Nakubaliana na hoja kuwa kwa issue ya ajira, ni kila sehemu hapa nchini. Mtoa hoja wa kwanza, unless una specific mfano, kutaja sehemu hizi mbili tu kunaifanya hoja yako kuonekana haina nguvu. What about Division za wildlife, Fisheries, Forestry and Bee Keeping ect ambazo zipo pia chini ya wizara husika ?
Hivyo vyuo vinatoa wahitimu wengi, na hatutarajii wote waajiriwe mara moja na taasisi hizo mbili tu. Na pia kumbuka kuna SUA pia ambao wanatoa wahitimu ktk field hiyo, bila kusahau Tumaini University ect