungwa kwa Zubeda kurudishia daftari la na pia kumpa barua ya taarifa ya kutolewa gerezani.''


Tamim
***********************************************************************************
Kitabu kinaanza mwaka wa 1970 kwa kumuonyesha Bi. Titi akiwa Gereza la Isanga Dodoma, moja ya magereza magumu Tanzania. Kabla yake mwaka wa 1953 mwanasiasa mkubwa sana Tanganyika sehemu za Maziwa Makuu, Ali Migeyo alifungwa gereza hilo na Waingereza kwa kosa la kufanya mkutano wa siasa Kamachumu bila idhini ya serikali. Miaka 17 baadae mpigania uhuru Bi. Titi yuko kifungoni kwa kuhusika na kesi ya uhaini kutaka kuiangusha serikali aliyoipigania wakati wa kudai uhuru.




Akiwa hapo gerezani Bi. Titi anaandika historia ya uhuru wa Tanganyika na anaeleza ushirikiano wake na Nyerere wakati wakiwa katika ofisi ya TANU New Street. Bi. Titi anaeleza katika mswada wake, anaoandika jela vipi yeye na wenzake walipita mtaa kwa mtaa kueneza TANU.

Kitu cha ajabu Gereza la Isanga wanamuomba Bi. Titi watumie historia yeke ile kufanya onyesho la historia ya uhuru wa Tanganyika.



UaCj2HX7kWcRvzy3Az5CTtgufV1I1FtGPvbT8XwdZDVT3DO27miPeoeJv_YA5QAK4mNSEE12r4kFzN9UBUuhEKaMRZ9ZGIItyvuozRMXrkXYUzG0ZKkkJo9tocHgc93HE276bXf-4meVca4TLZgJKgH2Kop-4ZSSImCAVhdxe6JlluEzyEY_cD8Op--_OiIaS1EVtP7NSAAqKPvKKSLZ0apybZzEuSKYrMqXvx5NsMNNFE0ajpru8g7bCziXGr0ndra8I8jADH9N9qnRdfSuKpWKC-gRPv6tFQPUhVEAgxCsjjWm2Eo6wyzT4UmRie4_1f9NXYzsbfuBeot9Ha-Zl49OjLrCl7glZ6fUt3_6TLehc41P_DU8vP-watBvi-Q_7cnxXasJ7gb6WbdrU4mwES7tOw8HY5EKzMKS0SPOBMKKqLZCE9rs59XIv9D3iJbn6ICepQDUEcNaCk_cMog50N4myffqirBZcKZnzhJdS-Nfd-vk2mYhvay7nvKUDKuSyoJG6IfkgGEn3v-vY3XjzAHzPmVdYfWYf8wB1wRnEwOtIACgA5_-47suFZWD09uO42dwzHoJ-_HgAYLCvG18h0DJrY8B9Irn9g6nIuvUoP7gRE1-qzAcpg=w946-h659-no

Bi. Titi akiwa katika moja ya matawi ya TANU Dar es Salaam tawi hili lilikuwa Magomeni Mapipa nyumbani kwa Ali Msham Mtaa wa Jaribu 1955

tTRTeOOZOOEnRd4Z5Se7kCkFQvldNUen4fJjA6Jab-n56tcZk-wzf4h2vMgqD63bQyFbeDaP9ac=w477-h659-no


1SoH8DK4E3Rp_beqWUyYroAl-85hb9m-PN4bznGLJnUNTJ1wOrOPPizdFyw0WRQb4WwsF_y_c05aJ0Gpzw9FLkPTKYnmFxuDV2FCPT-IzVcux6cmW_FAK61H5TaBLc8UHpyhvAnAaMWONyVsBqcl9M8LNNUbsW6pb7ccfcpLpXJ49Yeuxmh7qHWC0JVJGuvvoJYOgaBPKQwvb_1HTQsz_1OAC6iNohPCGbWvUVMaKGhPe8J0r46TP6PUU9jxtRbYCwHZg2KAP9b2JTvqT2vygbWBBV1JylEp0X2kOLdhMP7kYM0CWmhiOgNg4-9vbhkWy7VloajuTqcvVPZ7KL5Rh7A5IETn6OXibuj86BEKZD6qct17MCwkzStB4eGGvtpKTiy80E0cH4ScWnCBwds6C05ft0A32XnFBhC-P2AqWaB6JbetvAN5WUc65LvAoY341l8tGAolg5XO70LVK2q221VfYr7WZ6C6VGKgLJOrYHp4SXP549dmX9dIYZw-lZ9JM_tCGziJx2au8B56vfz5RQRe38MNG3l9dkoXsxpftcUQc1RvAeMOs1qVeDM2Ul2ycDCsJwRY9s98Wz5XdSYTUElvdTvfWYjdq8WkmNZfSosaSte2AtCb_Q=w670-h526-no

