Tamthilia yaanzisha tena ugomvi

Tamthilia yaanzisha tena ugomvi

Ziro Buyu

Member
Joined
Nov 1, 2016
Posts
39
Reaction score
39
Yani tumetoka kusuluhishwa ukweni suala langu la kuchepuka ila tunarudi nyumbani tunawasha TV tu tunakuta tamthilia halafu mwanaume ana wanawake wawili na ana mtoto nje halafu mke wake hajui. Yani hapa nishanuniwa tena.
 
Yani tumetoka kusuluhishwa ukwenj suala langu la kuchepuka ila tunarudi nyumbani tunawasha TV tu tunakuta tamthilia halafu mwanaume ana wanawake wawili na ana mtoto nje halafu mke wake hajui. Yani hapa nishanuniwa tena.
😅😅😅😅😅😅
 
Hao wenzetu huwa wanacopy KILA kitu bila kuchuja.
Vitu vyao huwa haviishi. Mimi najuta nilitongoza dada wa Kazi yaani ikafika hadi ukweni.
Nimekoma yaani hata awe mzuri kuzidi malaika nitaweka plasta tu machoni kulinda heshima. Sikutafuna ila maneno yake ni bora ningetafuna tu.
 
Hao wenzetu huwa wanacopy KILA kitu bila kuchuja.
Vitu vyao huwa haviishi. Mimi najuta nilitongoza dada wa Kazi yaani ikafika hadi ukweni.
Nimekoma yaani hata awe mzuri kuzidi malaika nitaweka plasta tu machoni kulinda heshima. Sikutafuna ila maneno yake ni bora ningetafuna tu.
Shadeeya Kuna muujiza mwingine hapa,,

Ila na wewe ni kilaza kutongoza tu ukashikwa😂😂😂Kama naliona Hilo timbwili sidhani hata km ulisimamisha kwa kipindi Cha mwezi mzima
 
Yani tumetoka kusuluhishwa ukwenj suala langu la kuchepuka ila tunarudi nyumbani tunawasha TV tu tunakuta tamthilia halafu mwanaume ana wanawake wawili na ana mtoto nje halafu mke wake hajui. Yani hapa nishanuniwa tena.
iyo faya ban
 
Hv tamthilia hz acha kabisa,kuna muda zinawagusa kabsa namna mahusiano yenu yanavyoenda
 
Shadeeya Kuna muujiza mwingine hapa,,

Ila na wewe ni kilaza kutongoza tu ukashikwa😂😂😂Kama naliona Hilo timbwili sidhani hata km ulisimamisha kwa kipindi Cha mwezi mzima
Hahahaaa. Huyo kanyooshwa na si ajabu kila mke akikumbuka anaiweka hoja mezani mpaka inaleta tena mtafaruku upyaa. 😅

Ila nini ndo akome.
 
Hv tamthilia hz acha kabisa,kuna muda zinawagusa kabsa namna mahusiano yenu yanavyoenda
Yani kama hii ya Two wife ya Azam mpaka natamani iishe maana inaninyima raha nashindwa hata kuchangia mada, halafu utakuta mchepuka anakupigia simu yani mwenzenu, sasa hivi napenda taarifa ya habari tuu.
 
Alokudanganya kesi ya kuchepuka huwa inaisha ni nani?
 
Back
Top Bottom