Tanesco Halmashauri ya Mji Kibaha mnakera sana!

Tanesco Halmashauri ya Mji Kibaha mnakera sana!

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Wadau kwema,

Hawa wahusika. Tajwa hapo juu hakika wamekuwa SUGU, hawa mabwana kila ukiwatembelea pale ofisi kwao kuwauliza kulikon mbona hatufungiwi umeme? Wanasema kwa sasa wanafungia wateja walio omba umeme mwezi wa 8.

Yaan since Januari hawa jamaa wanawafungia umeme wateja wa mwezi wa 8 ilihali mtaani tunaona watu walijenga frame za maduka Desemba - Januari wameshafungiwa umeme.

Acheni Ubabaishaji Tanesco Kibaha TC
 
Wadau kwema,

Hawa wahusika. Tajwa hapo juu hakika wamekuwa SUGU, hawa mabwana kila ukiwatembelea pale ofisi kwao kuwauliza kulikon mbona hatufungiwi umeme ? Wanasema kwa sasa wanafungia wateja walio omba umeme mwezi wa 8.

Yaan since Januari hawa jamaa wanawafungia umeme wateja wa mwezi wa 8 ilihali mtaani tunaona watu walijenga frame za maduka Desemba - Januari wameshafungiwa umeme.

Acheni Ubabaishaji Tanesco Kibaha TC
kwani kuna tanesco kibaha DC?
 
Mimi nami ni mhanga. Nilifanya wiring na surveyor wa Tanesco akafika kukagua. Fundi niliyemtumia ambaye niliunganishwa na mtu naona ndiyo kiunganisho Kikuu na hao Tanesco nikimaanisha kuwa ndiye mtafuta Wateja wenye kutoa hongo ili wafungiwe umeme chapuchapu. Fundi Yule aliniambia kwamba kama nikitaka umeme wa haraka nitapata Ila niwaone wahusika kwa hongo a.k.a kitu kidogo. Nikamjibu hongo sitoi. Akasema basi utasubiri hata miaka 2 hutaipata umeme. Ninaomba Sana Serikali muimulike Tanesco yote hasa Halmashsuri ya Kibaha Mji. Pale rushwa imejaa. Takukuru Kibaha jengo lao liko Tu sijui wanaofanya nini. Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan Tanesco inanuka Rushwa. Mheshimiwa January Makamba sijui wewe uko upande upi? Shughulikia Tanesco Kibaha Mji. Safisha ofisi yote maana ili pia upate control number ni lazima Rushwa. Usipotoa Rushwa faili lako linawekwa pembeni. Tanesco Kibaha Mji mnanuka Rishwa
 
Mimi nami ni mhanga. Nilifanya wiring na surveyor wa Tanesco akafika kukagua. Fundi niliyemtumia ambaye niliunganishwa na mtu naona ndiyo kiunganisho Kikuu na hao Tanesco nikimaanisha kuwa ndiye mtafuta Wateja wenye kutoa hongo ili wafungiwe umeme chapuchapu. Fundi Yule aliniambia kwamba kama nikitaka umeme wa haraka nitapata Ila niwaone wahusika kwa hongo a.k.a kitu kidogo. Nikamjibu hongo sitoi. Akasema basi utasubiri hata miaka 2 hutaipata umeme. Ninaomba Sana Serikali muimulike Tanesco yote hasa Halmashsuri ya Kibaha Mji. Pale rushwa imejaa. Takukuru Kibaha jengo lao liko Tu sijui wanaofanya nini. Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan Tanesco inanuka Rushwa. Mheshimiwa January Makamba sijui wewe uko upande upi? Shughulikia Tanesco Kibaha Mji. Safisha ofisi yote maana ili pia upate control number ni lazima Rushwa. Usipotoa Rushwa faili lako linawekwa pembeni. Tanesco Kibaha Mji mnanuka Rishwa
Pale icha ya ndege kuna frame zilijengwa January 2022 as we seak now wana umeme
Ilihali kuna watu tume omva huo umeme 2021 mpaka leo hamna kitu
 
Pale icha ya ndege kuna frame zilijengwa January 2022 as we seak now wana umeme
Ilihali kuna watu tume omva huo umeme 2021 mpaka leo hamna kitu
Ukiambiwa nyosha mkono Ili mambo yaende unakuwa mzito kwani wiki ya ngapi sasa amka you
 
Wadau kwema,

Hawa wahusika. Tajwa hapo juu hakika wamekuwa SUGU, hawa mabwana kila ukiwatembelea pale ofisi kwao kuwauliza kulikon mbona hatufungiwi umeme? Wanasema kwa sasa wanafungia wateja walio omba umeme mwezi wa 8.

Yaan since Januari hawa jamaa wanawafungia umeme wateja wa mwezi wa 8 ilihali mtaani tunaona watu walijenga frame za maduka Desemba - Januari wameshafungiwa umeme.

Acheni Ubabaishaji Tanesco Kibaha TC
Ndugu mteja
je umelipia lini ?je uliandika namba ya simu ipi kwenye form yako wakati unafanya maombi ya umeme?
Ahsante
 
Pale icha ya ndege kuna frame zilijengwa January 2022 as we seak now wana umeme
Ilihali kuna watu tume omva huo umeme 2021 mpaka leo hamna kitu
Tafadhali tujulishe tatizo, eneo na namba ya simu kwa hatua zaidi, Hakuna mteja anayepwaswa kutoa rushwa kwa mtu yeyote ili kupata huduma, wakati mwingine mteja anakutana na watu wasio wa TANESCO anazulumiwa na kulalamika tukimuuliza ni nani na wapi hakuna ushirikano, Kwa wateja wetu wenye nia njema milango ipo wazi tafadhali toa taarifa kwa uongozi au TAKUKURU badala ya kulalamikia taarifa ambazo hazijafika kwetu.
 
Tafadhali tujulishe tatizo, eneo na namba ya simu kwa hatua zaidi, Hakuna mteja anayepwaswa kutoa rushwa kwa mtu yeyote ili kupata huduma, wakati mwingine mteja anakutana na watu wasio wa TANESCO anazulumiwa na kulalamika tukimuuliza ni nani na wapi hakuna ushirikano, Kwa wateja wetu wenye nia njema milango ipo wazi tafadhali toa taarifa kwa uongozi au TAKUKURU badala ya kulalamikia taarifa ambazo hazijafika kwetu.
Tatizo mnatucheleweshea kutuunganishia umeme ....
 
Je umefanya malipo lini? Namba ya simu uliyoandika kwenye maombi yako ni ipi tafadhali
Nililipia december 2021,

Juzi nimetoka hapo ofisi ya tanesco pwani , kuuliza vipi mbona sifungiwi umeme wao wana jibuntu " sasa iv tunawafungia walio omba mwezi wa 8 " wakat mtaan tunaona frame zinajengwa mwezi january 2022 February wanawekewa umeme
 
Tafadhali tujulishe tatizo, eneo na namba ya simu kwa hatua zaidi, Hakuna mteja anayepwaswa kutoa rushwa kwa mtu yeyote ili kupata huduma, wakati mwingine mteja anakutana na watu wasio wa TANESCO anazulumiwa na kulalamika tukimuuliza ni nani na wapi hakuna ushirikano, Kwa wateja wetu wenye nia njema milango ipo wazi tafadhali toa taarifa kwa uongozi au TAKUKURU badala ya kulalamikia taarifa ambazo hazijafika kwetu.

Hahahaaa.

Kama kweli vile..
 
Back
Top Bottom