Tanesco loses Sh16 billion per month

Tanesco loses Sh16 billion per month

Tanesco shirika la ajabu sana, mpaka sasa kuna maelfu ya wateja wanasubiri kupata huduma ya umeme lakini shirika limeshindwa kuwapa huduma. Hii si sawa hata kidogo ukizingatia serikali inakusanya mapato ya kodi ya majengo kupitia mifumo ya manunuzi ya umeme hii ni sawa na kuihujumu serikali maana serikali inapoteza mapato mengi sana kwa sababu ya Tanesco kushindwa kuwafikia wateja hao.

Serikali kuweni serious njooni na mikakati mahususi juu ya hili la Tanesco acheni siasa siasa huku mnakwaza wananchi wenu pelekeni miundombinu ya umeme kila mahali acheni usanii wa kufikisha nguzo kwenye visenta na kutelekeza hapo wananchi wanabaki wanahangaikia umeme
 
Na bado hasara zitaendelea kwa miaka mingi ijayo kutokana na management ya Tanesco kuingiliwa na wanasiasa. Kama Kikwete na Lowassa wasingejifanya kuwa wajuaji na kuigomea management ya Tansesco ambayo iligma kusaini mkataba na Richmond basi pesa chungu nzima tulizopigwa na Richmond/Dowans zisingepotea na kuishia mifukoni mwa fisadi Aziz Rostam.
Alaafu kuna mijinga ikazungushwa mikono eti Lowasa mabadiriko?

Na baadae tena eti Jk ndio kipenzi chao?

Upumbavu mtupu
 
Tanesco shirika la ajabu sana, mpaka sasa kuna maelfu ya wateja wanasubiri kupata huduma ya umeme lakini shirika limeshindwa kuwapa huduma. Hii si sawa hata kidogo ukizingatia serikali inakusanya mapato ya kodi ya majengo kupitia mifumo ya manunuzi ya umeme hii ni sawa na kuihujumu serikali maana serikali inapoteza mapato mengi sana kwa sababu ya Tanesco kushindwa kuwafikia wateja hao.

Serikali kuweni serious njooni na mikakati mahususi juu ya hili la Tanesco acheni siasa siasa huku mnakwaza wananchi wenu pelekeni miundombinu ya umeme kila mahali acheni usanii wa kufikisha nguzo kwenye visenta na kutelekeza hapo wananchi wanabaki wanahangaikia umeme
Ni ujinga mkubwa mkuu!
.
Yani ni sawa na una duka alafu huweki bidhaa wateja wanakuja wanaondoka huku unalalama hupati faida.

Ukiona watu wanavyohaha kupata huduma ya kufungiwa umeme huku mitaani alafu ukienda ofisini mijamaa imejaza tu minyama kwenye viti unapata hasira sana.
 
1.8 Trillion? Duh Waandishi nao kama Polisi tu. Wazee wa Alama ndogo darasani. Hata insha kuandika ilikuwa shida tu, leo wanatulisha habari.
 
Tanesco ni mzigo wa misumari. Kwa mikataba iliyoingia na makampuni yanaowauzia umeme ni mikataba ya kifisadi na imepelekea Tanesco kushindwa kujiendesha kibiashara na sasa wamebaki kutoa huduma ambayo bado ni mbovu.
Mzee Benjamini Mkapa pumzika kwa amani lakini mikataba yote mibovu una mkono wako.


Muwe mnaachaga kuongea vitu kwa kukariri
Tanesco sasa hainunui umeme popote..
 
Bado 60% kama hasara ni kubwa mno. Sidhani kama CAG wasingeandika kuhusu hilo unless dhalimu Magufuli aliwazuia CAGs kukagua Financial Statements za Tanesco.

Kalemani ndo alizuia CAG report ya Tanesco isitolewe wala kukaguliwa
 
Kama huna la maana la kuandika kaa kimya badala ya kuleta ujinga usiohusu kitu katika uzi wa maana. Ufisadi na hadi hii leo Mbowe hajafunguliwa kesi na yoyote yule kuhusu huu ujinga ulioandika hapa.
huyo ni Ndondocha wa mtu , asikuumize kichwa
 
Duh! lakini Mkuu Boss asingeweza kufanya hivyo bila kukingiwa kifua na dhalimu magufuli. Swali, je walikuwa wanaficha nini hadi wagomee ripoti ya ukaguzi wa financial statements za TANESCO kuwekwa hadharani?
Kalemani ndo alizuia CAG report ya Tanesco isitolewe wala kukaguliwa
 
Duh! lakini Mkuu Boss asingeweza kufanya hivyo bila kukingiwa kifua na dhalimu magufuli. Swali, je walikuwa wanaficha nini hadi wagomee ripoti ya ukaguzi wa financial statements za TANESCO kuwekwa hadharani?



Walikuwa wanalinda madudu Yao..
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Tanesco hawajawahi kukusanya trilioni 1.8 kwa mwenzi acheni kudanganya watu kwahiyo tanesco wanaizidi TRA?
Inawezekana mkuu. Kama kiwanda cha nondo mfano Hongyu Steel kule Visiga wanaweza kulipa bill ya umeme ya million 500+ kwa mwezi basi inawezekana.
 
Back
Top Bottom