TANAPA yafufua ujenzi hoteli ya kitalii Chato

Ndiyo inajengwa sasa, nenda kajinyonge
😄 🤣 😂 hahaahaha Mobutu pia alijenga hotel Gbadolite na international Airport kama mwendazake leo ni magofu poleni kwa wanyama wote waliohamishwa kufa Burigi
 
Watu watapigaje pesa?
 
[emoji1] [emoji1787] [emoji23] hahaahaha Mobutu pia alijenga hotel Gbadolite na international Airport kama mwendazake leo ni magofu poleni kwa wanyama wote waliohamishwa kufa Burigi

Inajengwa tena ya nyota 5
 
Ma- Chadema mnajishusha sana hadhi yenu kupingana na maendeleo ya CCM, kutoka mwaka 2015 mlipoinuliwa na Lowasa kisha mkaangukia pua mmebaki na maweweseko tu, nakuhakikishia Historia ya CHUMA JPM hata ungefanyaje hauwezi kuifuta na vizazi vingi vijavyo vitamsoma kama Rais aliyethubutu kufanya mambo yaliyowashinda wengi . wewe baki na maweweseko yako hamna mvuto wowote. kwishinei.
 
Wateja watakuwa kina nani?
Vipi airport kwa siku ndege ngapi zinatia Chato aka Gbadolite airport?

Wateja watakuwa ni nyumbu wa ufipa, wakiachiwa ufipa wataenda hiyo hoteli
 

Uko sahihi
 
Wateja watakuwa ni nyumbu wa ufipa, wakiachiwa ufipa wataenda hiyo hoteli
Hahahaha kumbe nyumbu wa ufipa walijengewa airport chato 😄 🤣 😂 wale nyumbu wa Burigi walikufq wote au watapanda meli?
 
Kwa hiyo mama kizimkazi kwenda na wasanii korea kusini kusaini mkopo wa trilioni 6.51 ndo kuna tija?
 
Chadema waendelee na rushwa za uchaguzi wa kanda maana wametudhihirishia watanzania kwamba hawana sifa tena ya kuongoza ndani ya nchi hii.
 
Actualy kwenye hili nitawatetea, hii ilikuwa order ya aliekuwa mkuu wakati huo. Haukua mpango wao, na ujenzi ulianza mkuu akiwanbado yupo madarakani
 
Tanapa inamiliki hoteli ngapi za kitalii Tanzania? Tangu lini taasisi ya serikali iliweza kufanya biashara kwa ufanisi? Hayo ni matumizi mabaya ya kodi zetu .
Tanapa haimiliki hoteli basicaly, but hii ilikuwa order kutoka juu wakati wa mtu yule, hawakuwa na namna
 
Ujinga mzigo.

Tanapa ina mbuga zaidi ya kumi na tano,ipo Serengeti,Kilimanjaro,Tarangire,Manyara,Ibanda Kyerwa,Ruaha,Mkomazi,Saadani,Mikumi,Gombe,Mahale,Nyerere,Udzungwa,Rubondo......Hifadhi zote hakuna hotel inayomilikiwa na TANAPA!.

Biashara za hotels & lodges serekali ilishajiondoa siku nyingi.

Watanzania sijui kwanini ujinga na upumbavu umekuwa sehemu ya maisha yetu ya kila siku.

Magufuli kupitia mamlaka yake ya uRais aliyatumia vibaya kujipendelea sehemu aliyozaliwa Hili lipo wazi wala hakuna ubishi.

Ujenzi wa hiyo Hotel,Hospital ya rufaa,CRDB,TANESCO,Zimamoto,VETA,Mahakama,Airport........yalikuwa matumizi mabaya ya fedha umma.

Magufuli aliwakosea heshima,uaminifu,uadilifu Watanzania wote wenye akili sawa sawa.

Wajinga kama wewe kamwe hawawezi kuona ubadhilifu wa Magufuli.Kwa akili zao mbovu wabadhilifu ni wezi wa kuku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…