Sababu huwa hazikosekani,unadhani watakosa sababu ya kutoa,kabla hawajazima walisha tengeneza hojaLucas mwashambwa njoo huku umsifie January na hanganya kama kawaida yako
Usijali tunakata miti.... tahadhari usisogelee wala kugusa waya coz hujui sangapi tutarudisha
Kwa Dar mvua hazina faida maana mabwawa(hep) yapo mkoani.Hata dar zinanyesha
[emoji23][emoji23][emoji23]AloooMvua zinanyesha wapi?
Itakuwa Kuna matengenezo madogo madogo tu,Tusiwe watu wa kulalamika lalamika tu kwa mambo ya muda mfupi tu,mbona hata sisi binafsi Kuna wakati unakwama baadhi ya mambo na kwa wakati fulani kukamilisha au kutekeleza jambo fulani?Lucas mwashambwa njoo huku umsifie January na hanganya kama kawaida yako
Sisi watu binafsi hatujapewa dhamana kusimamia mali za UMMA na kuhakikisha nchi haiendi mrama kama wameshindwa waje wakae huku na sisi watu binafsi. Hawapo pale kutoa hisani bali kutimiza wajibu wa sisi tunaowalipa.Itakuwa Kuna matengenezo madogo madogo tu,Tusiwe watu wa kulalamika lalamika tu kwa mambo ya muda mfupi tu,mbona hata sisi binafsi Kuna wakati unakwama baadhi ya mambo na kwa wakati fulani kukamilisha au kutekeleza jambo fulani?