Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Umeenda mbali sana mm nimeongea nikimaanisha snake kwa maana ukigeuka na nyoka akiwa ndani ya duvet sizani kama utaponaHebu fafanua vyema Nyoka yupi na ukijitingisha nini...??
Wameanza jana kukata umeme saa tatu morng wakakata mpaka sasa kweli hii sawa na hawatoi taarifaWanazingua kinooma.
ahaa! hapo sawaUmeenda mbali sana mm nimeongea nikimaanisha snake kwa maana ukigeuka na nyoka akiwa ndani ya duvet sizani kama utapona
Af wenyewe hawajali kabisaAsee Sisi wauza samaki uchumi uyumbile. Samaki wanachinaaaa.
Ulifikiri Nini kiongozi, wakati jamaa anajitingisha Nini nyoka ana..Hebu fafanua vyema Nyoka yupi na ukijitingisha nini...??
basi nimeamua kuyaacha mambo ya watu!Ulifikiri Nini kiongozi, wakati jamaa anajitingisha Nini nyoka ana..
Apo sawabasi nimeamua kuyaacha mambo ya watu!
Nani akuzingatie, Hao Umbwa hao .Af wenyewe hawajali kabisa
Hasara tupu zamani walikuwa TV ikiungua kwasababu yao kukata umeme walikuwa wanalipa imeishia wapi hiiNani akuzingatie, Hao Umbwa hao .
Hata Kama vipo wengi hawatajua lolote kwa namna vilipotezewa mdo mdo Hadi vinapotea.Hasara tupu zamani walikuwa TV ikiungua kwasababu yao kukata umeme walikuwa wanalipa imeishia wapi hii