TANAPA yafufua ujenzi hoteli ya kitalii Chato

Ujinga mzigo.

Tanapa ina mbuga zaidi ya kumi na tano,ipo Serengeti,Kilimanjaro,Tarangire,Manyara,Ibanda Kyerwa,Ruaha,Mkomazi,Saadani,Mikumi,Gombe,Mahale,Nyerere,Udzungwa, Rubondo......Hifadhi zote hakuna hotel inayomilikiwa na TANAPA...

Hata Chato ni Tanzania kenge wewe
 
Tanapa haimiliki hoteli basicaly, but hii ilikuwa order kutoka juu wakati wa mtu yule, hawakuwa na namna

Mwaka 2024 Tanapa wamefufua ujenzi kutokana na maelekezo ya nani?
 
Mwaka 2024 Tanapa wamefufua ujenzi kutokana na maelekezo ya nani?

Mwaka 2024 Tanapa wamefufua ujenzi kutokana na maelekezo ya nani?
Very simple, kwanza walistop sababu ya kukosekana kwa pesa. But as i said mwanzoni maelekezo kutoka juu even if ni nje kabisa ya scope ya tanapa. Kufufua nako ni kumalizia walichokianza
 
CHADEMA Kila wakati tunakereka
 
CHADEMA Kila wakati tunakereka
 
Watawala wanajuwa watawaliwa ni wajinga kupita kiasi ndio maana watawanya Kodi na rasiri mali zetu bila Woga . Watanzania wengi wanafikiri serikali ni jitu kubwa ambolo halidhibitiki. Siku wakijuwa kuwa serikali ni kinyango wanacho chonga wenyewe kila baada ya miaka mitano. Hao wajinga wanao jiita viongozi watang'orewa meno bila ganzi. Na siku hiyo haiko Mbali .
 

Utakuwa wa kwanza kwenda kuwang'oa?
 
Hizo mambo zifanywe na sekta binafsi,
 
Wachaga wenzio wamejazana chato Wana kampuni za utalii na magari ya utalii waliokuwa Arusha na Kilimanjaro ndio waliomba hoteli ya nyota Tano ijengwe wewe kaa na upumbavu wako

Makampuni yote ya kusafirisha watalii chato ya wachaga wamewahi fursa

Wewe Baki hapo hapo kushangaa ohhh nyota Tano chato

Una pepo la umaskini loa wewe nenda Kwa Mwamposya akalitoe
 
Machoko yote hupinga maendeleo ya nchi zao wenyewe kwa sababu ni hamnazo kama wewe
Sahihi mchawi wa maendeleo ya mtanzania ni mtanzania mwenyewe

Hili leta mada chawi

Kwa Hiyo chato haitakiwi kuwa na hoteli ya nyota Tano anataka ikajengwe Kwa mama yake mzazi au? Pumbavu kabisa

Chato wanaishi ngedere kuwa Hamna watu au?
 
Sahihi mchawi wa maendeleo ya mtanzania ni mtanzania mwenyewe

Hili leta mada chawi

Kwa Hiyo chato haitakiwi kuwa na hoteli ya nyota Tano anataka ikajengwe Kwa mama yake mzazi au? Pumbavu kabisa

Chato wanaishi ngedere kuwa Hamna watu au?

Umeongea kwa uchungu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…