TANESCO, kukata umeme bila kuwa na ratiba maalum inatukwaza sana wateja wenu

TANESCO, kukata umeme bila kuwa na ratiba maalum inatukwaza sana wateja wenu

Sijui Magufuli aliwezaje kuondoa mgao wa umeme katika utawala wake wakati miundo mbinu na mijitu ni ile ile. Hili jambo inabidi liingizwe kwenye mojawapo ya maajabu ya dunia aisee!
Mkuu nakuonaga uko buzy sana na ule uzi wa vituko mtandaoni Leo kwa mara ya kwanza nakuona umechepuka kwenye huu uzi, vp mkuu umeguswa sana eeeh?
 
Haya mateso tunayopata kama wananchi ni makubwa mno, umeme unakatika hujui unakatwa saa ngapi wala unarudi saa ngapi, tofauti na nchi za wenzetu hata kama kuna tatizo basi ratiba ifahamike na wahusika hao wakata umeme waifuate sio wanajiamulia tu, sisi kama wateja tuna haki ya kufahamu ili tujipange kwenye shughuli zetu za uchumi na kijamii.

Leo kwa mfano hapa karibu na shule ya liberman Mbezi beach wamekata tangu saa kumi jioni hadi sasa saa tisa alfajiri hawajarudisha huku kawaida tumezoea wakikata saa kumi jioni basi saa tano usiku wanarudisha sasa hatuelewi leo bwana mkata umeme labda starehe zimemzidi katusahau au kazidiwa na usingizi, ila kwa mateso haya nayoyapata nasali hapa namuomba mungu wafanyakazi wote wa TANESCO na mawaziri wao walaaniwe wao na vizazi vyao mungu naomba ujibu maombi yangu. Amen.
Unaowalaani hawahusiki na kukatika umeme, kwani January ni mwajiriwa wa tanesco?
 
Haya mateso tunayopata kama wananchi ni makubwa mno, umeme unakatika hujui unakatwa saa ngapi wala unarudi saa ngapi, tofauti na nchi za wenzetu hata kama kuna tatizo basi ratiba ifahamike na wahusika hao wakata umeme waifuate sio wanajiamulia tu, sisi kama wateja tuna haki ya kufahamu ili tujipange kwenye shughuli zetu za uchumi na kijamii.

Leo kwa mfano hapa karibu na shule ya liberman Mbezi beach wamekata tangu saa kumi jioni hadi sasa saa tisa alfajiri hawajarudisha huku kawaida tumezoea wakikata saa kumi jioni basi saa tano usiku wanarudisha sasa hatuelewi leo bwana mkata umeme labda starehe zimemzidi katusahau au kazidiwa na usingizi, ila kwa mateso haya nayoyapata nasali hapa namuomba mungu wafanyakazi wote wa TANESCO na mawaziri wao walaaniwe wao na vizazi vyao mungu naomba ujibu maombi yangu. Amen.
Jana WALIKATA hiyo jioni mpk saa 8 sijui saa 9 usiku ndio wakarudisha. Na asubuhi hata sijaweka mkuu sakafuni wameubeba. F THEM
 
Haya mateso tunayopata kama wananchi ni makubwa mno, umeme unakatika hujui unakatwa saa ngapi wala unarudi saa ngapi, tofauti na nchi za wenzetu hata kama kuna tatizo basi ratiba ifahamike na wahusika hao wakata umeme waifuate sio wanajiamulia tu, sisi kama wateja tuna haki ya kufahamu ili tujipange kwenye shughuli zetu za uchumi na kijamii.

Leo kwa mfano hapa karibu na shule ya liberman Mbezi beach wamekata tangu saa kumi jioni hadi sasa saa tisa alfajiri hawajarudisha huku kawaida tumezoea wakikata saa kumi jioni basi saa tano usiku wanarudisha sasa hatuelewi leo bwana mkata umeme labda starehe zimemzidi katusahau au kazidiwa na usingizi, ila kwa mateso haya nayoyapata nasali hapa namuomba mungu wafanyakazi wote wa TANESCO na mawaziri wao walaaniwe wao na vizazi vyao mungu naomba ujibu maombi yangu. Amen.
Mods wameingilia kati ila wafanyakazi wote wa tenesco na mawaziri wao walaaniwe wao na vizazi vyao watanzania tushirikiane kuomba kwa mungu awezeshe hili haya mateso tunayopitia ni makubwa mno kwa mfano hapa mbezi beach tangu jana hakuna umeme wamerudisha kidogo sasahivi wamekata tena hawa tanesco mungu nakuomba uwape laana wao na kizazi chao bila ya kusahau mawaziri husika amen
 
Back
Top Bottom