Watanzania, Tuelimike. Ni lini tutaacha kutokuwa reasonable, Mnyonge Mnyongeni na Hiki apewe.
1. kazi ya kuwafanyia usaili waliokuwa shortlisted imefanywa na UCC HQ Iliyo na ofisi UDSM. (mlitaka usaili ufanyikie wapi?,
Dodoma?)
2. Uliengojea simu, Did U do your homework, atleast go and see on UCC news board?
3. To me, kuitwa kwa watu mia kadhaa ni sahihi ili kukuongezea nafasi ya kushinda hiyo nafasi, hujui tu kuwa waombaji walikuwa wangapi, think outside the box. now ajira ni very competitive, you need to be very exceptional, and without faint heart...........