Hawana uhusiano alivyotarajia ameshaanza kumwagwa, angenyamaza tu. Yamememkuta ya kutendwa na familia ya kiki.
Hana bahati ya kiki na kuvutia Diamond apate kiki. Akaacha kazi ili amzalie mtoto, amejichanganya na kujishusha sana hadi kupanda treni masiku kumsapoti Domo huku yeye ya EP alikimbiwa.
Ila kapata alichokifata nacho ni kuingia kwenye muziki ambao inasemwa waliomsikia live walimshauri afanye business nyingine.
Apunguze maneno aiseeee, tunajua ametemwa na inaenda kwa hatua hadi atambue kabisa hatakiwi. Viatu vya Zari hakuna atakayevibeba, Diamond still loves Zarinah.