mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Wapuz sana hawaTanesco mlikuwa mnapima upepo wa Tz watalipokeajee hili ongezeko la kmya kmya au cyo π π π
Tumesanuka na tumehoji na mmekuja na janja janja ety n den tunalipa kwann msingetangaza au Hela yakulipia Matangazo hakuna π π π ...
Kama kukata washakata wanaleta maneno mengi ya nini
Wakati watu June wamekatwa
1500 ila July wamekatwa 2000
Ina maana hapo 500 imeongezeka,hawa jamaa wapuz kabisa
Iva