TANESCO Kilimanjaro yatoa ratiba ya matengenezo ya miundombinu ya umeme

Hao wameshindwa kazi liuzwe hili shirika, hata TBL Ingekuwa ya serikali bia tungepata kwa mgao
 
Ndio utaratibu mpya tunaopitia kama taifa, ratiba za mgao wa umeme kila mkoa, huyu waziri anataka kutuaminisha baada ya hayo matengenezo umeme hautasumbua tena?

Kwanini mwanzo walisingizia tatizo ni upungufu wa maji kama miundombinu pia ilikuwa imechoka? si wangesema tatizo lile lilisababishwa na upungufu wa maji na miundombinu kuchoka?

Baada ya hii sababu wasije na sababu nyingine, wanaonekana wanahamisha magoli tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…