Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaishi wapi? Kama ni Dar kuna maeneo mengi yenye tandu. Hasa kama nyumba imejengwa maeneo yenye maji maji ma foundation ni ya kimagumashi.Yaani Toka zamani kila ninapoenda lazima nione Tandu na saa zingine kila room ninayokaa haipiti mwezi lazima nione Tandu na nilishawahi ng'antwa na Tandu why?
Kwahiyo akiwepo eneo huyo prince ndo wanakuja Kwa wingi?Utakua kiguu na njia, tandu wana mfata crown Prince wao
Noma sana uyo nilimwonaga napofanyia kazi wiki Moja mbele nikafukuzwa kaziYupo tandu yule mweusi anqpenda kukaa makaburini
Huyo ukimwona ni nuksi ya hatari
Tandu ndio nini?Yaani Toka zamani kila ninapoenda lazima nione Tandu na saa zingine kila room ninayokaa haipiti mwezi lazima nione Tandu na nilishawahi ng'antwa na Tandu why?
Usije dhani matandu ya wali wa nazi 🤣Tandu ndio nini?
Story za YouTube 😀😀Sometimes kuna vitu havielezeki kama yule mzungu alikuwa kila mara anapigwa na radi na hata baada ya kufa kaburi lake lilipigwa na radi
Na yenye unyevuTandu anapenda mazingira machafu, jitathmini mazingira unayopenda kukaa/ kuishi
Amin nakuambia huyo tandu hausiki na wewe kufukuzwa kazi.Noma sana uyo nilimwonaga napofanyia kazi wiki Moja mbele nikafukuzwa kazi
Upo sahihi wadudu wengi nje wanakimbia mvua aswa kipindi cha mvua, unaweza jikuta unalala na nyoka ndaniUnawatengezea mazingira rafiki kwao bila kujua.
Kuna kipindi niliishi nyumba ina rough floor kwa juu nikaweka zile carpet za plastic.
Niliandamwa sana na tandu wakubwa kwa wadogo ila sikukimbilia kuwaza maujinga ya ushirikina.Niliumiza kichwa kujua wanaletwa na nini ndipo siku moja niligundua mvua ikinyesha maji yanaingia dirishani yanaenda kujihifadhi chini ya lile carpet na kwa vile ilikua rough floor ule mkapeti ulikua unatunza unyevu hata miez 2 baada ya mvua kunyesha hence tandu.
Nilipotoa lile carpet tandu walipotea.Nina miaka mingi sana sijaona tandu.
Unataka tu uambiwe umelogwa😀 ila uchawi yaweza kuwa moja ya vitu vyako au umekua na bahati mbaya yakuishi mazingira yenye unyevu.
KabisaUpo sahihi wadudu wengi nje wanakimbia mvua aswa kipindi cha mvua, unaweza jikuta unalala na nyoka ndani