TANESCO Kibaha kulikoni?

TANESCO Kibaha kulikoni?

godson njamakuya

Senior Member
Joined
Mar 6, 2021
Posts
170
Reaction score
196
Ni siku ya tatu sasa umeme unakatika bila sisi wateja kujulishwa kama kuna matengenezo yoyote yanaendelea.Nashauri kama kuna marekebisho yoyote yanayofanyika ni vyema tukataarifiwa kwenye vyombo kwamba eneo flani litakosa umeme kwa muda flani ili kupisha maboresho katika miundombinu ya umeme.

Hii itatufanya kuchukua tahadhari kwa kuzima main switch ili kuepuka madhara yanayoweza kutokea pindi umeme unaporudi. Lakini Shirika husika limekaa kimya, kipindi cha nyuma kulikuwa na yule dada jina limenitoka yeye alikuwa Afisa Uhusiano TANESCO kukiwa na marekebisho flani eneo flani lazima atangaze kwenye TV sasa hivi kitu, mnashtukia tu mko gizani haijulikani umeme utarudi muda gani,hii ni hatari kwa usalama wa vifaa vyetu vinavyotumia umeme.
 
Nilipoingia JF nilijikuta nakumbuka uandishi kwa insha, hii ilinifanya nikakumbuka uandishi kwa vituo Kama koma, mshangao, nukta nk.

Mwisho wa maelezo.
 
Nilipoingia JF nilijikuta nakumbuka uandishi kwa insha, hii ilinifanya nikakumbuka uandishi kwa vituo Kama koma, mshangao, nukta nk.

Mwisho wa maelezo.
Kwamba Mkuu mimi nimetiririka tu sikuweka hivyo vituo?
 
Afazali ya weyee una umeme, huku kuna wengine tuliomba new connection llkn mpaka leo holaaaaaaaaaa hawa Tanesco kibaha hawaaaaa
 
Ni siku ya tatu sasa umeme unakatika bila sisi wateja kujulishwa kama kuna matengenezo yoyote yanaendelea.Nashauri kama kuna marekebisho yoyote yanayofanyika ni vyema tukataarifiwa kwenye vyombo kwamba eneo flani litakosa umeme kwa muda flani ili kupisha maboresho katika miundombinu ya umeme.

Hii itatufanya kuchukua tahadhari kwa kuzima main switch ili kuepuka madhara yanayoweza kutokea pindi umeme unaporudi. Lakini Shirika husika limekaa kimya, kipindi cha nyuma kulikuwa na yule dada jina limenitoka yeye alikuwa Afisa Uhusiano TANESCO kukiwa na marekebisho flani eneo flani lazima atangaze kwenye TV sasa hivi kitu, mnashtukia tu mko gizani haijulikani umeme utarudi muda gani,hii ni hatari kwa usalama wa vifaa vyetu vinavyotumia umeme.
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja

SIMU : 0748550000
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja

SIMU : 0748550000

Kitengo cha Habari TANESCO kina wafanyakazi zaidi ya 200 nchini. Waondolewe waende wapi Waziri January?​

 
Eh kibaha ni rural tuna. Lipia 27k over kwako wa laki3 na 15
Hii inapatikana wakati wa kukupimia ndio wataalamu wetu watafika eneo husika na kusema kama ni mjini au kijijini kwemdana na kuongozo wa serikali
 
Hii inapatikana wakati wa kukupimia ndio wataalamu wetu watafika eneo husika na kusema kama ni mjini au kijijini kwemdana na kuongozo wa serikali
Wengine tulisha lipia 27k

Cha msinhi ni nyie mtulete umeme na sio maelezo mengiiiii
 
Back
Top Bottom