TANESCO board split on MD Rashidi's fate


mdogo wangu zitto, kwa hili sikuungi mkono maana utakuwa unawapa ushindi wale wanaokutakia mabaya... they want you to shut and wako tayari hata kukumaliza, kukaa kimya ni ku-succumb kwao

Think twice mkuu
 

Mkuu Bluray you are consistently trying to throw sand in our eyes on the identity of Zitto wa JF na Muheshimiwa Zitto,Mbunge.
From the presentations here in the JF blog na consistency za arguments za Zitto JF it leaves no one in doubt that the two are the same.
That does not need a rocket scientist to figure out.
While presentations za Zitto JF zinaelekea kugoga mwamba wa public opinion ni vyema mkam muadvice Zitto JF akabadilika katika view yake katika suala hili au aliweke sahihi kama alivoyaka yeye.
Huwezi kutoa maoni yako publicly na ukategemea , kama mwalimu darasani ukawa quoted verbatim,thats naivety.
Ukiwa mwanasiasa ni lazima unakuwa na watu wenye diffrent opinion from your self and in the same issue,na watachukua every oppurtunity to twist or put your opinion from a different angle kama Kulikoni walivyo fanya brilliantly.
Na hii ni kuonyesha fallacy ya argument uliyotolewa.
Consistence ya argument ya Zitto JF imeonekana, na kujitoa at this late stage kama FMES alivosema is chikening out.
Sasa hizo argument for Dr Rashid as the BEST CEO IN TANZANIA ni za kuzisemea kwapani?
ZittoJF=Muheshimiwa Zitto(Mbunge) no doubt about that.
 
Kuna tetesi kuwa amepata utajiri wa ghafla wa magari ya kifahari na mahela benki yasiyoendana na kipato chake. Kuna tetesi kuwa kwenye swala la Downs alihongwa mamilioni yaliyopitishwa benki ya barclays. Kama ni hivyo, Kauli tata za Zitto siyo bahati mbaya bali amekuwa ni kibaraka wa mafisadi. Tena, naambiwa mbunge Mohammed Dewji ndiyo njia ya Mafisadi kumfikishia Zitto agenda za mafisadi. Hizi ni tetesi tu lakini miongoni mwetu akiwemo zitto anajua ukweli
 

Swali linabaki, kama wewe ni mtu makini, utahakikishaje kwamba huyu Zitto wa JF ndiye Zitto mbunge?

Wewe unaongelea consistency ya michango ya Zitto, consistency ya michango hiyo na nini? Na positions za Zitto anazozitoa publicly? Kwani mtu hawezi kumfuatilia na kutoa positions similar humu?

Hata kama huyu Zitto ndiye mbunge, how can the reporter -kumbuka naongelea reporter, standards za reporter ni za juu kuliko za JF- How can the reporter prove that aliyeandika ni Zitto na si mtu aliyeikuta ID ya Zitto iko logged on on a public computer at a Mwenge internet cafe?

Umesoma story za yule Mwarabu Hassan aliyeua wanajeshi Fort Hood? Umesoma jinsi New York Times wanavyo cover his online postings? Wana predicate kila kitu na "mtu anayeaminika kuwa ni Hassan" wanapoandika kuhusu his online posts, na wao probably wana ushahidi wa ma IP address na coordinations nyingine ambazo hawa jokers wetu hawana.Hii ni due diligence ambayo sisi hatuna, na waandishi hawajali, na wasomaji wengi hawajali. And then we wonder why we are poor? Our poverty begins in our minds, with our complacency, lack of principles, bora liende, longolongo, ubabaishaji, kulipua lipua, you name it.

Hizi ndizo standards ninazoongelea, wala sijaingia katika kumtetea Zitto, wala sijagusa issues, naongela mmong'onyoko wa maadili ya uandishi wa habari.Nishasema ingekuwa sawa kama waandishi wangetumia JF kama vhanzo cha kufuatilia habari na kumtafuta Zitto kumuuliza zaidi na kupata a more comprehensive story.Walichofanya hapa ni ku cheat kwa kutofanya uchunguzi, sasa wanakuja na habari ambayo inaweza kuwa imeandikwa na Bluray instead of Zitto.

Umeona post yangu yenye njia lukuki ambazo Zitto huyu wa JF, au at least hiyo post, inaweza kuwa si kutoka kwa Zitto mbunge?

Unaelewa kwamba mimi hata sigusi kwenye issues ila nina deal na verifiability ya source? Kwa sababu kama huwezi ku verify kwamba msemaji ni Zitto, huwezi kwenda popote na hizi arguments, zinakuwa bogus, dead on arrival.

Sasa unless kuna sehemu Zitto mbunge mwenyewe, kaongelea publicly kupitia vyombo vya habari na kawa on record, other than this JF penname we know as Zitto, habari ni suspect kwa watu makini.

Kama unataka kuleta speculation that is another matter.

Mi nilifikiri tunajidai great thinkers hapa, great thinkers ndio hawa wanaopalilia mediocrity hii.

