Tanesco: Kumetokea hitilafu mfumo wa Gridi ya Taifa na kusababisha kukosekana huduma baadhi ya maeneo Bara na Zanzibar, tatizo linashughulikiwa

Tanesco: Kumetokea hitilafu mfumo wa Gridi ya Taifa na kusababisha kukosekana huduma baadhi ya maeneo Bara na Zanzibar, tatizo linashughulikiwa

Ndo umerudi kama robo saa hapa, Kuna huduma nilikuwa nataka kupata ila sijapata kwa sababu ya umeme da!
 
View attachment 2924344

TAARIFA KWA UMMA

HITILAFU KWENYE MFUMO WA GRIDI YA TAIFA

Jumatatu, 04 Machi 2024

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) lina utaarifu umma kuwa kumetokea hitilafu katika mfumo wa Gridi ya Taifa na hivyo kusababisha ukosefu wa huduma ya umeme katika baadhi ya maeneo nchini pamoja na Zanzibar.

Wataalamu wetu wanaendelea na jitihada za kuhakikisha huduma ya Umeme inarejea katika hali yake ya kawaida.

Shirika linawaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.

Imetolewa Na;

KURUGENZI YA MAWASILIANO NA UHUSIANO KWA UMMA

TANESCO-MAKAO MAKUU

DODOMA
UMEME+SUKARI+TENESICO=CCM
 
View attachment 2924344

TAARIFA KWA UMMA

HITILAFU KWENYE MFUMO WA GRIDI YA TAIFA

Jumatatu, 04 Machi 2024

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) lina utaarifu umma kuwa kumetokea hitilafu katika mfumo wa Gridi ya Taifa na hivyo kusababisha ukosefu wa huduma ya umeme katika baadhi ya maeneo nchini pamoja na Zanzibar.

Wataalamu wetu wanaendelea na jitihada za kuhakikisha huduma ya Umeme inarejea katika hali yake ya kawaida.

Shirika linawaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.

Imetolewa Na;

KURUGENZI YA MAWASILIANO NA UHUSIANO KWA UMMA

TANESCO-MAKAO MAKUU

DODOMA
Shirika la umeme au la GIZA mbweha nyie
 
View attachment 2924344

TAARIFA KWA UMMA

HITILAFU KWENYE MFUMO WA GRIDI YA TAIFA

Jumatatu, 04 Machi 2024

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) lina utaarifu umma kuwa kumetokea hitilafu katika mfumo wa Gridi ya Taifa na hivyo kusababisha ukosefu wa huduma ya umeme katika baadhi ya maeneo nchini pamoja na Zanzibar.

Wataalamu wetu wanaendelea na jitihada za kuhakikisha huduma ya Umeme inarejea katika hali yake ya kawaida.

Shirika linawaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.

Imetolewa Na;

KURUGENZI YA MAWASILIANO NA UHUSIANO KWA UMMA

TANESCO-MAKAO MAKUU

DODOMA
Hawa watu wana matatizo hata hujui wa awezaje kukalia viti vya kunesanesa ns vyumba vyenye viyoyozi!
 
View attachment 2924344

TAARIFA KWA UMMA

HITILAFU KWENYE MFUMO WA GRIDI YA TAIFA

Jumatatu, 04 Machi 2024

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) lina utaarifu umma kuwa kumetokea hitilafu katika mfumo wa Gridi ya Taifa na hivyo kusababisha ukosefu wa huduma ya umeme katika baadhi ya maeneo nchini pamoja na Zanzibar.

Wataalamu wetu wanaendelea na jitihada za kuhakikisha huduma ya Umeme inarejea katika hali yake ya kawaida.

Shirika linawaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.

Imetolewa Na;

KURUGENZI YA MAWASILIANO NA UHUSIANO KWA UMMA

TANESCO-MAKAO MAKUU

DODOMA
Kama mpaka Zenji, Tanesco tengenezi polepole hatuna haraka na umeme

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2924344

TAARIFA KWA UMMA

HITILAFU KWENYE MFUMO WA GRIDI YA TAIFA

Jumatatu, 04 Machi 2024

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) lina utaarifu umma kuwa kumetokea hitilafu katika mfumo wa Gridi ya Taifa na hivyo kusababisha ukosefu wa huduma ya umeme katika baadhi ya maeneo nchini pamoja na Zanzibar.

Wataalamu wetu wanaendelea na jitihada za kuhakikisha huduma ya Umeme inarejea katika hali yake ya kawaida.

Shirika linawaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.

Imetolewa Na;

KURUGENZI YA MAWASILIANO NA UHUSIANO KWA UMMA

TANESCO-MAKAO MAKUU

DODOMA
SGR tuwaambie ukweli au Tuwaache ache kwanza! hehe ehhe hehh
 
Back
Top Bottom