TANESCO Kwa nini mnalinga lakini?

TANESCO Kwa nini mnalinga lakini?

Eng Kimox Kimokole

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2010
Posts
1,037
Reaction score
767
Hivi kwa nini Tanesco mnalinga sana jamani?

Leo ni siku ya Nne (4) hatuna umeme hapa Kunduchi Mecko, kila mkipigiwa simu mnasema mafundi wako hapo wanashughulikia
hivi hawa mafundi siku nne zote wako hapo wanashughulikia tatizo moja? Wanalala na kukesha hapo?

Kwa nini mnatufanya watoto wadogo lakini? Hivi fanyakazi wenu mmoja angekuwa anaishi hapa Kunduchi mngekaa siku nne bila umeme?

Hili tatizo si mara moja au mbili kutokea hapa, ni zaidi ya mara tano mnasema kuna waya umekatika kila linapotokea tatizo,
hivi huo waya unakatika sehemu hiyo hiyo kila siku? Na mara zote huo WAYA UKIKATIKA tutakaa siku tatu ama nne bila umeme, hivi ni kweli Mmekuwa na maringo kiasu hicho?

Hivi mnajua kuwa wengine umeme ndio unaotufanya maisha yaende ingawa mmetukamua? Mnataka tuje kula na kulala hapo Mikocheni ofisini kwenu? Kwa nini mnatufanyia hivi?

MNAKERA SANA KWA KWELI....
 
pole sana mkuu.

Mtafute mfanyakazi mmoja pale Mikocheni Ofisini anaitwa Singano ata- solve tatizo!
 
Pia kijitonyama siku ya 3 hatuna umeme.vitu vinaoza.usiku joto la kufa mtu.
 
Hivi kwa nini Tanesco mnalinga sana jamani?

Leo ni siku ya Nne (4) hatuna umeme hapa Kunduchi Mecko, kila mkipigiwa simu mnasema mafundi wako hapo wanashughulikia
hivi hawa mafundi siku nne zote wako hapo wanashughulikia tatizo moja? Wanalala na kukesha hapo?

Kwa nini mnatufanya watoto wadogo lakini? Hivi fanyakazi wenu mmoja angekuwa anaishi hapa Kunduchi mngekaa siku nne bila umeme?

Hili tatizo si mara moja au mbili kutokea hapa, ni zaidi ya mara tano mnasema kuna waya umekatika kila linapotokea tatizo,
hivi huo waya unakatika sehemu hiyo hiyo kila siku? Na mara zote huo WAYA UKIKATIKA tutakaa siku tatu ama nne bila umeme, hivi ni kweli Mmekuwa na maringo kiasu hicho?

Hivi mnajua kuwa wengine umeme ndio unaotufanya maisha yaende ingawa mmetukamua? Mnataka tuje kula na kulala hapo Mikocheni ofisini kwenu? Kwa nini mnatufanyia hivi?

MNAKERA SANA KWA KWELI....

Tunaringa kwa sababu tuko weeenyeweee bila mpinzani kama ilivyokuaga ttcl zamani
 
Hivi kwa nini Tanesco mnalinga sana jamani?

Leo ni siku ya Nne (4) hatuna umeme hapa Kunduchi Mecko, kila mkipigiwa simu mnasema mafundi wako hapo wanashughulikia
hivi hawa mafundi siku nne zote wako hapo wanashughulikia tatizo moja? Wanalala na kukesha hapo?

Kwa nini mnatufanya watoto wadogo lakini? Hivi fanyakazi wenu mmoja angekuwa anaishi hapa Kunduchi mngekaa siku nne bila umeme?

Hili tatizo si mara moja au mbili kutokea hapa, ni zaidi ya mara tano mnasema kuna waya umekatika kila linapotokea tatizo,
hivi huo waya unakatika sehemu hiyo hiyo kila siku? Na mara zote huo WAYA UKIKATIKA tutakaa siku tatu ama nne bila umeme, hivi ni kweli Mmekuwa na maringo kiasu hicho?

Hivi mnajua kuwa wengine umeme ndio unaotufanya maisha yaende ingawa mmetukamua? Mnataka tuje kula na kulala hapo Mikocheni ofisini kwenu? Kwa nini mnatufanyia hivi?

MNAKERA SANA KWA KWELI....

Watanzania poleni sana haya matatizo ya tanesco ni ya kawaida sana,mie wakati ule wa mgao nilipata shida sana katika umeme nikaamua nijitose nikapiga solar panel za kutosha sasa hivi tatizo la umeme kwangu halipo na tanesco nimeshasahau kama wapo tena,polen sana.
 
Back
Top Bottom