Usinifanye niombe hiyo banner ifutwe hapo juu.
 
mwacheni kijana aende sisiemu!wapo vichwa zaidi yake watakava tu
 

Nakubaliana na wewe Mkuu , lakini suala la mediocrity ni la kusadikika.
There is no mediocrity here.
The problem is wewe inelekea ni Tomaso na hutaki kuelewa kuwa Zitto JF ni Zitto muheshimiwa.Now that will remains to be your problem.
Tunafarijika kwamba Zitto Muheshimiwa hajakanusha yale aliyo sema Zitto JF, thus leaning to a paralax of the two.
This issue is turning to be a sensitive na linamuweka Muheshimiwa in a bad public light, hivyo sioni kwa nini hajajitokeza kama anaona alilosema Zitto JF ni la ukweli makini.
But thats not the point, the point is, na bado litakuwa , according to Bluray and co.,je Zitto JF ni Zitto Muheshimiwa?
Well Bluray you will have to wait until the next full moon to believe, pengine Zitto atajitokeza na atafanya hivyo when and only when Suala la Dr Rashid halina utata tena.
Sababu zilizotolewa na wadau mbali mbali katika mjadala huu utaendelea kumwangukia Zitto Muheshimiwa for Dr Rashid who according to him isThe BEST CEO EVER, unless he wants to chicken out.
 
Jana nimekutana na kigogo mmoja serikalini akathibitisha kuwa kuna mpango wa kumrejesha Idris Rashid Tanesco ili akamilishe kazi aliyotumwa na mafisadi. Hawa wa gazeti la Kulikoni wameinyaka hiyo ndiyo maana wanatumia kile Zitto alichokiita 'pre-emptive strategy, kwa kuandika negatively kuhusu Dr Rashid. Zitto naye ametambua hilo, na yeye ni mpambe wa mmoja wa mafisadi waliomuweka Idris pale Tanesco, ndio maana yupo tayari kuadhirika na kushusha hadhi yake kwa kumsifia Rashid eti ni CEO bomba! Gazeti la jana la Mtanzania (linalomilikiwa na Mafisadi Papa) nalo liliandika kwa mwelekeo huu huu kama wa Zitto -- kumtetea Rashid na kuonyesha kama eti anapigwa vita. Huyu alishatamka hataki ku-renew mkataba lakini mafisadi bado wanamhitaji kwenye wizi mwingine mkubwa kupitia mikataba mingine tata ya umeme. Tunafuatilia kwa karibu sana nyendo za wahuni hawa. Shame on you!
 
nilishasemaga tangu awali kuwa magazeti ya kitamzania sasa tamepoteza mwelekeo...
hilo gazeti la kulikoni sioni kama lina tofauti yoyote na magazeti ya 'udaku'.ambayo kila kukicha yanaandika kuhusu mambo yanayohusu watu...
niwakumbushe tu ndugu zangu kuwa hili gazeti lilianzishwa rasmi na bwana MENGI maalumu kwa ajiri ya kumuandika bwana YUSUPH MANJI ,sasa inaonyesha MANJI amenyamaza wanamchokonoa zitto...
HAWANA JIPYA
 
Zito alishatetea DOWANS . Kumbukeni Idris Alikuwa for Dowans. Swala ni kwa nini Zito aendelee kutetea upuuzi uliokwisha onekana wazi wa kuiba resilimali zetu kupitia HUO UMEME? Hapa kuna thread moja iliyochangiwa kuwa Zito ni kijana mwenye kuthubutu sana ila kwa maslahi yake. Anaweza kufanya lolote ali mradi lina maslahi kwake. Kwa sifa hiyo ningeshangaa sana kama kweli ni credible kama tunavyomsikia magazetini. Hili pia sio la kushangaza maana ndivyo alivyo na anahisi kuwa alishateka akili za wabongo wote inluding ofisi KUU. Loh
 

Yaani wewe ndio umechoka kweli kweli. Duh . Hata hujitambui? kaza kweli kweli
 
Tatizo kubwa linalowakumba wabongo wenzangu ni kutaka kuchanganya hisia na utaalamu
kuna maswala mengine ni vema tukawaacha watu wenye taaluma zao wafanye kazi zao..
yanayotokea kwa zitto lea ni faida za yeye kuushirikisha ubongo wake na utaalam wake wakati wa kufanya maamuzi..
ni vema pia tunagekumbuka hata historia ya nchi yetu, mwaka 1958 katika mkutano wa mkuu TANU wa kujadili kama TANU ishiriki au isishiriki uchaguzi mkuu wa Multirational( kura 3), wajumbe wote 300 walipiga kura hapana kasoro MWALIMU NYERERE TU...Ambaye baadae waliona afaida ya ushauri wake...
too much democracy is undemocracy
 
Tusidanganyane kuwa KULIKONI WALICHUKUA HABARI hapa.kuna wanachama tuko nao hapa ndio waliotuma ile habari kule KULIKONI.NDIO MAANA WAMEFICHA JINA.MAANDISHI YALE NI YA WANACHAMA WETU HAPA HAPA JF AMBAO WAKO KWENYE PAYROLL YA MENGI.SIRUHUSIWI KUWATAJA ILA WANAJULIKANA.

