Kinengunengu
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 1,716
- 4,375
Kwa mimi naona hana shida kwani watu wa nsmna ile pasua kichwa wapo ila naona kuna tatizo na shida kwenye character ya mapenzi ya Ray na Chuchu. Yaani ni kama mapenzi ya kuku/vifaranga. Pale wamebugi hakuna duniani maisha ya namna ile au ndio vijana wa Dar mnaishi hivyo majumbani mwenu?halafu ile ya kina ray "jeraha" character ya yule kishtobe inakera jamani dah
Zahanati Inaisha ghafla jmn🥺naona jana mtendaji karopoka pale kwa mama msichoke kaisha huyuu
Ile iko sawa,sema yule dada anatumia nguvu nyingi mno.halafu ile ya kina ray "jeraha" character ya yule kishtobe inakera jamani dah
Tatizo la Bongo tunapenda vitu fastaa, hii tamthilia ilibidi iende hadi vipande si chini ya 150.Zahanati Inaisha ghafla jmn[emoji3064]
Mwisho leo.
Huku mwisho Abdul ameikimbiza sana,kuna haja ya Azam kupanga wigo maana nadhani walisema wanarusha eps si Zaidi ya 80.
Zahanati Inaisha ghafla jmn
mimi tangu mwanzo nimeipenda hii nzuri sana thea yule dada akicheza na roho mbaya utapendaIle iko sawa,sema yule dada anatumia nguvu nyingi mno.
hata mimi nashangaa ila ni uhalisia the same to mlilo na kishobe si unawaona? chuchu kapenda na mlilo kule kapendaKwa mimi naona hana shida kwani watu wa nsmna ile pasua kichwa wapo ila naona kuna tatizo na shida kwenye character ya mapenzi ya Ray na Chuchu. Yaani ni kama mapenzi ya kuku/vifaranga. Pale wamebugi hakuna duniani maisha ya namna ile au ndio vijana wa Dar mnaishi hivyo majumbani mwenu?
Thea ni muigizaji mkongwe na mzuri.mimi tangu mwanzo nimeipenda hii nzuri sana thea yule dada akicheza na roho mbaya utapenda
hata hiyo nzuri mara ya mwisho niliiachia kule hotelin nelson alianguka sijui alipatwa na nn?Thea ni muigizaji mkongwe na mzuri.
Kwa kweli mimi naipenda ya fungu langu.
Alihudumiwa akapata nafuu,Muda huohuo mkewe akaenda kutapika,hata hiyo nzuri mara ya mwisho niliiachia kule hotelin nelson alianguka sijui alipatwa na nn?
yule dogo newton anapiga mpaka shangazi na lucy mke wa faza?duh
Azam wanapokea vipindi vichacheTatizo la Bongo tunapenda vitu fastaa, hii tamthilia ilibidi iende hadi vipande si chini ya 150.
Kwa kifupii wanakosea, mbna DSTV kule at least wanajitahidi,
Ila hata Jua kali naona inaelekea ukingoni pia.
Sana mkuu upo kama mimiWakuu habarii,
Kiukweli naomba nianze kukiri kuwa Mimi binafsi sio Mpenzi wa Tamthilia/Filamu za hapa nyumbani Almaarufu kwa Jina la Bongo Movie na hii inatokana na Tamthilia/Filamu zetu kuwa na Ubora Mdogo Jambo ambalo Limetufanya kuvutiwa zaidi na Uamthilia za Ughaibuni.
Siku Moja Majira ya saa 1 Usiku Nilipokosa cha kufanya Nikiwa Sebuleni Nilikutana na Tamthilia tajwa hapo juu ikiwa inaonyweshwa kupitia Channel ya Sinema Zetu inayopatikana katika King'amuzi cha Azam.
Kiukweli baada Kuiangalia Nilivutiwa mno na Tamthilia hiyo huku nikivutiwa zaidi na Wahusika wake walivyovaa Uhusika , Ubora wa Sauti na Picha sambamba na Mazingira/Manthari waliyoigizia kwakweli hongera Director kwa kazi nzuri.
Mwisho nahitimisha kwa kusema kuna haja sasa kwa Bodi ya Filamu hapa Nchini kuwapiga Msasa Waongozaji wa Tamthilia na Filamu hapa Nchini kuhakikisha wanaandaa Kazi zenye Viwango vya Kimataifa pamoja na kutunga Story zenye kuakisi Maisha ya Watanzania walio wengi ili ziweze kupata nafasi ya kuonekana katika Majukwaa Mbalimbali ya Kimataifa kama vile Netflix,Amazon Video, Prime Video, Fubo Tv, Hbo Tv, AppleTv +,Acorn Tv,Disnep +, Hulu nk.
Nawasilisha
KUKUMSELA.
Mama Mwazani ametia huruma jamani.zahanati ya kijiji umetuacha, hakika ni moja ya kazi nzuri
kile kipande zagalo anamtumia text masalu mjini kinagusa moyo sanaa
pia pale mama mwazani na wanae mbwana alipofeli inauma
all in all kazi nzuri
mtendaji alikamatwa oa polisi na dokta, gati alikimbia wakamdaka naeMama Mwazani ametia huruma jamani.
Halafu sijafanikiwa kuangalia kipindi cha kwanza,niliikuta pale bi Ubwa Analia.
Sema Kimbembe ni comedian yule jamaa
kimbembe ndo yupiMama Mwazani ametia huruma jamani.
Halafu sijafanikiwa kuangalia kipindi cha kwanza,niliikuta pale bi Ubwa Analia.
Sema Kimbembe ni comedian yule jamaa
Mbwanakimbembe ndo yupi
Sifuatilii hizi mambo lakini hapo kwenye zahanati zisizo na wafanyakazi wapuuzi unaishi Tanzania ipi mkuu?Kwahiyo nawe kuna manesi wanaishi na kufanya vile kwenye zahanati ipi nchi hii. Wameongeza sana Mbwembwe na kuua uhalisia wake bro.
Kosa 1 niliachaa kitamboo, japo mwanzo niliipendaa, ila ilikuja kunikataa stimu kabisaa aaahAzam wanapokea vipindi vichache
Inawapa shida maproducer, Inabidi akimbize tu ili iishe.
Ila ninachoshukuru Mungu kosa moja imeisha
Ilikuwa inanikera[emoji1787],Jvoice na Nembo tu ndo walikuwa wananichekesha.
Bwaja na yule bekitatu walikuwa wananiboa tu.
Waandishi wa habari hakuna kitu pale,
Caty hakuna kitu
Mtu anaigiza msanii hata kuimba hawezi.
Inshort ilikuwa inachosha.