Eng Kimox Kimokole
JF-Expert Member
- Jun 9, 2010
- 1,037
- 767
Hivi kwa nini Tanesco mnalinga sana jamani?
Leo ni siku ya Nne (4) hatuna umeme hapa Kunduchi Mecko, kila mkipigiwa simu mnasema mafundi wako hapo wanashughulikia
hivi hawa mafundi siku nne zote wako hapo wanashughulikia tatizo moja? Wanalala na kukesha hapo?
Kwa nini mnatufanya watoto wadogo lakini? Hivi fanyakazi wenu mmoja angekuwa anaishi hapa Kunduchi mngekaa siku nne bila umeme?
Hili tatizo si mara moja au mbili kutokea hapa, ni zaidi ya mara tano mnasema kuna waya umekatika kila linapotokea tatizo,
hivi huo waya unakatika sehemu hiyo hiyo kila siku? Na mara zote huo WAYA UKIKATIKA tutakaa siku tatu ama nne bila umeme, hivi ni kweli Mmekuwa na maringo kiasu hicho?
Hivi mnajua kuwa wengine umeme ndio unaotufanya maisha yaende ingawa mmetukamua? Mnataka tuje kula na kulala hapo Mikocheni ofisini kwenu? Kwa nini mnatufanyia hivi?
MNAKERA SANA KWA KWELI....
Leo ni siku ya Nne (4) hatuna umeme hapa Kunduchi Mecko, kila mkipigiwa simu mnasema mafundi wako hapo wanashughulikia
hivi hawa mafundi siku nne zote wako hapo wanashughulikia tatizo moja? Wanalala na kukesha hapo?
Kwa nini mnatufanya watoto wadogo lakini? Hivi fanyakazi wenu mmoja angekuwa anaishi hapa Kunduchi mngekaa siku nne bila umeme?
Hili tatizo si mara moja au mbili kutokea hapa, ni zaidi ya mara tano mnasema kuna waya umekatika kila linapotokea tatizo,
hivi huo waya unakatika sehemu hiyo hiyo kila siku? Na mara zote huo WAYA UKIKATIKA tutakaa siku tatu ama nne bila umeme, hivi ni kweli Mmekuwa na maringo kiasu hicho?
Hivi mnajua kuwa wengine umeme ndio unaotufanya maisha yaende ingawa mmetukamua? Mnataka tuje kula na kulala hapo Mikocheni ofisini kwenu? Kwa nini mnatufanyia hivi?
MNAKERA SANA KWA KWELI....