ZITTO NAOMBA UWASHITAKI KWA KUSEMA KUWA WEWE UNAITWA MR.DOWSON.
TAFAKARINI MAANDISHI YA MWANAJF MWENZETU YALE TUSIDANGANYANE.
 

Kitu ambacho hujakikubali mpaka sasa ni kitu kinaitwa standards.Na ninapostress umuhimu wa standars unadiriki kuniita Tomaso.

Haijalishi mimi na wewe tunajua au kuamini nini.Kinachomatter ni je, standards zimefuatishwa?

Unaweza kusimamisha ushahidi kama huu mahakamani halafu ingawa ni kweli Zitto anaweza kuwa kaandika, watu makini wakakwambia hujathibitisha, the evidence is circumstancial, case tossed.

Lazima tujifunze kuishi na kuheshimu standards.Tusipoheshimu standards tunajenga precedents, tukijenga precedents zinakubalika, mwishowe tunakuwa na culture ya mediocrityu na hearsay.

Hii ndiyo cancer inayotutafuna nchi yetu sasa hivi.Halafu Sophia Simba akija na upupu huu huu tunamsakama, what hypocrisy!
 

Bluray, my dear brother, you are talking of standards?
Which standards?
Na standards katika context ya Tanzanian politics?
You must be joking!
Unaishi dunia gani mkuu?
Hapa bongo hearsay goes as a matter of fact.Ignore it at your own peril.Many have learned the hard way.
Nalazimika kumpongeza ZittoJF kwa kuuona ukweli wa fallacy ya argument yake, na alipokuwa quoted(mis) ameona jinsi upande wa pili wa mahakama kuu kuliko yote , mahakama ya wananchi inavyoweza kumhukumu.
 

Najua hayo yote, na ni kwa sababu sisi hatuna standards ndiyo maana nasisitiza.

Hapa JF tuna options mbili, moja kukubali hii mediocrity na kufuta any pretense ya "Great Thinkers"

Pili, kujaribu ku rise above the rubble na ku elevate standards.

Naona mpaka sasa wengi wetu tunaenda na option ya kwanza. JF as a forum tunakosa tofauti na hizo tabloids.
 

I am obliged to side with you there sir.
Standards or no standars life goes on.
Hebu mtupie jicho mheshimiwa Sitta na "Speed and Standards zake" na ona jinsi navyozungushwa na kikao anachokiongoza cha Bunge, na anavyopigwa danadana.
In my opinion the Greater Thinking is to be able to read between the lines and pre-empt any scheming plots.
Great thinkers analyse even what might appear to be the most foolish of ideas.
 

Great words! simply great,

Nashukuru kwa ujumbe huu, tatizo tukishamchukia mtu au kuchagua side bas hata akiwa right una re-call, hii siyo sahihi kwenye forums na maisha kwa ujumla.

Huwa namtetea sana Zitto kwa kile ninachoona yuko right, lakini I am possibly his is worst enemy kwenye maswala mengine , kama maswali yangu kuhusu ruzuku! hilo naye anajua

Lakini namwona kijana mwenye upeo wake tumpe haki zake zote accordingly.

what if hakuwa yeye at that time wakati anaota maon(password imeibiwa)i? mwandishi ana verify kitu kutoka humu, bila kuwasiliana naye?
 
Waberoya,

Umesema...

what if hakuwa yeye at that time wakati anaota maon(password imeibiwa)i? mwandishi ana verify kitu kutoka humu, bila kuwasiliana naye?

This is exactly my question and source of beef.
 
ZIto anatapatapa,anatafuta umaarufu ambao umaarufu wake umeshuka sana,especial ktk tabaka la wasomi,haingii akilin ku suport Dk Rashi ilhal anatuhuma nyingi sana za kutmia fedha za shirika kukarabati nyumba na kujiuzia kwa bei chee
sikatai,Dr anaweza kuwa ni one of the best CEO kiutendaji,lakini je usafi wake si wa kutilwa mashaka??
Hatoshi kuwa mwalimu mzuri darasani at the same time ukawa huna nidhamu,mwizi,malaya etc afu still akina zito watake uendelee kufundisha kisa we kichwa..nooo,hiyo haipo kabisa Being a Good CEO is not enough kuwa mtndaj mzuri tu,maadili yako ni muhimu zaid,hata lowasa alikuwa mtendaji mzuri sana, lakini je maadili yake vp,anamaadili ya uongozi,zito anlisemaje hili???
huyu dogo anakurupuka sana.
LETS US STOP DISCUSS ABOUT ZITTO,A YOUNG MAN WHO HAS BEEN LOST A TOTAL DARKNESS,A YOUNG MAN WHO IS BEING USED BY POLITICIANS TO DESTROY OPOSTIONS PARTIES IN TANZANIA.
Zitto please,kama siasa zimekushinda,you just look for other things to do,it seems you have lost a truck as far sa politics is concerned.
THATS WHY UMEKUWA MCHEMFU SANA,KILA UNACHOPOST HAPA NDANI HUWAGA NAJIKUTA NAKUPINGA TU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…