Tamthilia ya Siri ya mtungi (wahapahapa) ndio filamu bora kuwahi tokea Tz

Tamthilia ya Siri ya mtungi (wahapahapa) ndio filamu bora kuwahi tokea Tz

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Niseme tu kwa upande wangu ile filamu ilikuwa bora sana. Waigizaje wake walivaaa uhusika vema pia director alijitahidi.

Ile kwa mm ndio project na tamthilia bora toka nchini kwetu. Huwezi fananisha na uchafu wa saluni ya mama kimbo
 
Niseme tu kwa upande wangu ile filamu ilikuwa bora sana
Waigizaje wake walivaaa uhusika vema pia director alijitahidi
Ile kwa mm ndio project na tamthilia bora toka nchini kwetu
Huwezi fananisha na uchafu wa saluni ya mama kimbo
Kweli Siri ya mtungi ilikuwa tamthiliya bora na ilitambulisha vipaji vingi ambavyo vinafanya poa kwa sasa.

Sema japo mimi sikuwa mpenzi wa filamu na tamthiliya za ndani, ila siku hizi wabongo wamepiga hatua sana. Ramata atafika mbali sana akiendelea na kasi yake.
 
Niseme tu kwa upande wangu ile filamu ilikuwa bora sana
Waigizaje wake walivaaa uhusika vema pia director alijitahidi
Ile kwa mm ndio project na tamthilia bora toka nchini kwetu
Huwezi fananisha na uchafu wa saluni ya mama kimbo
Mzungu akihusika kwenye jambo huwa hakiharibiki kitu. Kingine pia kilichochangia ni ushirikishwaji wa wazawa wamongwe na wenye weledi katika uandaaji na uigizaji.

Hizi tamthilia nyingine za wapaka Black Kichwani zinatayarishwa na wababaishaji.
 
Kweli Siri ya mtungi ilikuwa tamthiliya bora na ilitambulisha vipaji vingi ambavyo vinafanya poa kwa sasa.
Sema japo mimi sikuwa mpenzi wa filamu na tamthiliya za ndani, ila siku hizi wabongo wamepiga hatua sana. Ramata atafika mbali sana akiendelea na kasi yake.
Huyu Ramata ndio wa Jua Kali?
 
Mzungu akihusika kwenye jambo huwa hakiharibiki kitu. Kingine pia kilichochangia ni ushirikishwaji wa wazawa wamongwe na wenye weledi katika uandaaji na uigizaji. Hizi tamthilia nyingine za wapaka Black Kichwani zinatayarishwa na wababaishaji.
Naomba unisaidie director wa ile movie je na karabani alihusika?
 
Niseme tu kwa upande wangu ile filamu ilikuwa bora sana
Waigizaje wake walivaaa uhusika vema pia director alijitahidi
Ile kwa mm ndio project na tamthilia bora toka nchini kwetu
Huwezi fananisha na uchafu wa saluni ya mama kimbo
Sasa ile director ni mzungu si unawajua wazungu hawana jambo dogo..

Alafu kwa kumbukumbu tu director wa siri ya mtungi ndio alikuwa director wa filamu za zamani ya neria, yellow cards , na filamu nyingine nyingi za mafunzo katika africa so ni professional na mwenye experience ya kutosha plus vifaa vya kisasa na channel anayo..
 
Huyu Ramata ndio wa Jua Kali?
Yes Jua kali naona pia kahusika kwenye ile tamthilia nyingine sijui inaitwaje nayo iko 160 ina plot kama ya kale fulani.

Ana spirit kama ya Diamond inaelekea habanii kutoa pesa kupata kitu kizuri. Ile scene za yule dada alizokuwa akiigza kama anamekuwa kama kichaa alimpeleka milembe kuonana na dr wa magonjwa ya akili ili amweleze inakuaje na tips nyingine
 
Naomba unisaidie director wa ile movie maana kuna jamaa ananiambia ile ilikuwa project ya karabani kupitia mpango wa MFDI ambapo ile project wazungu walitoa zaidi ya 8 bilion je kuna ukweli?
Executive Producer simjui lakini kwenye utayarishaji hadi upigaji wa picha wazungu walihusika sana.
 
