TANESCO mmekubali kutumika kudai kodi ya majengo (TRA) kinyume na mkataba wenu? Kwa hili tutawashitaki; Serikali hamna huruma

Ng'ombe ana akili. Sema manyumbu.
 
Hadi siku tutakapokubali kupoteza kila kitu ili tupate kitu kizuri ndiyo itawezekana
 
Zitumike vizuri sio kununua v8 na ndege hivi ni vitu vya anasa
 
Alieelewa hapo atuelekeza kwamba kama unamiliki nyumba moja tu yakuishi isiyotumika kibiashara kuna msamaha wa kodi ?
 
Hii yote ni kwasababu wanataka kuvuka lengo na kuvunja record za makusanyo sio kwakubuni vyanzo vipya na kutengeneza mazingira wezeshi bali kwa kuongeza kodi!
 
Ukisoma tangazo vizuri, hizo Kodi zilianza kutumika JULY 2023
 
Hapo sijaona kipya.........wamefanya maamuzi siku nyingi sasa hivi wanareta umbeya........sijui hizo interview za kazi huwa hanawapa nani hawa bedouin
 
Hapo sijaona kipya.........wamefanya maamuzi siku nyingi sasa hivi wanareta umbeya........sijui hizo interview za kazi huwa hanawapa nani hawa bedouin
Tangazo lilitoka toka zamani, ni watu tu wameamua kufukua makaburi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…