TANESCO inarudi mikononi mwa mafisadi?

TANESCO inarudi mikononi mwa mafisadi?

Huku Jpili hakukuwa na umeme na Leo tena hakuna umeme.
Hi wizara haihitaji waziri muuza sura inahitaji mtu wa kazi.
Hizo tozo badala ya kubooresha mnaharibu?
Tumerudi enzi za Kikwete.
Kweli hata huku nilipo hakuna umeme,yaani waziri yupo bize kupanga watu wa kumsifia Twitter
 
I hope, naamini 100%, Usalama wa Taifa utatusaidia na majizi haya. Zitto, January, i never ever trusted them. Zitto kama Speaker ya January kwa sasa. Ni kuwa makini sana na hawa watu, hii idea ya kubinafsisha Tanesco inatoka wapi? Hii ni hatari kuu katika nchi yetu, hatari ya juu kabisa kabisa. Mama Samia naamini atakaa macho sana kuliko kawaida kuhusu hawa watu. Mungu wetu tusaidie, kila siku tunakuita Munguuuu, Munguuuu wetuuuu, Munguuuu wetuuu, tusaidie tusaidie. Mpe Mama Samia macho makali kabisa ya kuona mbaliiii na wakati wote


Mungu wa Abraham, Jacob and Isaac tusaidie, tusaidie
 
Sukuma Gang ndembendembe,kifo Cha Mende,mlalo,chaaaaaaaaaaaaaaaaaaali.

Kateni umeme mpendavyooooooo.
 
Private sector ilifeli kwenye ATCL Ikafeli kwenye TRC,lakini wacha tuone
Hata kwenye TANESCO walifeli umeisahau NETGROUP SOLUTION kuwa waliwahi kubinafishiwa TANESCO na Mkapa? Uakawashinda wakairudisha Kama ATC na TRC.
Kwa ufupi walisha jaribu wakashindwa.
 
Sukuma Gang ndembendembe,kifo Cha Mende,mlalo,chaaaaaaaaaaaaaaaaaaali.

Kateni umeme mpendavyooooooo.
Wasukuma wamefanya Nini hapa? Siku hizi kutetea maslahi ya nchi unaitwa sukuma gang sawa mtuite tu Ila kwenye ufisadi tutadili na nyie Msoga gang
 
Mafisadi walianza muda mrefu Sana kuila tanesco record zinaonyesha TANESCO ilianza kuliwa toka mwaka 1994.

Magufuli alipoingia akajaribu kuwaondoa mafisadi wote kuliteka shirika la TANESCO ingawa alikuwa anatumia nguvu ila kiasi alifanikiwa ingawa watu Kama Tundu Lissu walimshauri kwamba atengeneze Sheria zitakazodumu muda wote kwenye rasilimali za Nchi.

Kwa kujua atatawala milele aligoma na kujisemea atawashugulikia apendavyo na kweli aliwashughulikia .

Sasa hayupo yamerudi ndani ya shirika labda angemsikiliza Tundu Lissu juu ya kufuata mfumo wa Bolivia leo tungekuwa salama.

Walianza kuwatumia watu wanaotumbuliwa kuongea bungeni, Mnakumbuka kauli ya Nape kwamba serikali awaachie sector binafsi kuwekeza kwenye umeme? Jamaa alitaka Rufiji ijengwe na sector binafsi na wawauzie umeme tanesco.

Yaani turudie Yale Yale ya Symbion, Dowans, Richmond na IPTL!!

Leo January na Zito wakitumiwa na magege ya wezi na mafisadi wanataka kuuza hisa za tanesco shirika la umma ili umeme wa Nchi ulioshika usalama wa taifa uwe chini ya mafisadi ?

Waipangie Tanesco Bei ya umeme Kama wanavyotaka?

Vyanzo vyote vya umeme vilivyojengwa kuanzia utawala wa nyerere Leo viwe chini ya majamaa tu wengi wao Wala hata hawaishi nchini!!

Yaani hatujifunzi tu kutokana na makosa, sasahivi umeme umeanza kukatika katika hovyo tu na biashara za vijana mnajua zinategemea umeme!