Picha ya Mwandishi aliyopiga Viwanja Vya Mnazi Mmoja mwaka wa 1966 nyuma yake ni barabara iliyokuja kujulikana baadae kama Titi Street kwa kumuenzi Bi, Titi Mohamed na ukivuka barabara hiyo linaloonekana ni Soko la Kisutu maarufu kama ''Soko Mjinga.''

Tamthilia hii ya Bi. Titi Mohamed ni kazi ya kupigiwa mfano kwani naamini hii ni tamthilia ya kwanza ambayo imejaribu kuhadithia historia ya TANU na historia ya uhuru wa Tanganyika kwa kuwataja wale ambao waliupigania uhuru wa Tanganyika. Kurasa za mwanzo Mwandishi anamleta Schneider Plantan akizungumza na Boi Selemani kuhusu TANU.

Bwana Boi akimlalamikia Schneider kuwa mkewe Bi. Titi hatulii nyumbani kwa ajili ya shughuli za TANU kiasi imekuwa yeye ndiyo mfuaji wa nguo zake na mpishi wa chakula chake.

Boi Selemani alikuwa dereva wa taxi.

Schneider yeye ana historia ndefu katika siasa za Tanganyika. Yeye ndiye aliyesimama kidete kuwaleta vijana wasomi katika TAA ili kuwaondoa wazee waliokuwa wamechoka na kuifanya TAA isifanye siasa za maana kwa ajili ya ukombozi wa Tanganyika.

Hii ilikuwa mwaka wa 1950.

Sasa TANU ilipokuja kuasisiwa mwaka wa 1954 Schneider ndiye aliyemleta Bi. Titi katika TANU pamoja na wenzake akina Tatu Bint Mzee na wanawake wengine kuja kukipa nguvu chama.

Tamthilia inaanza mwaka wa 1955 wakati Bi. Titi na wenzake wako katika hekaheka ya kuhamasisha wananchi kujiunga na TANU na wakati huo ndiyo safari ya Julius Nyerere kwenda UNO inatayarishwa.

Boi katika mazungumzao yake na Schneider anatabiri kuvunjika kwa ndoa yake na mkewe Bi. Titi kwa ajili ya TANU na anamtupia lawama zote rafiki yake Schneider Plantan kwa kumpeleka mkewe TANU.

Boi analalamika hadi kufikia kusema, ''Titi mwanamke wa Kiislam. Kasoma madrasa....Bibi Titi kapanda jukwaani...hana baibui...''

Z6-fQpBJ-lRfA2xmvcOGq9RAPspFuBFrJ_17576xrCJMMVEk8QEwQbEiEhWsT_vy6H1k7uKbFKpUnj-qNX31VA_6fsTeIrcF_wkQyXGLrEWV_nGobZQr13jq3rOh83iVr0DWtmVyWweG80NJpfK79avIsRPZ0xljru6-2WA_iijcfI57V6p7HC4BUvigvzHH7FlY0xYJCRGSbR5lnDb1iYgdraWDD5ToK_5TB66OZraZLwgfJzTPeC2t19pY-zoer-6I42owF9HVlIHyPOfhYuWbk0Wl5xfFNhSHoPb4omnCGEuNVE-QyVz9HV0FtuKb6eEBO6cvC9KPdLpEXcR1fZefrt9K39AeVOieCiRQzV06nRZO1TtundBMrs7R5kmQvh4B6Goe-5vTlKPHONl-OiP1nSB5oVBO2nZYJiGCQelzzecwqFsD1LgrQzcyaeTQAP2hCVSHHojwOxpncEyvMGYCUoTMva8o08eL0TyFfy4e58ItmwCMSjbT_sNlcHT7wi6hhH0BcsEQo9hsNt9Q6jYe7Ta22zSoLYvBJZC-DlBujDtBGwtQVft0VrKFOv3yhx57r1DLRTvcNW84qlsINBDGBmcT2EhonfkXPEzMICoPZYo4gOrPng=w879-h659-no


