Hio line ya Kisarawe hio line shida kitambo sio jana wala juzi watu washazoea tena siku hizi imekua afadhali zima washa zima washa zima zima washa zima washaCCM nchi imewashinda.
Kwa hio chanika visu butu?ni kwamba maji na umeme ni huduma zenye shortage, mitaa ya wenye visu vikali ndio hupewa kipaumbele
BurundiChanika ipo Tz mkuu?
Yaani Kuna nyumba jiran Zina umeme zingine Hazina!! Yaan sijui ata line ya wapNyinyi si line ya Kisarawe?
Tanesco ndo wanakihujuma Chama!CCM nchi imewashinda.
Tena kabisa ukifika muda huo utasikia mbona leo hawakati,,? Wenyewe wanaona maajabu umeme kuto katikaHio line ya Kisarawe hio line shida kitambo sio jana wala juzi watu washazoea tena siku hizi imekua afadhali zima washa zima washa zima zima washa zima washa
Hapo sawa, sijui hata wanawazaga Nini, December hii 2024, wanakata umeme Kama tupo early 2000ni kwamba maji na umeme ni huduma zenye shortage, mitaa ya wenye visu vikali ndio hupewa kipaumbele
Ipo TZ mkuu, tena Dar es salaam!! Ni eneo zuri lakin Tanesco wanataka kulifanya eneo lisikalike!! Ukifika Chanika Buyuni, mbele kituo kinaitwa kwa MAZINDAChanika ipo Tz mkuu?
Anazungumzia Ukwasi wa kifwedhaKwa hio chanika visu butu?
KisaraweYaani Kuna nyumba jiran Zina umeme zingine Hazina!! Yaan sijui ata line ya wap
Hio ni maeneo ya kwa MAZINDA, hapo Chanika Buyuni! Labda ni line hio lakin Sina hakikaKisarawe
Line ya Kisarawe hioHio trend ni kila siku yaani lazima umeme ukatike ni mwezi wa sita sasa huu unaenda!! Mnaihujumu nchi yetu
Line ya Kisarawe hioHio trend ni kila siku yaani lazima umeme ukatike ni mwezi wa sita sasa huu unaenda!! Mnaihujumu nchi yetu