Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,H
Hongera sana mkuu kwa kutoa point ya mbolea. Maana sio siri zile comments zako za
"Ngoja waje, kukupa muongozo.........
Cc: mahondaw "
zinakeraga basi tu, ni vile tu kila mtu ana uhuru wa kupost anachotaka
HII NI HOJA YA KIBWEGE KULIKO HOJA YOYOTE KATIKA UZI HUU!!!Kama umeajiriwa ishike Ajira yako.
N
Naomba msaada hivi unawezaje kuweka kumbukumbu
Yes details ndogondogo mara nyingi tunazidharau lakini ndozenye maana kwenye biashara mkuu,haikuwa rahisi maana nilikata mpk mtaji wenyewe lakini nilisimama tena now namshukuru Mungu
Katika ufugaji
ni bora ufuge mbwa wa kisasa na siyo kuku wa kisasa
wahenga wanasema ujinga ni kwenda tu na siyo kurudi
pambana
Inachu
Inachukua Muda gani ili uwe kwenye mtelezooo
Ndugu mkewangu ni mrokole ana imani kali sana anasali karibia siku zote za week, hata chanzo cha kufilisi duka ni sababu alikuwa anafungu muda mchache muda mwingi yuko kanisaniUsimkatishe tamaa inawezekana hukumfundisha namna ya kujitegemea mke ndo msimamizi na msaidizi mkuu Jaribu kumuelimisha lakini muulize yeye Anapenda kusimamia nini mfungulie asimamie
UMEKUJA KUWAPA MWONGOZO.Juhudi zako... Networking, good customer care...
Branding yourself, usifanye biashara kwa mazoea, kubali kubadilika, jifunze vitu vipya, don't copy but learn from the best...
Uvumilivu, wenye maneno mazuri na wenye matusi wote ni wateja...
Cc: mahondaw
HILI NI TATIZO KAMA SIO JANGA HILI!!!Ndugu mkewangu ni mrokole ana imani kali sana anasali karibia siku zote za week, hata chanzo cha kufilisi duka ni sababu alikuwa anafungu muda mchache muda mwingi yuko kanisani
Hiyo ninusu hasala kwasababu dar kuku walio kufa wanasoko lao piaNilipata yes pale ubungo baada ya kuona kila siku naokota kuku wamekufa tena wakiwa wakubwa teyari kwa kuuzwa nikampeleka pale walipompima wakasema ni typhod na dawa nazowapa ni sawa sema wamekunywa dawa kwa mda mrefu hivyo wako weak niwape vitamin ya kutosha na glucose but still haikupunguza vifo kabisa,i gave up
Labda alikuwa anakopesha sanaNdugu mkewangu ni mrokole ana imani kali sana anasali karibia siku zote za week, hata chanzo cha kufilisi duka ni sababu alikuwa anafungu muda mchache muda mwingi yuko kanisani
Duh sisi tuliokoka sijui tunakwama wapimrokole
Kununua na kuuza nguo za ndaniUnajihusisha na biashara gani mkuu?.
Ni kweli kabisa inawezekana mke hakua na uzoefu wala ujuzi katika biasharaUsimkatishe tamaa inawezekana hukumfundisha namna ya kujitegemea mke ndo msimamizi na msaidizi mkuu Jaribu kumuelimisha lakini muulize yeye Anapenda kusimamia nini mfungulie asimamie
Usikate tamaa kaka we endelea kuaa mvumilivu sababu hakuna kitu rahisi,ndivyo tunavyopitia hivyo sio wewe peke akoMkuu Mimi nina wiki ya pili tangu nimefungua duka kuna siku sijauza siku mbili hata ile mia mbovu
lakini napata mawazo ya watu eti location niliyoipata si rafiki duh mawazo juu ya mawazo
nimeanza na mtaji kiasi ila najitahidi Kila nikipata hela naongeza mzigo dukani labda siku moja nitasimama