'TANAPA': Yule Mnyama aliyefanya maangamizi makubwa Mwadui, sasa anaelekea Stand ya Shinyanga

TOA MAGOLI YA NETBALL MAWILI,

TOA MAGOLI MLIYOMFUNGA KAGERA SUGAR PIA, YANABAKI MANGAPI???
 
Umefungwa ngapi Goal difference ipoje
View attachment 427715

Hebu pitia hapo juu.. A ~ inamaanisha 'mikoani'.
 

Mkuu sembo Edit hii Post uingize na Matokeo Ya Jana ili post itupe raha Zaidi..
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] ... Shukrani Mkuu kwa kuliona hilo pia.
Mkuu Danny greeny tunasubiri jibu.
Mpaka sasa Simba imefunga goli 25 na Yanga timu ya wananchi imefunga goli 28. Japokuwa tumepoteza game ya jana. Bado tu japokuwa tumepoteza game ya jana bado tunaongoza kama timu kwa magoli mengi
 
Team. GF. GA. GD
Simba. 25. 3. 22
Yanga. 28. 7 21

Yanga Mpaka sasa ndio timu inayoongoza kwa Kufunga magoli mengi.

Nadhani mmepata majibu yenu. Mambumbumbu FC

CC: sembo

Nimekupata Mkuu.. Ila na vipi kuhusu magoli ya kufungwa? Maana naona unazungumzia ya kufunga tu? [emoji2] [emoji2]
 
Team. GF. GA. GD
Simba. 25. 3. 22
Yanga. 28. 7 21

Yanga Mpaka sasa ndio timu inayoongoza kwa Kufunga magoli mengi.

Nadhani mmepata majibu yenu. Mambumbumbu FC

CC: sembo
Sasa kwa taarifa yako siku ubora wa timu unatizamwa kwa uwiano wa magolu ya kufunga na kufungwa Simba inaongozwa Gd 22
 
Nimekupata Mkuu.. Ila na vipi kuhusu magoli ya kufungwa? Maana naona unazungumzia ya kufunga tu? [emoji2] [emoji2]
Nimekuwekea hapo kuwa yanga kafungwa saba na simba kafungwa tatu.

Kama mnataka kombe la clean sheet sawa. Ila ukweli unabaki hapo kuwa forward ya Yanga ndio mwiba mchungu mpaka sasa kwenye Ligi kuu
 
Sasa kwa taarifa yako siku ubora wa timu unatizamwa kwa uwiano wa magolu ya kufunga na kufungwa Simba inaongozwa Gd 22
We kweli hujui mpira. Mtafute sembo akupe basics kidogo utaelewa.

Simba imefunga goli 25 yanga imefunga goli 28 tofauti hapo ni goli 3.

Simba imefungwa goli 3 na yanga imefungwa goli 7 tofauti hapo ni 4.

Chukua uwiano wa magoli ya kufungwa na kufunga unapata Simba 22 yanga 21.

Maana yake ni kuwa Yanga ina Striking Force ya hali ya juu. Na Simba wana uwezo mkubwa wa Ku defend yaani Mabingwa wa KUPAKI BASI.
 
Mpaka sasa Simba imefunga goli 25 na Yanga timu ya wananchi imefunga goli 28. Japokuwa tumepoteza game ya jana. Bado tu japokuwa tumepoteza game ya jana bado tunaongoza kama timu kwa magoli mengi



Bila Ya Kusahau Kuwa Ukilinganisha Simba na Yanga Utagundua Yanga Ndiyo inayoongoza Kuwa Na Beki Salome...


Nimekuwekea hapo kuwa yanga kafungwa saba na simba kafungwa tatu.

Kama mnataka kombe la clean sheet sawa. Ila ukweli unabaki hapo kuwa forward ya Yanga ndio mwiba mchungu mpaka sasa kwenye Ligi kuu
 
Team. GF. GA. GD
Simba. 25. 3. 22
Yanga. 28. 7 21

Yanga Mpaka sasa ndio timu inayoongoza kwa Kufunga magoli mengi.

Nadhani mmepata majibu yenu. Mambumbumbu FC

CC: sembo

Huko Ndiyo Kujifariji!!!!! Magoli Yanayohesabiwa ni GD lakini unahesabu GS...?
Simba Kwa Mgoli Yupo juu Coz GD ni 22.
 
Bila Ya Kusahau Kuwa Ukilinganisha Simba na Yanga Utagundua Yanga Ndiyo inayoongoza Kuwa Na Beki Salome...
Yanga anacheza mpira wa kufunguka na kutanua zaidi. Ni game inayochezwa na Timu kubwa duniani.

Simba anacheza mchezo wa KUPAKI BASI mbele anatanguliza Mviziaji. Wewe hushangai timu inaongoza ligi ndani ya wafungaji kumi bora inayo mmoja tu.
 
Huko Ndiyo Kujifariji!!!!! Magoli Yanayohesabiwa ni GD lakini unahesabu GS...?
Simba Kwa Mgoli Yupo juu Coz GD ni 22.
Sawa hiyo GD kamzidi Mangapi? Simba ana 22 yanga 21 tofauti ya kagoli kamoja ndio mnapiga kelele hivi?

Kweli Rage hakukosea kuwapa lile jina
 
Sawa hiyo GD kamzidi Mangapi? Simba ana 22 yanga 21 tofauti ya kagoli kamoja ndio mnapiga kelele hivi?

Kweli Rage hakukosea kuwapa lile jina
endelea kujifariji....
mnyama anaendelea kutafuna yeyote anayepita mbele yake...!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…