Bi Titi Mohamed na Julius Nyerere wakihutubia wananchi Uwanja wa Jangwani 1955


Jk3j6Mf4o1KdhJppiFYzyOyBfPfECav6eFwMT5Ibgf6caP1IidyYCYJrOrpk3wMH0cfE9YVIaCeL1QYUYZpcTmv9gjBznzxBT3w5I3_DdZ3CX2nTzhmbEDOTfbcrPytViveqB1U8Bs7K5inYlMpdQHNMJVNJ3YFTk3LjLKI8aNDTzMO9mmNtV-WFcbE4xhsEgNEqReRhD-I5l14Z9LY_bvn660KSgG4xr5lEVP5ScsqLrf3daZ3_udfAVMw5y0maW9TiJiFZazCNbD_19FWWp3evNRriAM339B8euxr9uvkC4s0W4uloauBOJKwIDAYEcob99QZeMMm7LYIdOX3wm-a_0F1jPArwRlylgvf40mkVvyB6x3z7pK3MXjuL-1Al7qzXvXWYkqNhng1nbDyNWgsyQ6CtIOHczfQGKSBoJjQRWXBERuMI02hrVjGwSD3QTjU2LErMMJ-sTad6Rtw9TvGJr3bka5TQRKVAVEk_7vhNhakJ7yYkcmKXFZws9ijO0KY7CN5PlBWXzpl4OgL98t8jfQkcFksGt-k3TrayRA7-pLra_cpHPtd-7ZwL5xwjQ_6XFUvCD7-F7UdWD-W_RD_nYoqXToLh8dr60L8MRF1oMHz-Mp1nbA=w891-h659-no

Kulia ni Bi. Titi Mohamed, Clement Mtamila, Sheikh Suleiman Takadir, Julius Nyerere na nyuma ya Nyerere ni Maria
Nyerere, Rajab Diwani na John Rupia


Kitabu hiki, ''Malkia Bibi Titi Mohamed,'' ukikianza hukiweki chini hadi umekimaliza.
Aksante sana,maalimu kwa kutuletea historia hii mwanana hasa wakati huu wa mwisho wa mwaka.Nataman nikipate nikisome wakati huu wa mapumziko.
 
Ahsante sana Mohamed Said
Nimekuelewa kwenye chanzo, lakini nimeshindwa kusikiliza hiyo attachment. Kwa kuwa niki ingia ina niletea vitu sivijui. Hivo nasumbuka kuipata.

Lakini ninavo jua mwisho wa siku Rais Nyerere ndio ali mfanya bibi titi atoke jela na baada ya hapo hapakuwa na maneno tena kati yao. Nadhani na Nyumba zake alimrudishia.
Pia naskia kuwa ugomvi wao hasa hasa ni ule wa azimio la arusha. Kuhusi suala la umiliki wa mali.
6fca63b9c579151e416a46da00ee1f38.jpg
point yangu kubwa ni Rais na Bi Titi walipishana baadhi ya misimamo tu ila bondi yao ilikuwa kubwa.
Hawa wazee hata uki waangalia walikuja kuelewana na waliridhia kuwa tofaut zao ndogo ndogo ziliwatenganisha kidogo. Walikuwa wana chemistry ya asili.

Nitafurahi kama uta nirekebisha nilipo kosea ahsante
Wakati wa sherehe ya Mwalimu Nyerere kutimiza miaka 75,bibi Titi alimsifu sana Mwalimu na akasema ,mwalim akifa hautakuwa msiba wa familia bali msiba wa taifa.Baada ya kumpamba sana Mwalimu,Bibi Titi alisogeleana na mwalimu wakabusiana deeply.Bond yao nadhan ilikuwa strong sana.
 
