Tanesco huu mgao ni wa nini tena?

Tanesco huu mgao ni wa nini tena?

Itakuwa Kuna matengenezo madogo madogo tu,Tusiwe watu wa kulalamika lalamika tu kwa mambo ya muda mfupi tu,mbona hata sisi binafsi Kuna wakati unakwama baadhi ya mambo na kwa wakati fulani kukamilisha au kutekeleza jambo fulani?

Jana 12hrs na Leo since saa 12 matengenezo gani?
Acha kutake mambo magumu kuwa simple, nyie ndio mnafanya hawa viongozi watuburuze

Mnasifia ujinga, umeona watu wanafunga biashara? Unajua bidhaa ngapi zinaharibika kwenye Frig? Hizo ela za mtaji wanazitoa wapi?
 
Viongozi wa Burundi wakiona mbinu ya kukata umeme mumeishtukia, watatuliza akili waje na wazo jingine.

Sisi kama Watanzania hatutoshangaa serikali ya Bujumbura siku wanaodaiwa kuwa majizi wakaja kusema Serikali haitakiwi kufanya biashara, hivyo wameamua waalike wawekezaji watoe huduma ya umeme. Kumbe lengo ni kuliua shirika la umeme, ili wafanye biashara moja kwa moja.
 
Viongozi wa Burundi wakiona mbinu ya kukata umeme mumeishtukia, watatuliza akili waje na wazo jingine.

Sisi kama Watanzania hatutoshangaa serikali ya Bujumbura siku wanaodaiwa kuwa majizi wakaja kusema Serikali haitakiwi kufanya biashara, hivyo wameamua waalike wawekezaji watoe huduma ya umeme. Kumbe lengo ni kuliua shirika la umeme, ili wafanye biashara moja kwa moja.


mkurugenzi wa tanesco akikaa pale na kingereza chake basi tunaridhika ila kwa ukweli wanatukosea sana tena sana
wanatakiwa kutoa taarifa ili tukanunue mabarafu tuweke kweye frig

sasa wanazima umeme 12hrs

hatari sana
 
Wanaona Jambo la kawaida wateja kukosa umeme tena bila ya taarifa shirika amewekwa kiongozi wa hovyo kwa maslahi yake mapana na mtawala anaogopa kupagusa hapo.Kipindi chote cha mgao wameshindwa fanya matengenezo hadi wanakuja pata power outages wakati ambao walitakiwa wafidie kuongeza mapato ya mgao uliopita inakuwa biashara kichaa. Mtawala anapaswa kumuweka MD mtu wa ndani ya TANESCO ambaye expert wa masuala ya umeme hii athali yake inaoneka sasa kwakuwa jamaa hayupo serious na umeme yeye anapiga pesa kwa Mifumo ya IT, mh Raisi SHIRIKA LINAMPASUKO KIASI KIKUBWA ZINDUKA YASIJE TOKEA KAMA YA B MKAPA.
 
Mvua inanyeshaa,ila bado suala la umeme ni hola
 
Back
Top Bottom