Kuna maeneo unaamhiwa umeme unakatika mara 5 kwa siku Sasa najiuliza Yale majamaa yakiingia Tena tunapona ? Wakati yanaingia na mikakati ya kuagiza makotena ya Generator?

Vijana waliojiajiri na masaloon waliomaliza vyuo wanaishije!! Tuiombee TANESCO na Nchi.
Çcm ni ukoo wa panya, hakuna asiyekuwa mpigaji kuanzia ikulu mpaka shinani
 
Nasema hivi,kwa uelewa wangu hii nchi kuna genge kubwa na la hatari Sana lenye nguvu kubwa kuliko Serikali tunayoijua.Ndilo linaloyumbisha na kufukarisha nchi.Ni mfano wa MAFIA au YAKUZA.Kiongozi pekee aliyethubutu kulishughulikia genge hili na kufanikiwa kwa kiwango kikubwa ni Hayati JPM.Sasa hayupo tena mwenye jeuri hiyo.Wameshika hatamu kwa kasi ya tsunami.Tutarajie maumivu maradufu huko tuendako maana genge hili limepenya kila mahali.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Genge lenye nguvu kubwa kuliko serikali? Nguvu ya genge hili inatokana na nini? Viongozi wa genge hili ni akina nani?
Genge hili linafukarisha na kuyumbisha nchi kivipi?
 
Mafisadi walianza muda mrefu Sana kuila tanesco record zinaonyesha TANESCO ilianza kuliwa toka mwaka 1994.

Magufuli alipoingia akajaribu kuwaondoa mafisadi wote kuliteka shirika la TANESCO ingawa alikuwa anatumia nguvu ila kiasi alifanikiwa ingawa watu Kama Tundu Lissu walimshauri kwamba atengeneze Sheria zitakazodumu muda wote kwenye rasilimali za Nchi.

Kwa kujua atatawala milele aligoma na kujisemea atawashugulikia apendavyo na kweli aliwashughulikia .

Sasa hayupo yamerudi ndani ya shirika labda angemsikiliza Tundu Lissu juu ya kufuata mfumo wa Bolivia leo tungekuwa salama.

Walianza kuwatumia watu wanaotumbuliwa kuongea bungeni, Mnakumbuka kauli ya Nape kwamba serikali awaachie sector binafsi kuwekeza kwenye umeme? Jamaa alitaka Rufiji ijengwe na sector binafsi na wawauzie umeme tanesco.

Yaani turudie Yale Yale ya Symbion, Dowans, Richmond na IPTL!!

Leo January na Zito wakitumiwa na magege ya wezi na mafisadi wanataka kuuza hisa za tanesco shirika la umma ili umeme wa Nchi ulioshika usalama wa taifa uwe chini ya mafisadi ?

Waipangie Tanesco Bei ya umeme Kama wanavyotaka?

Vyanzo vyote vya umeme vilivyojengwa kuanzia utawala wa nyerere Leo viwe chini ya majamaa tu wengi wao Wala hata hawaishi nchini!!

Yaani hatujifunzi tu kutokana na makosa, sasahivi umeme umeanza kukatika katika hovyo tu na biashara za vijana mnajua zinategemea umeme!

Kuna maeneo unaamhiwa umeme unakatika mara 5 kwa siku Sasa najiuliza Yale majamaa yakiingia Tena tunapona ? Wakati yanaingia na mikakati ya kuagiza makotena ya Generator?

Vijana waliojiajiri na masaloon waliomaliza vyuo wanaishije!! Tuiombee TANESCO na Nchi.

Kwani lini Tanesco aliwahi kuwa huru na ufisadi?
 
Tutajie ufisadi uliofanyika kipindi Cha Magufuli,sio kusema tu toa ushahidi.

Kwani kipindi paymaster mtoto wa dada sicho kile kile chenye 1.5tr/- za Assad, viwanja vya chato, madege yasiyonunuliwa kwa utaratibu, waziri wa nishati mtoto wa nyumbani nk?

Hadi hapo usidhani nimesahau ya madaraja ya kigongo busisi na wale maofisa Tanroads wa milele waliokuwa hawastaafu.

Utakuwa umetenda haki pia usiposahau kuna na madudu mengine yasiyo kifani huku:

IMG_20210930_170832_807.jpg


Lini tumewahi kuwa nafuu sie?
 
