Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki chama cha kufukuza madarakani. Shida ya machadema hayatuonyeshi Yana kipi kipya kwenye umeme afya maji na Elimu. Yenyewe yanapambana na Makonda tuDaah, kila siku wanaboresha miundo mbinu gani kwani?
UMEME+SUKARI+TENESICO=CCM
Jumatatu, 04 Machi 2024
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) lina utaarifu umma kuwa kumetokea hitilafu katika mfumo wa Gridi ya Taifa na hivyo kusababisha ukosefu wa huduma ya umeme katika baadhi ya maeneo nchini pamoja na Zanzibar.
Wataalamu wetu wanaendelea na jitihada za kuhakikisha huduma ya Umeme inarejea katika hali yake ya kawaida.
Shirika linawaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.
Imetolewa Na;
KURUGENZI YA MAWASILIANO NA UHUSIANO KWA UMMA
TANESCO-MAKAO MAKUU
DODOMA
Vaa mkanda na mmeo muungane na chadema kuwafurusha maccmHiki chama cha kufukuza madarakani. Shida ya machadema hayatuonyeshi Yana kipi kipya kwenye umeme afya maji na Elimu. Yenyewe yanapambana na Makonda tu
Shirika la umeme au la GIZA mbweha nyie
Jumatatu, 04 Machi 2024
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) lina utaarifu umma kuwa kumetokea hitilafu katika mfumo wa Gridi ya Taifa na hivyo kusababisha ukosefu wa huduma ya umeme katika baadhi ya maeneo nchini pamoja na Zanzibar.
Wataalamu wetu wanaendelea na jitihada za kuhakikisha huduma ya Umeme inarejea katika hali yake ya kawaida.
Shirika linawaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.
Imetolewa Na;
KURUGENZI YA MAWASILIANO NA UHUSIANO KWA UMMA
TANESCO-MAKAO MAKUU
DODOMA
Hawa watu wana matatizo hata hujui wa awezaje kukalia viti vya kunesanesa ns vyumba vyenye viyoyozi!
Jumatatu, 04 Machi 2024
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) lina utaarifu umma kuwa kumetokea hitilafu katika mfumo wa Gridi ya Taifa na hivyo kusababisha ukosefu wa huduma ya umeme katika baadhi ya maeneo nchini pamoja na Zanzibar.
Wataalamu wetu wanaendelea na jitihada za kuhakikisha huduma ya Umeme inarejea katika hali yake ya kawaida.
Shirika linawaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.
Imetolewa Na;
KURUGENZI YA MAWASILIANO NA UHUSIANO KWA UMMA
TANESCO-MAKAO MAKUU
DODOMA
Kama mpaka Zenji, Tanesco tengenezi polepole hatuna haraka na umeme
Jumatatu, 04 Machi 2024
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) lina utaarifu umma kuwa kumetokea hitilafu katika mfumo wa Gridi ya Taifa na hivyo kusababisha ukosefu wa huduma ya umeme katika baadhi ya maeneo nchini pamoja na Zanzibar.
Wataalamu wetu wanaendelea na jitihada za kuhakikisha huduma ya Umeme inarejea katika hali yake ya kawaida.
Shirika linawaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.
Imetolewa Na;
KURUGENZI YA MAWASILIANO NA UHUSIANO KWA UMMA
TANESCO-MAKAO MAKUU
DODOMA
Nimevaa mkanda ba ww ukiwa mbele na tako lako kubwaVaa mkanda na mmeo muungane na chadema kuwafurusha maccm
SGR tuwaambie ukweli au Tuwaache ache kwanza! hehe ehhe hehh
Jumatatu, 04 Machi 2024
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) lina utaarifu umma kuwa kumetokea hitilafu katika mfumo wa Gridi ya Taifa na hivyo kusababisha ukosefu wa huduma ya umeme katika baadhi ya maeneo nchini pamoja na Zanzibar.
Wataalamu wetu wanaendelea na jitihada za kuhakikisha huduma ya Umeme inarejea katika hali yake ya kawaida.
Shirika linawaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.
Imetolewa Na;
KURUGENZI YA MAWASILIANO NA UHUSIANO KWA UMMA
TANESCO-MAKAO MAKUU
DODOMA