BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,484
- 2,852
TANESCO kwa nini mbona mnakwapua pesa za wanyonge bila huruma. Mwanzo wananchi walipiga kelele kuwa mmepandisha kodi ya jengo kutoka 15,000/= hadi 2,000/=lakini mlikuja kukanusha huku ukweli mkiujua.
Sasa hivi kuna uhuni unaofanywa wakati wa kununua umeme kuliko hapo awali. Sasa hivi karibu kila mtu anaenunua umeme lazima akutane na kipengele cha DEBT COLLECTED. Hapa Kuna makato yasiyoeleweka. Hata km mteja hadaiwi lazima hicho kipengele kikuhusu tena hapa wanakata pesa nyingi sana kuanzia elfu 3,000/= na kuendelea.
Bila kujitokeza na kutoa ufafanuzi juu ya makato haya, tutaendelea kuamini kuwa hili shirika ni chanzo cha kuwafanya wananchi masikini wa kutupwa kutokana na dhuluma.
Sasa hivi kuna uhuni unaofanywa wakati wa kununua umeme kuliko hapo awali. Sasa hivi karibu kila mtu anaenunua umeme lazima akutane na kipengele cha DEBT COLLECTED. Hapa Kuna makato yasiyoeleweka. Hata km mteja hadaiwi lazima hicho kipengele kikuhusu tena hapa wanakata pesa nyingi sana kuanzia elfu 3,000/= na kuendelea.
Bila kujitokeza na kutoa ufafanuzi juu ya makato haya, tutaendelea kuamini kuwa hili shirika ni chanzo cha kuwafanya wananchi masikini wa kutupwa kutokana na dhuluma.