Ahsante sana Mohamed Said
Nimekuelewa kwenye chanzo, lakini nimeshindwa kusikiliza hiyo attachment. Kwa kuwa niki ingia ina niletea vitu sivijui. Hivo nasumbuka kuipata.

Lakini ninavo jua mwisho wa siku Rais Nyerere ndio ali mfanya bibi titi atoke jela na baada ya hapo hapakuwa na maneno tena kati yao. Nadhani na Nyumba zake alimrudishia.
Pia naskia kuwa ugomvi wao hasa hasa ni ule wa azimio la arusha. Kuhusi suala la umiliki wa mali.
6fca63b9c579151e416a46da00ee1f38.jpg
point yangu kubwa ni Rais na Bi Titi walipishana baadhi ya misimamo tu ila bondi yao ilikuwa kubwa.
Hawa wazee hata uki waangalia walikuja kuelewana na waliridhia kuwa tofaut zao ndogo ndogo ziliwatenganisha kidogo. Walikuwa wana chemistry ya asili.

Nitafurahi kama uta nirekebisha nilipo kosea ahsante
Wakati wa sherehe ya Mwalimu Nyerere kutimiza miaka 75,bibi Titi alimsifu sana Mwalimu na akasema ,mwalim akifa hautakuwa msiba wa familia bali msiba wa taifa.Baada ya kumpamba sana Mwalimu,Bibi Titi alisogeleana na mwalimu wakabusiana deeply.Bond yao nadhan ilikuwa strong sana.
 
Iceman,
Bibi Titi
alitolewa jela kwa msamaha wa rais hili halina shaka kwani ni rais
ndiye atoae msamaha huo.

Nyerere asingelimsamehe, Bi. Titi asingetoka kifungoni.

Nyumba zake Bi. Titi alirudishiwa na Rais Mwinyi na mimi nilikuwa mmoja
wa watu waliokwenda kwenye nyumba hiyo kuzungumzanae.


LVKHxkj2K77_IFBNwiRPqYgnNTjDcM04M-VhE9dUxhbowT5hjgUJCFnuWzBfCmSEObN3lKXVEaaIFN0=w1366-h768-no


Nyumba hii ipo mkabala na Makao Makuu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania.

Bi. Titi nakumbuka siku hiyo nilipokwenda kwake nilimkuta yeye na wajukuu
zake wanaangalia movie, ''Cinderella,'' katika TV na yeye akiwahadithia ile
movie akimwita Cinderella, ''Kisonoko.''

Kwa kauli yake Bi. Titi aliniambia kuwa Rais Mwinyi ndiye aliyemrejeshea ile
nyumba yake.

Hiyo ''bond,'' uisemayo haikupata kuwepo kama ilikuwapo basi ni wakati wa
kupigania uhuru lakini baada ya hapo palikuwa na upasi mkubwa baina yao.

Hili nimeligundua kwa Nyerere katika uhusiano wake na karibu na wengi sana
ambao alikuwanao wakati wa kudai uhuru.

Bi. Titi alipambana na Nyerere ile, ''nipe nikupe,'' ndani ya TANU NEC 1963
kisha kisha nyumbani kwa Nyerere 1968 na ugomvi wao mara zote hizo mbili
ni suala la EAMWS.

Safari hii ya pili Bi. Titi na Tewa Said Tewa walikwenda Msasani kumuona
Nyerere kumuuliza kwa nini anaachia vyombo vya dola vinapiga vita EAMWS.

Hii ilikuwa mwaka wa 1968 katikati ya kile kilichokuja kujulikana kama ''mgogoro
wa EAMWS.''

Labda turudi katika mazungumzo ambayo mimi nilikusudia kufanya na Bi. Titi.
Miadi ya kuonana na Bi. Titi alinifanyia Ally Sykes.

Wakati ule nilikuwa naandika kitabu cha Abdul Sykes na nilitaka kumhoji Bi.
Titi
kuhusu historia ya TANU.

Si kama nilikuwa sina taarifa za Bi. Titi.

Nilikuwa na kila kitu chake lakini nilitaka kunogesha utafiti wangu kwa kumsikia
yeye mwenyewe alizungumza.

Bi. Titi alikataa kuzungumza kuhusu historia ya TANU lakini alinieleza kuwa yeye
hakuhusika katika njama za kutaka kupindua serikali.

