Tanasha New Song[emoji91]

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Hivi huyu bidada alishawahi kuimba before ? Maana mmh hii ngoma yake kwa kweli ni next level , sijawah kumpendaga huyu dada Ila kazi yake hii mpya , warumi ntakua mchawi nisipomsifia bwana , dada wa watu anajua kuimba


Yani katika Ma ex wa domo wote waliojaribu kuimba; Zari, official lyn , hamisa hawa wote wabadilishe tu fani wamuachie mrs domo asakate rumba.

I'm liking the idea of her using diamonds fame as a weapon to boost her talent , and I'm sure she will go miles away, huyu ata akiachwa atleast atakua kafika mbali kimziki

Vanessa mdee kaa mkao wa kula, you got your match now , Tanasha ni [emoji91][emoji91][emoji91], halafu huyu dada Hana maneno mengi , na hakanaga nyota ila kwa hii kazi Hapana aiseh anajua snaaaa
 
very very very nice song,hii ni level ya Kina Tiwa savage kabisa siyo vislay queen vyetu vinaimba kama paka kabanwa na mlango..swali ni kwamba ile sehemu jamaa kaimba kipande cha shaba ranks ting a ling ling wamepata clearance ya kutumia kwenye mambo ya copyright?
πŸ™πŸ™
 
Biriani anayo??


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Hahaaaahaaa!!sawaa
John sanga ni mchoraji mzuri.
Siku alichora noti ya sh elfu kumi chini ya sakafu mbele ya darasa..
Mwalimu akapasuka pua kwa papara ya kuiokota ile elfu kumi chini..
So kuuliza wanafunzi nani kachora.. wakasema John..
Ticha akampigia mzazi wa John (babake)
Baba John huku yupo hospitali..
(akamwambia mwalimu)

Una bahati sana ww, huyo mbwa juzi nyumbani kachora uke wa mwanamke kwenye switch ya umeme...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…