Upekuzi101
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 221
- 542
Salamu kwa wote.
Kutokana na kuporomoka kwa dollar, wafanyabiashara ya utalii wamejikuta wakipata hasara kubwa kutokana na exchange rate ya Tanapa kubaki kuwa 2609 Tzs huku thamani ya dollar sokoni ni 2300$.
Pamoja na serikali kusisitiza matumizi ya shillingi bado kwenye biashara ya utalii dollar ndio hutumika kumchaji mgeni.
Mgeni lazima amlipe tour operator kwa exchange rate inayoonekana mtandaoni hasa rate inayotangazwa na BOT, kinyume chake Tanapa wao wamebaki palepale kwenye rate yao ya 2609Tzs.
Kama Tanapa hawatakuwa wasikivu na kutembea na rate ya BOT kama inavotangazwa kila siku, basi mtaua utalii wenyewe kwa kuifanya kuwa biashara isiyokuwa na faida tena.
Tatizo dogo kama rate isirudishe nyuma juhudi za Rais Samia za kukuza utalii. Au pendekezo jingine ni kuweka viwango vya park fees kwa shillingi za kitanzania Ili kuepusha kukimbizana na exchange rate za kila siku ukizingatia dollar inazidi kuporomoka kwa kasi na hatujui huenda ikafika hadi 1500tzs kwa dollar 1 ya kimarekani.
Kutokana na kuporomoka kwa dollar, wafanyabiashara ya utalii wamejikuta wakipata hasara kubwa kutokana na exchange rate ya Tanapa kubaki kuwa 2609 Tzs huku thamani ya dollar sokoni ni 2300$.
Pamoja na serikali kusisitiza matumizi ya shillingi bado kwenye biashara ya utalii dollar ndio hutumika kumchaji mgeni.
Mgeni lazima amlipe tour operator kwa exchange rate inayoonekana mtandaoni hasa rate inayotangazwa na BOT, kinyume chake Tanapa wao wamebaki palepale kwenye rate yao ya 2609Tzs.
Kama Tanapa hawatakuwa wasikivu na kutembea na rate ya BOT kama inavotangazwa kila siku, basi mtaua utalii wenyewe kwa kuifanya kuwa biashara isiyokuwa na faida tena.
Tatizo dogo kama rate isirudishe nyuma juhudi za Rais Samia za kukuza utalii. Au pendekezo jingine ni kuweka viwango vya park fees kwa shillingi za kitanzania Ili kuepusha kukimbizana na exchange rate za kila siku ukizingatia dollar inazidi kuporomoka kwa kasi na hatujui huenda ikafika hadi 1500tzs kwa dollar 1 ya kimarekani.