Hata hivyo kama nilivyokwishaeleza Bi. Titi alikuja kueleza kwa kirefu ugomvi
wake na Nyerere kwenye mahojiano aliyofanya na gazeti la Rai mwaka wa 1994.

Kuhusu ''audio,'' jaribu kuingia www.mohammedsaid.com kisha search: ''Mahojiano na Swahiba FM...

Mohamed Said: MAHOJIANO SWAHIBA FM - MIAKA 55 YA UHURU WA TANGANYIKA WASHIRIKI ENZI TALIB NA MOHAMED SAID WAKIHOJIWA NA SULEIMAN SHABAN
Sidhani kama kuna jambo jema lolote lile ambalo umewahi kulisema kuhusu Nyerere na members wengine wa TANU hasa waislam!! Mtu yeyeto akiamua kufanya utafiti kwa basis ya kutafuta negativity ya binadamu tambua kuwa haiwezi kukosekana kamwe!!

Sidhani kama unatambua madhara ya mbegu na nguvu kubwa unayowekeza katika maandishi yako kuhusiana na uhuru wa Tanganyika!

Unajidanganya na kujinasibu eti unajaribu kurekebisha makosa, lakini huo ni unafiki wa mchana kweupe!!

Ukweli ni kwamba unapandikiza chuki hadharani dhidi ya pande mbili kwa sababu unazozijua mwenyewe!!

Mtu mwenye busara hujikita kueleza mambo mazuri yanayofaa kuigwa vizazi na vizazi kuliko unavyofanya wewe!!

Nadhani una mengi unayoyafahamu kuhusu wapigania uhuru wetu, je, haitoshi kutupa historia yao pasipo kuhusianisha na ugomvi au misuguano na Nyerere!?

Ni busara kutumia maarifa yenu kujenga nyumba imara (pande zote) kuliko kujaribu kupandikiza chuki dhidi ya pande fulani!
 
Sidhani kama kuna jambo jema lolote lile ambalo umewahi kulisema kuhusu Nyerere na members wengine wa TANU hasa waislam!! Mtu yeyeto akiamua kufanya utafiti kwa basis ya kutafuta negativity ya binadamu tambua kuwa haiwezi kukosekana kamwe!!

Sidhani kama unatambua madhara ya mbegu na nguvu kubwa unayowekeza katika maandishi yako kuhusiana na uhuru wa Tanganyika!

Unajidanganya na kujinasibu eti unajaribu kurekebisha makosa, lakini huo ni unafiki wa mchana kweupe!!

Ukweli ni kwamba unapandikiza chuki hadharani dhidi ya pande mbili kwa sababu unazozijua mwenyewe!!

Mtu mwenye busara hujikita kueleza mambo mazuri yanayofaa kuigwa vizazi na vizazi kuliko unavyofanya wewe!!

Nadhani una mengi unayoyafahamu kuhusu wapigania uhuru wetu, je, haitoshi kutupa historia yao pasipo kuhusianisha na ugomvi au misuguano na Nyerere!?

Ni busara kutumia maarifa yenu kujenga nyumba imara (pande zote) kuliko kujaribu kupandikiza chuki dhidi ya pande fulani!
Uncle...
Umenita mnafiki.

Nitashukuru endapo utanithibitishia hilo kwa maana ya unafiki kama inavyokubalika
kwa wasemaji wa Kiswahili.

Pili hili la chuki nipe ushahidi katika maandishi yangu kama kuna chuki.
Tatu ujenzi wa nyumba imara inahitaji msingi imara.

Msingi imara unakuja kwa kuwa na haki sawa kwa wote.
Sikiliza tunayosema:
Mohamed Said: WAISLAM WA TANZANIA NA TATIZO LA UDINI KATIKA WIZARA YA ELIMU
 
Uncle...
Umenita mnafiki.

Nitashukuru endapo utanithibitishia hilo kwa maana ya unafiki kama inavyokubalika
kwa wasemaji wa Kiswahili.

Pili hili la chuki nipe ushahidi katika maandishi yangu kama kuna chuki.
Tatu ujenzi wa nyumba imara inahitaji msingi imara.

