Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
salaam, nimekumiss Numbisa njoo tucheke pamoja.View attachment 1264333
Inaboa uzi mrefu kuunganishwa. Mods acheni wivu. Sijui niwatukane aah tatizo mnaringia kitisho cha Ban
I miss my thread "Njoo tucheke pamoja"
Looo, kumbe buza majanga? Nitakuwa sisimami huko
Nitakununulia zawadi[emoji23][emoji23]
Ule Uzi ulipoteza mvuto, mapicha yalianza kujirudia yaleyale!Numbisa, Uzi mashuhuri wa Njoo Tucheke pamoja umehamishiwa wapi? Una tatizo gani mpaka umehamishwa wakati ni uzi wa muda mrefu?
Sijaona cha kuchekesha hapa... Skuli ni neno la kiswahili
[emoji23][emoji23]
.
Hivyo ficha upumbavu wakoView attachment 1264333
Inaboa uzi mrefu kuunganishwa. Mods acheni wivu. Sijui niwatukane aah tatizo mnaringia kitisho cha Ban
I miss my thread "Njoo tucheke pamoja"
.
Si hapa
[emoji23][emoji23] kuna uzi mmoja unasema kila mwana jf ana hasira [emoji23] kitu kidogo usha catch feelingsContent nzima ni hii
Hivyo ficha upumbavu wako
Sasa ile "Picha" ya skuli, Tanzania bara tunaona ni kingereza (school)lakini wenzetu wanalitumia kwenye kiswahili kawaida..Ofcourse mie pia ni mwana JF