Ufisadi haujawai kuisha TANESCO hata awamu ya mwendazake ulikuwepo tena wa kutisha. Kila awamu inakuja na MAFISADI wake ila kinachofanyika ni kuwabrain wash WADANGANYIKA kwamba tulikuwa tunaibiwa sana.
Wakati mwingine acha ujinga wako
 
Kwani kipindi paymaster mtoto wa dada sicho kile kile chenye 1.5tr/- za Assad, viwanja vya chato, madege yasiyonunuliwa kwa utaratibu, waziri wa nishati mtoto wa nyumbani nk?

Hadi hapo usidhani nimesahau ya madaraja ya kigongo busisi na wale maofisa Tanroads wa milele waliokuwa hawastaafu.

Utakuwa umetenda haki pia usiposahau kuna na nadudu mengine yasiyo kifani huku:

View attachment 1973092

Lini tumewahi kuwa nafuu sie?
Unaulizwa hili unajibu lile!!!!!!! Wewe unajua 1.5 T wewe, kazi kubwabwaja tu
 
Mafisadi walianza muda mrefu Sana kuila tanesco record zinaonyesha TANESCO ilianza kuliwa toka mwaka 1994.

Magufuli alipoingia akajaribu kuwaondoa mafisadi wote kuliteka shirika la TANESCO ingawa alikuwa anatumia nguvu ila kiasi alifanikiwa ingawa watu Kama Tundu Lissu walimshauri kwamba atengeneze Sheria zitakazodumu muda wote kwenye rasilimali za Nchi.

Kwa kujua atatawala milele aligoma na kujisemea atawashugulikia apendavyo na kweli aliwashughulikia .

Sasa hayupo yamerudi ndani ya shirika labda angemsikiliza Tundu Lissu juu ya kufuata mfumo wa Bolivia leo tungekuwa salama.

Walianza kuwatumia watu wanaotumbuliwa kuongea bungeni, Mnakumbuka kauli ya Nape kwamba serikali awaachie sector binafsi kuwekeza kwenye umeme? Jamaa alitaka Rufiji ijengwe na sector binafsi na wawauzie umeme tanesco.

Yaani turudie Yale Yale ya Symbion, Dowans, Richmond na IPTL!!

Leo January na Zito wakitumiwa na magege ya wezi na mafisadi wanataka kuuza hisa za tanesco shirika la umma ili umeme wa Nchi ulioshika usalama wa taifa uwe chini ya mafisadi ?

Waipangie Tanesco Bei ya umeme Kama wanavyotaka?

Vyanzo vyote vya umeme vilivyojengwa kuanzia utawala wa nyerere Leo viwe chini ya majamaa tu wengi wao Wala hata hawaishi nchini!!

Yaani hatujifunzi tu kutokana na makosa, sasahivi umeme umeanza kukatika katika hovyo tu na biashara za vijana mnajua zinategemea umeme!

Kuna maeneo unaamhiwa umeme unakatika mara 5 kwa siku Sasa najiuliza Yale majamaa yakiingia Tena tunapona ? Wakati yanaingia na mikakati ya kuagiza makotena ya Generator?

Vijana waliojiajiri na masaloon waliomaliza vyuo wanaishije!! Tuiombee TANESCO na Nchi.
Umeandika pasipo kuweka ushahidi wowote wa maana (tangible proof) nadhani hii ni kusoma na kuiacha kama ilivyo. Imekaa kizandiki na kinafiki, ni siasa zile zile za kushambulia mtu badala ya kuja na hoja zenye kueleweka.
 
Mafisadi walianza muda mrefu Sana kuila tanesco record zinaonyesha TANESCO ilianza kuliwa toka mwaka 1994.

Magufuli alipoingia akajaribu kuwaondoa mafisadi wote kuliteka shirika la TANESCO ingawa alikuwa anatumia nguvu ila kiasi alifanikiwa ingawa watu Kama Tundu Lissu walimshauri kwamba atengeneze Sheria zitakazodumu muda wote kwenye rasilimali za Nchi.

Kwa kujua atatawala milele aligoma na kujisemea atawashugulikia apendavyo na kweli aliwashughulikia .

