TANESCO haina tena nguzo za kusambaza umeme majumbani

TANESCO haina tena nguzo za kusambaza umeme majumbani

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Katika Hali isiyo ya kawaida ,Kwa mara ya kwanza tangu awamu ya tano,imetokea Hali isiyo ya kawaida ya kukosekana Kwa nguzo za kuunganisha wateja umeme Tanzania. Hakuna wilaya hata moja nchini insyotoa huduma ya kuwapatia wateja nguzo ili wananchi waweze kupata huduma ya umeme. Kila ukiuliza unaambiwa tunaweka nguzo keenye bajeti. Ni bajeti ipi hiyo ambayo ilisomwa July na Sasa ni August.
 
Hicho kitu tulitengemea kutokea Tenesco kwa sababu makusanyo ni madogo kuliko gharama wanazotumia. Huo ni mwanzo tu
Serikali wabuni Tozo zingine kuliokoa shirika. Tozo ya simu inaenda TARURA kutengeneza Daraja la mbao la million 31 wakati wanafunzi wanakaa chini hakuna madarasa.
 
Hicho kitu tulitengemea kutokea Tenesco kwa sababu makusanyo ni madogo kuliko gharama wanazotumia. Huo ni mwanzo tu
Serikali wabuni Tozo zingine kuliokoa shirika. Tozo ya simu inaenda TARURA kutengeneza Daraja la mbao la million 31 wakati wanafunzi wanakaa chini hakuna madarasa.
Kwani wanakusanya Tshs ngapi kwa mwezi?
Pia operational costs zikoje?
 
Hicho kitu tulitengemea kutokea Tenesco kwa sababu makusanyo ni madogo kuliko gharama wanazotumia. Huo ni mwanzo tu
Serikali wabuni Tozo zingine kuliokoa shirika. Tozo ya simu inaenda TARURA kutengeneza Daraja la mbao la million 31 wakati wanafunzi wanakaa chini hakuna madarasa.

Yaani badala ya mbao kuunda madawati , wao wanaundia madaraja
 
sikuamini hata kidogo, upo Mji gani? Nguzo zimejaa na hata mita, umeme mpaka vijijini wewe unataka nguzo za nini tena? unganisha umeme wa REA funga kinu sagisha uwele
Inaonekana hata hujui unachokiandika!!eti unangisha umeme wa REA?, hao wana umeme?!!totauti na TANESCO, au hujui hata maana ya REA, ndio wale unawasikia eti umeme wa REA, sio mzuri!!!kama yupo mjini huo umeme wa mradi ataupata wapi?wakati kote huku kero ni nguzo na mita?unapoona huko vijijini mnapata umeme wa mradi mnazania na watu wa mijini kuvutiwa umeme ni kazi rahisi kama huko?!!
 
Inaonekana hata hujui unachokiandika!!eti unangisha umeme wa REA?, hao wana umeme?!!totauti na TANESCO, au hujui hata maana ya REA, ndio wale unawasikia eti umeme wa REA, sio mzuri!!!kama yupo mjini huo umeme wa mradi ataupata wapi?wakati kote huku kero ni nguzo na mita?unapoona huko vijijini mnapata umeme wa mradi mnazania na watu wa mijini kuvutiwa umeme ni kazi rahisi kama huko?!!
Mimi kwangu nahitaji nguzo ili niunga nishiwe umeme naishi yombo dovya temeke huu mwezi wa pili hamna jipya naambiwa nisubir wakati wazir kasema nguzo zipo tena kuzidi mahitaji yetu
 
Inaonekana hata hujui unachokiandika!!eti unangisha umeme wa REA?, hao wana umeme?!!totauti na TANESCO, au hujui hata maana ya REA, ndio wale unawasikia eti umeme wa REA, sio mzuri!!!kama yupo mjini huo umeme wa mradi ataupata wapi?wakati kote huku kero ni nguzo na mita?unapoona huko vijijini mnapata umeme wa mradi mnazania na watu wa mijini kuvutiwa umeme ni kazi rahisi kama huko?!!
Umeme wa Rea ni wa kisiasa. Ni wa kuwashia TV na kuchajia simu hauna nguvu ya kuwasha mashine. Umeme wenye nguvu ni three phase yenye nyaya 3 au zaidi na pawe na transformer ya 33kv na zaidi, 66kv /132kv
 
Mimi kwangu nahitaji nguzo ili niunga nishiwe umeme naishi yombo dovya temeke huu mwezi wa pili hamna jipya naambiwa nisubir wakati wazir kasema nguzo zipo tena kuzidi mahitaji yetu
Tena hakuna jamaa muongo muongo kama huyo!!ki ukweli kwa sasa hakuna nguzo, nguzo nyingi wanapeleka kwenye hiyo miradi ya REA, Hao wana siasa ndio anaofanya watendaji waonekane ni wazembe lakini tatizo wanalifamu , Mwingine jana anasema wote walioondolewa tarrif D1, wakatoe taarifa ili warejeshwe tena, subiria uone!!wameshatuona mapimbi tu
 
Katika Hali isiyo ya kawaida ,Kwa mara ya kwanza tangu awamu ya tano,imetokea Hali isiyo ya kawaida ya kukosekana Kwa nguzo za kuunganisha wateja umeme Tanzania. Hakuna wilaya hata moja nchini insyotoa huduma ya kuwapatia wateja nguzo ili wananchi waweze kupata huduma ya umeme. Kila ukiuliza unaambiwa tunaweka nguzo keenye bajeti. Ni bajeti ipi hiyo ambayo ilisomwa July na Sasa ni August.
Rip Magufuli
 
Tena hakuna jamaa muongo muongo kama huyo!!ki ukweli kwa sasa hakuna nguzo, nguzo nyingi wanapeleka kwenye hiyo miradi ya REA, Hao wana siasa ndio anaofanya watendaji waonekane ni wazembe lakini tatizo wanalifamu , Mwingine jana anasema wote walioondolewa tarrif D1, wakatoe taarifa ili warejeshwe tena, subiria uone!!wameshatuona mapimbi tu
Nakuamini usemayo 100%
 
Mimi nimeambiwa surveyor atakuja kukagua aone kama kweli nahitaji nguzo,mwezi wa pili huu sasa,kila nikiuliza naambiwa ana kazi nyingine atakuja...mapinga jirani tuu na Dar
Nenda Tanesco wakupe namba ya saveya kisha mpe rushwa saveya ili saveya aje. Amasivyo utasubiria miezi sita mpaka mwaka na nusu. Na akimaliza kazi akikupigia hesabu ya vifaa jiandae kisaikolojia kununua nguzo na gharama za line.
 
Nenda Tanesco wakupe namba ya saveya kisha mpe rushwa saveya ili saveya aje. Amasivyo utasubiria miezi sita mpaka mwaka na nusu. Na akimaliza kazi akikupigia hesabu ya vifaa jiandae kisaikolojia kununua nguzo na gharama za line.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom