KERO TANESCO mmeanza kukata umeme mchana na kurudisha usiku wa manane

KERO TANESCO mmeanza kukata umeme mchana na kurudisha usiku wa manane

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
TANESCO hivi kiangazi ndo kimeanza hata wiki haijapita mmeanza kukata umeme na kusingizia kina cha maji.

Tafadhali sana mnatupa hasara, biashara haziendi tuna mikopo ya benki, nyie mpo ofsini mnasubiri mishahara ya serikali sisi hatuna hiyo mishahara tunaitafuta wenyewe na Kodi tunalipa TRA.

Hizi siku mbili mmesumbua sana Mwanza, samaki wanaoza umeme hamna
 
Tanesco hivi kiangazi ndo kimeanza hata wiki haijapita mmeanza kukata umeme na kusingizia kina cha maji.

Tafadhali sana mnatupa hasara, biashara haziendi tuna mikopo ya benki, nyie mpo ofsini mnasubiri mishahara ya serikali sisi hatuna hiyo mishahara tunaitafuta wenyewe na Kodi tunalipa TRA.

Hizi siku mbili mmesumbua sana Mwanza, samaki wanaoza umeme hamna
Wanarudisha usiku wa manane. Wameamua kuwasapoti wachawi sasa.
Manake sisi mchana tutumie jua.
 
Tanesco hivi kiangazi ndo kimeanza hata wiki haijapita mmeanza kukata umeme na kusingizia kina cha maji.

Tafadhali sana mnatupa hasara, biashara haziendi tuna mikopo ya benki, nyie mpo ofsini mnasubiri mishahara ya serikali sisi hatuna hiyo mishahara tunaitafuta wenyewe na Kodi tunalipa TRA.

Hizi siku mbili mmesumbua sana Mwanza, samaki wanaoza umeme hamna
Mbezibeach tishazoea mkuu n kama kuna mtu X wake yuko tbovu anaamua kutuadhibu wote anyway
 
Tanesco hivi kiangazi ndo kimeanza hata wiki haijapita mmeanza kukata umeme na kusingizia kina cha maji.

Tafadhali sana mnatupa hasara, biashara haziendi tuna mikopo ya benki, nyie mpo ofsini mnasubiri mishahara ya serikali sisi hatuna hiyo mishahara tunaitafuta wenyewe na Kodi tunalipa TRA.

Hizi siku mbili mmesumbua sana Mwanza, samaki wanaoza umeme hamna
Kwamba kina cha maji kimepungua 😂, unaota wewe. Wanakata kwa sababu zingine labda, ila sio upungufu wa umeme, maana mashine nyingi za gesi zimezimwa kutokana na umeme kuzidi mahitaji
 
Back
Top Bottom