Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
koh koh Koh Ndio mkweo mdomo koma mdomo komaAmeunguza picha kwa mama ombenii
Mbaya hata sizipendi.[emoji13] mbayaa kiukwel
Sijawahi ielewaa Hatia.
Mbwana ana muogopa mno yule mwalimu wa kiume, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbwana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji114]
Umri pia unachangia, ila amefungasha kifuani Kitambo.Naona kama amebadilika sana
Tofauti na kipindi kile anacheza Ile Samanta na Claud sijui
Kuigiza anajua sana.
Nimeimiss zahanati jamani, kwani ombeni alikufa[emoji849]Ameunguza picha kwa mama ombenii
Hajafa
Inaelekea tamatiTupeani updates za Zahanati ya kijiji