Shirika la umeme Tanzania liko hoi kutokana mgawo mkubwa unaoendelea. wafanyakazi wake wamekuwa wanapenda rushwa kupitiliza.
wakati Nchi ikiwa kwenye mgao mzito wa umeme mpaka kero wenyewe wanawaza kuiba tuuu.
Mfano wilaya uyui kila kitu lazima utoe rushwa ukitaka kupimiwa utoe rushwa, ukitaka kufungiwa umeme utoe rushwa.
Kuanzia meneja mkoa, hadi mawilayani wote wamekuwa ni rushwa tuuu. hupati huduma bila rushwa
wakati Nchi ikiwa kwenye mgao mzito wa umeme mpaka kero wenyewe wanawaza kuiba tuuu.
Mfano wilaya uyui kila kitu lazima utoe rushwa ukitaka kupimiwa utoe rushwa, ukitaka kufungiwa umeme utoe rushwa.
Kuanzia meneja mkoa, hadi mawilayani wote wamekuwa ni rushwa tuuu. hupati huduma bila rushwa