Niseme tu kwa upande wangu ile filamu ilikuwa bora sana
Waigizaje wake walivaaa uhusika vema pia director alijitahidi
Ile kwa mm ndio project na tamthilia bora toka nchini kwetu
Huwezi fananisha na uchafu wa saluni ya mama kimbo
Sitawasahau
  1. Yombayomba
  2. Mzee Small
 
Sasa ile director ni mzungu si unawajua wazungu hawana jambo dogo..

Alafu kwa kumbukumbu tu director wa siri ya mtungi ndio alikuwa director wa filamu za zamani ya neria, yellow cards , na filamu nyingine nyingi za mafunzo katika africa so ni professional na mwenye experience ya kutosha plus vifaa vya kisasa na channel anayo..
Wale pia walitengeneza filamu fulani alikuwemo sharo milionea rip, jokate na yusuph mlela nadhani ilikuwa inahudu malaria.
Yes, na eti walitafuta mtz wa kuandika script akakosa wakapata msouth kwa ajili ya siri ya mtungi. (Ni heresay sina uthibitisho juu ya hili).
Wale ni makaburu wa zimbabwe
 
Wale pia walitengeneza filamu fulani alikuwemo sharo milionea rip, jokate na yusuph mlela nadhani ilikuwa inahudu malaria.
Yes, na eti walitafuta mtz wa kuandika script akakosa wakapata msouth kwa ajili ya siri ya mtungi. (Ni heresay sina uthibitisho juu ya hili).
Wale ni makaburu wa zimbabwe
Mkuu kweli wewe mdau, safi sanaa🤣
 
Sasa ile director ni mzungu si unawajua wazungu hawana jambo dogo..

Alafu kwa kumbukumbu tu director wa siri ya mtungi ndio alikuwa director wa filamu za zamani ya neria, yellow cards , na filamu nyingine nyingi za mafunzo katika africa so ni professional na mwenye experience ya kutosha plus vifaa vya kisasa na channel anayo..
Kuna umuhimu kuka tena kuamdaa project nyingine
 
Mkuu kweli wewe mdau, safi sanaa🤣
Sio kihivyo mkuu mimi napenda sana IDx, judge Judy, history channel chopped, na discovery 181. Sema kuna vitu vinanivutia kwenye juakali hasa maria na luka. Yule luka napenda uigizaji wake hasa anavyobadilika. Anavyoigiza kwenye juakali ni tofauti anavyoigiza kwenye samira maana huku kama mpole mlokole lofa huku gaidi mbabe.
Napenda sketa inavyokuwa kiasi kwamba huku aliigiza kapauka alivyotaka kuigiza samira ikabidi aende gym, aongeze mwili ili kuendana na ubabe.
Haya zamani yalikuwa hayafanyiki. Industry inakua nadhani DSTV wanawalipa pesa nyingi hawa madirector
 
Ukiitaja Siri ya Mtungi ni sawa na kumtaja Cheche Mtungi
 
Wale pia walitengeneza filamu fulani alikuwemo sharo milionea rip, jokate na yusuph mlela nadhani ilikuwa inahudu malaria.
Yes, na eti walitafuta mtz wa kuandika script akakosa wakapata msouth kwa ajili ya siri ya mtungi. (Ni heresay sina uthibitisho juu ya hili).
Wale ni makaburu wa zimbambwe
8748FDD2-B6E8-4BC1-9CEC-5B1B90EE0D18.png
 
Mkuu nasikia waliisitisha kwakuwa mambo hayakwenda kama walivyotarajia
Ile ilikuwa project series is managed by STRADCOM, a project of the Johns Hopkins Bloomberg School of Public Health Center for CommunicationPrograms (CCP

Labda tuseme pesa ya project iliisha
 
Kuna umuhimu kuka tena kuamdaa project nyingine
Ipo haja hiyo sana tu hapo bongo kuna stories nyingi sana tamu za kuandikia filam kubwa na zikatamba duniani..
Mfano mv Victoria (ikimpata muandaaji mzuri itatikisa dunia)
Ajali ya treni ile..
Mapinduzi ya zanzibar (hii nayo inaweza kusimamisha dunia)
Vita ya majimaji..

Hii sector inafursa hatari ila ndo hivyo wahusika wameridhika kutukanana na chawa wa diamond..
 
Huyu mama yake maida kwa sasa yupo wapi?
Kwangu alikuwa mmoja wa waigizaji bora
D24B0800-1500-4EEC-A514-7556B721F51B.jpeg
67692611-527D-4C0F-9EC1-BD206C90AB18.jpeg
 
Back
Top Bottom