MrKanteChelsea
JF-Expert Member
- May 12, 2019
- 203
- 237
Wanachelewa kulala lakini wanawahi kuamka, ni kina mama wauza maziwa katika Kituo cha Nyichoka Kata ya Kyambahi Wilaya ya Serengeti ili kuwahi wateja kwenye mabasi yanayopita saa 12 kuelekea Musoma,Bunda na Mwanza.
Kwa kuwa wengi wao hukamua wenyewe ,huwalazimu kuanza saa 10 alfajiri muda ambao unatajwa kuwa ni hatari kwa kuwa wanyama wakali kama Simba na Tembo hurandaranda katika maeneo yao ambayo yanapakana na maeneo yaliyohifadhiwa.
Ili kujua undani wa shughuli yao ikiwemo kukamua,maandalizi hadi kuingia Sokoni,timu ya Serengeti Media Centre inalazimika kutinga Kitongoji cha Songambele saa 10 alfajiri na kubahatika kukutana na akina mama hao..
Tazama Hapa Makala Haya >>>>
makala hii nikeipenda wana jukwaa wenzangu kama kuna mtu ashawahi kupita hapo ataelewa hadi huruma
Kwa kuwa wengi wao hukamua wenyewe ,huwalazimu kuanza saa 10 alfajiri muda ambao unatajwa kuwa ni hatari kwa kuwa wanyama wakali kama Simba na Tembo hurandaranda katika maeneo yao ambayo yanapakana na maeneo yaliyohifadhiwa.
Ili kujua undani wa shughuli yao ikiwemo kukamua,maandalizi hadi kuingia Sokoni,timu ya Serengeti Media Centre inalazimika kutinga Kitongoji cha Songambele saa 10 alfajiri na kubahatika kukutana na akina mama hao..
Tazama Hapa Makala Haya >>>>
makala hii nikeipenda wana jukwaa wenzangu kama kuna mtu ashawahi kupita hapo ataelewa hadi huruma