Tanapa ajira- who know you?? Bila kimemo huajiriwi, mh ezekiel maige unajua hilo??

Tanapa ajira- who know you?? Bila kimemo huajiriwi, mh ezekiel maige unajua hilo??

jamani urasimu uko kote kikubwa ni post unayoomba na qualifications , mi niko Tanapa post niliyoomba ilikuwa huwezi kuchakachua
 
jamani urasimu uko kote kikubwa ni post unayoomba na qualifications , mi niko Tanapa post niliyoomba ilikuwa huwezi kuchakachua
ni kweli kuna post kama za ulinzi hakuna mtu mwenye time nazo kiviile
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Kiukweli wadau issue ya ajira si Tanapa tu ni mashirika yote yanayoajiri na sasa limesakuwa chezo maana bila milioni au laki tano hupati kazi hata kama una qualification mwenye pesa anachukua kazi.
 
TANAPA ni shamba la vigogo
Kuna demu flani kasomea UDSM (KOZI YA AJABU) ila leo ni ecologist wa Tarangire National Park
Najiuliza alipataje ile nafasi nikaambiwa baba yake ni board memba wa TANAPA
 
Kati ya mashirika yenye bureaucrazy katika ajira ni TANAPA na NGORONGORO CONSERVATION.

Hakuna uwazi katika ajira. Watoto wa Vigogo fulani fulani au watu wenye majina ndo wanaajiriwa.

Solution: Nashauri Tume ya Utumishi waajiri Katika TANAPA.

Namshauri Waziri Ezekiel Maige afuatilie hii kitu, afanye uchunguzi.

Maige hana ubavu wa kui-control TANAPA kwanza kiuhalisia anayeendesha Wizara ya Maliasili na Utalii si Maige bali Mkurugenzi wa TANAPA. Maige hana ubavu wo wote kwa huyu jamaa wa TANAPA
 
Sio TANAPA tuu jamani taasisi nyingi bila kuwa na kimemo hupati ajira, ata kama unavigezo vyote.
 
sehemu nyingi sana kuna urasimu-ila kuna vjana wameajiriwa wiki hii TANAPA bila kuwepo kwa uchakachuaji wowote-kwa hio si mara zote kuna kuwaga na urasimu
.wewe acha kutangaza uongo mm nilikuwepo kwenye interview ile tuliyoona yanakatisha tamaa hebu waulize waliopata wakwambie
 
sio TANAPA tu CAG pia wawachunguze NGORONGORO CONSERVATION ndio kuna uwozo uliokubuhu kama wewe sio wa ukoo wa kigogo sahau kupata kazi ngoro*2consvation hata kama una sifa zote zinazotakiwa
 
Back
Top Bottom