Sasa hayupo yamerudi ndani ya shirika labda angemsikiliza Tundu Lissu juu ya kufuata mfumo wa Bolivia leo tungekuwa salama.

Walianza kuwatumia watu wanaotumbuliwa kuongea bungeni, Mnakumbuka kauli ya Nape kwamba serikali awaachie sector binafsi kuwekeza kwenye umeme? Jamaa alitaka Rufiji ijengwe na sector binafsi na wawauzie umeme tanesco.

Yaani turudie Yale Yale ya Symbion, Dowans, Richmond na IPTL!!

Leo January na Zito wakitumiwa na magege ya wezi na mafisadi wanataka kuuza hisa za tanesco shirika la umma ili umeme wa Nchi ulioshika usalama wa taifa uwe chini ya mafisadi ?

Waipangie Tanesco Bei ya umeme Kama wanavyotaka?

Vyanzo vyote vya umeme vilivyojengwa kuanzia utawala wa nyerere Leo viwe chini ya majamaa tu wengi wao Wala hata hawaishi nchini!!

Yaani hatujifunzi tu kutokana na makosa, sasahivi umeme umeanza kukatika katika hovyo tu na biashara za vijana mnajua zinategemea umeme!

Kuna maeneo unaamhiwa umeme unakatika mara 5 kwa siku Sasa najiuliza Yale majamaa yakiingia Tena tunapona ? Wakati yanaingia na mikakati ya kuagiza makotena ya Generator?

Vijana waliojiajiri na masaloon waliomaliza vyuo wanaishije!! Tuiombee TANESCO na Nchi.
Ameanza kwenye bodi kuweka maharage, majaa, gachuma na yale majina walituumiza huko nyuma ili kuja kumalizia kuhamisha mali za umma kua zao binafsi.
 
Mafisadi walianza muda mrefu Sana kuila tanesco record zinaonyesha TANESCO ilianza kuliwa toka mwaka 1994.

Magufuli alipoingia akajaribu kuwaondoa mafisadi wote kuliteka shirika la TANESCO ingawa alikuwa anatumia nguvu ila kiasi alifanikiwa ingawa watu Kama Tundu Lissu walimshauri kwamba atengeneze Sheria zitakazodumu muda wote kwenye rasilimali za Nchi.

Kwa kujua atatawala milele aligoma na kujisemea atawashugulikia apendavyo na kweli aliwashughulikia .

Sasa hayupo yamerudi ndani ya shirika labda angemsikiliza Tundu Lissu juu ya kufuata mfumo wa Bolivia leo tungekuwa salama.

Walianza kuwatumia watu wanaotumbuliwa kuongea bungeni, Mnakumbuka kauli ya Nape kwamba serikali awaachie sector binafsi kuwekeza kwenye umeme? Jamaa alitaka Rufiji ijengwe na sector binafsi na wawauzie umeme tanesco.

Yaani turudie Yale Yale ya Symbion, Dowans, Richmond na IPTL!!

Leo January na Zito wakitumiwa na magege ya wezi na mafisadi wanataka kuuza hisa za tanesco shirika la umma ili umeme wa Nchi ulioshika usalama wa taifa uwe chini ya mafisadi ?

Waipangie Tanesco Bei ya umeme Kama wanavyotaka?

Vyanzo vyote vya umeme vilivyojengwa kuanzia utawala wa nyerere Leo viwe chini ya majamaa tu wengi wao Wala hata hawaishi nchini!!

Yaani hatujifunzi tu kutokana na makosa, sasahivi umeme umeanza kukatika katika hovyo tu na biashara za vijana mnajua zinategemea umeme!

Kuna maeneo unaamhiwa umeme unakatika mara 5 kwa siku Sasa najiuliza Yale majamaa yakiingia Tena tunapona ? Wakati yanaingia na mikakati ya kuagiza makotena ya Generator?

Vijana waliojiajiri na masaloon waliomaliza vyuo wanaishije!! Tuiombee TANESCO na Nchi.
Ndio tena mara millioni ili kulipiza kisasi cha kupoteza miaka sita iliyopita kutokana na kuhangaika na kesi za uhujumu uchumi
 
Back
Top Bottom