TANESCO mmekubali kutumika kudai kodi ya majengo (TRA) kinyume na mkataba wenu? Kwa hili tutawashitaki; Serikali hamna huruma

TANESCO mmekubali kutumika kudai kodi ya majengo (TRA) kinyume na mkataba wenu? Kwa hili tutawashitaki; Serikali hamna huruma

Kwa sababu ng'ombe sisi tutanunua tu mafuta kwenye magari yao. Kama wanaweza kununua magari ya milioni 600 bila sababu yoyote ya maana, tutashindwaje kununua mafuta ili dereva apigwe na AC wakati anamsubiri Waziri asaini mikataba ya kimagumashi!!

Viongozi wa serikali wanatuona sisi ni ng'ombe tutafanya wakitakacho.
Ng'ombe ana akili. Sema manyumbu.
 
Jamaa wanadharau za kis*ng* sana na hela za wanainchi wanahisi wao ni untouchables. MUNGU awalinde tu ila siku wanainchi wakisema enough is enough tukasanuka na kutaka kila kitu kisimame hawa mbwa hakuna atakayepona watajikuta wote wapo matatani.

Hiyo siku inakuja
Hadi siku tutakapokubali kupoteza kila kitu ili tupate kitu kizuri ndiyo itawezekana
 
20240417_102609.jpg
 
Zitumike vizuri sio kununua v8 na ndege hivi ni vitu vya anasa
 
Alieelewa hapo atuelekeza kwamba kama unamiliki nyumba moja tu yakuishi isiyotumika kibiashara kuna msamaha wa kodi ?
 
Hii yote ni kwasababu wanataka kuvuka lengo na kuvunja record za makusanyo sio kwakubuni vyanzo vipya na kutengeneza mazingira wezeshi bali kwa kuongeza kodi!
 
Ukisoma tangazo vizuri, hizo Kodi zilianza kutumika JULY 2023
 
Hapo sijaona kipya.........wamefanya maamuzi siku nyingi sasa hivi wanareta umbeya........sijui hizo interview za kazi huwa hanawapa nani hawa bedouin
 
Hapo sijaona kipya.........wamefanya maamuzi siku nyingi sasa hivi wanareta umbeya........sijui hizo interview za kazi huwa hanawapa nani hawa bedouin
Tangazo lilitoka toka zamani, ni watu tu wameamua kufukua makaburi
 
Back
Top Bottom