Deal done.alikuja kuzaa
Naye ana akili fupi.
Kwamba alikuwa amehamia madale moja kwa moija?
This is sad,ila im not surprised wanawake wa kikenya ni tough..kuwa submissive sio character yao...hawakubali kupelekeshwa hao..
Tulianzisheni za kigeto getoKigetogeto
Kweli kabisa mkuu, dogo anafeli sana kupangiwa mahusiano yake na bimkubwaTatizo huanza pale mama anapotamani maisha ya ubinti kama yupo form 3.
So, badala ya kuwa mshauri wa familia ya mwanaye, anataka ashindane na wanaye!
Pia Dimond, anampa nafasi kubwa mama yake kuingilia mapenzi yake. Kitu ambacho si sahihi kwa watoto wa kiumeni.
Days of our life...
The young and the restlessThe bold and the beautiful.....