Msingi imara unakuja kwa kuwa na haki sawa kwa wote.
Sikiliza tunayosema:
Mohamed Said: WAISLAM WA TANZANIA NA TATIZO LA UDINI KATIKA WIZARA YA ELIMU
Wakati wa udogo wangu wazazi na walezi wangu waliniasa sana kutobishana na wakubwa. Mara nyingi kijana anapofanya hivyo huonekana kupungukiwa adabu!!?

Nakuheshimu sana, itoshe mimi kuamini ujumbe umekufikia kwani mimi si wakwanza kukwambia hayo!

Kwa umri, uzoefu na elimu uliyonayo ni dhahiri kwamba maana nzuri ya neno uliloomba nikupe maana yake unaifahamu tena hata asili ya na matumizi ya mwanzo ya neno lenyewe (mnafiki) naamini unajua.

Kuhusu mbegu ya chuki, narudia tena waweza kuwa unatambua kabisa na unafanya makusudi au unaandika na hupimi madhara ya maandishi yako kwa upande wa pili katika jamii.

Maandishi yanaishi, sidhani kama watoto na wajukuu zako wangependa kuona huko mbeleni maandiko yako yakitumika kuhamasisha na kuchochoe kelele za hapa na pale badala ya kutumika kutuliza kelele zinapoibuka!!

Si dhambi baadhi ya mambo yaliyofanywa na wakubwa na yanayoonekana yakiwekwa hadharani huenda yakachochea minong'ono isiyo mizuri kubaki huko huko yalipo!

Ndio maana hata kama babu wa babu alikuwa mchawi au mwanga katika familia fulani, baba mwenye busara hawezi kujihangaisha kuelezea watoto wake namna babu huyo alivyokuwa maarufu kwa uchawi labda kama anataka watoto warithi uchawi huo!

Nchi nyingi zina siri kubwa kubwa na viongozi wengi wana siri na wanafahamu mengi kuhusu waliowatangulia

Vijana wana tamani kufahamu siri za ushindi wala sio nani alimnyang'anya nyumba nani na alikuja kurudishiwa na nani!

Kuna mengi mazuri ya kujifunza kutoka kwa kina Bibi titi, familia ya Skyes, Nyerere na wengine wengi sana walioshiriki kuikomboa Tanganyika!

Lakini kwa namna unavyowasilisha mada zako, kuna mengi mazuri unayaacha ambayo pengine ndo ya msingi sana na watu wangejifunza kitu kuliko kujaza hadithi za migogoro Kati ya fulani na fulani!

Aidha nikutakie heri ya Krismas na baraka tele tunapoelekea kuupokea mwaka mwingine tena!
 
Kuna watu waliipigania nchi yetu kwa jasho lakini kuna wasiotaka wajulikane kwa vizazi vya sasa na vijavyo, na hapo suala la udini limehusika. Hongera yake Bibi Titi Mohamed. Mkuu Mohamed Said hicho kitabu kinapatikana wapi?
Ukisema hivyo utakuwa unakosea mwanajukwaa
Tofauti ni kawaida ktk dunia hii
Katika kila harakati kunakuwa na mtu wa kuzipamba hizo harakati
Ni kweli mtupu kuwa uhuru uliletwa na watu wengi na kuwataja wote haiwezekani
Ni katika kumfuatilia huyo aliyeleta uhuru ndio tunajua ni akinanani alishirikiana nao
Kwa mfano Mwl alisema kuwa bila wazee wa dar es salaam ambao wengi walikuwa waislam asingefanikiwa ktk harakati zake
Bibi Titi ni shujaa na vizazi vitaendelea kumkumbuka milele
 
Betony,
Tatizo la historia ya Tanganyika iliingia kasoro pale baada
ya uhuru zilipotengenezwa njama za kuwafuta baadhi ya
wazalendo na kujaribu kuibadili historia nzima.

Ndiyo maana ikawa historia nzima inazunguka kwa mtu
mmoja.

Hili nililitambua nilipokuwa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam
na nilibishana sana na walimu wangu kuhusu hili.

Walikuwa wabishi na ilhali hawana moja walilokuwa wanalijua
kuhusu historia hii.
 
Back
Top Bottom