Ana uso km kiatu😂😂Kuna mmbea anaitwa Javidan...yuko vzr
Leo kimewaka..
Ana uso km kiatu[emoji23][emoji23]
we jamaa na wewe unafuatilia tamthiliaVolcan bado anashinda hii game nimempa double chance (IX FT)
sijui lakini ila kwangu hapana kwakeliKwanini asifatilie mkuu..hii ni ya kuangalia wote hasa wanaume mjifunze...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wambea hata wawe matajiri ni hawaelewekii[emoji38][emoji38]
Kile kitoto ni kijingaaa...kimeenda kumute sauti...ili aonekane Asia mbaya