FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kwahiyo shida ni kiingereza au ni ‘ufahamu’…, maana inaeleza tu kwamba inapotokea mabadiliko ya sheria ndogo ndogo ihusuyo huduma ya umeme inabidi uwe tayari kukubaliana na manadiliko hayoUnaweza kutolea maelezo haya maneno "applicable on electricity supply " kwenye kipengele namba 10 ulichokinukuu?
Mzee, yaan Kama kibatala na serikali 😅Umekimbia moja kwa moja
Yote yangekuwa sawa kama kinachokusanywa angalau kingetumika vizuri maendeleo yakaonekana. Mbona mtaani hali ngumu hivi? 😳Ujinga waliofanya wabunge wetu ni kumruhusu Waziri wa Fedha aweze kutunga kanuni zinazoweka kiwango cha Tozo, badala ya kusema kuwa kiwango kiwekwe bungeni na bunge lenyewe ila waziri atunge kanuni ya namna gani atatumia kukusanya tozo.
Nimesoma mitandaoni, mpaka wabunge wanashangaa kwa kuwa hawakupitisha kiwango. Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge inayohusu nishati anasema wao sio kazi yao kutunga viwango hivyo aulizwe waziri. Yaani aisee nchi hii tunachezewa mno.
Sasa unataka vigogo wakitoka huko mkutanoni wakute magari yamepata moto waungue? Inachukua dakika kadhaa mpaka kiyoyozi kiweze kupoza hewa ndani ya gari! 😬😬😬Shida ya nchi hii siyo ukusanyaji wa kodi Bali ni matumizi mabaya ya kodi .... Ulishawahi kujiuliza kwanini magari ya serikali huwa hayazimwi kwenye mikutano hata kama ni SAA mbili yanaunguruma tu,
Suala sio lugha, hicho kifungu kinaongelea mambo yanayohusu usambazaji wa huduma ya umeme.Kwahiyo shida ni kiingereza au ni ‘ufahamu’…, maana inaeleza tu kwamba inapotokea mabadiliko ya sheria ndogo ndogo ihusuyo huduma ya umeme inabidi uwe tayari kukubaliana na manadiliko hayo
Ni sawaSasa unataka vigogo wakitoka huko mkutanoni wakute magari yamepata moto waungue? Inachukua dakika kadhaa mpaka kiyoyozi kiweze kupoza hewa ndani ya gari! 😬😬😬
Bora umemwelewesha! Maana hajui kwamba umeme huwezi kupata kama hela yao ya kodi ya jengo usipoweka! Sasa madeni yote yakipishwa kwenye luku haoni kwamba wanatunyima huduma ya msingi ambayo ni umeme na majiSuala sio lugha, hicho kifungu kinaongelea mambo yanayohusu usambazaji wa huduma ya umeme.
Mleta hoja kando ya mambo mengine analalamika TANESCO kufanya kazi ya TRA.
Sawasawa na wewe uende hospital kutibiwa kwenye malipo uambiwe lipia na Kodi ya ujenzi wa barabara.
Sasa unataka vigogo wakitoka huko mkutanoni wakute magari yamepata moto waungue? Inachukua dakika kadhaa mpaka kiyoyozi kiweze kupoza hewa ndani ya gari! 😬😬😬
Ndugu yangu. Kuna watu wanaishi kama malaika katika nchi hii...........Nimesikitishwa na kitendo Cha kiongozi wa bunge kutokatwa tozo hata kidogo kwenye muamala wa 20k. Hata makato ya kampuni ya simu hakuna kabisa.
Kwakuwa taasisi zote 2 zipo chini ya serikali, basi serikali ina uhuru wa kuvi-synchronise ili visaidiane in-tandum katika kutekeleza majukumu na kufikia malengo ya serikali..Suala sio lugha, hicho kifungu kinaongelea mambo yanayohusu usambazaji wa huduma ya umeme.
Mleta hoja kando ya mambo mengine analalamika TANESCO kufanya kazi ya TRA.
Sawasawa na wewe uende hospital kutibiwa kwenye malipo uambiwe lipia na Kodi ya ujenzi wa barabara.
Kwakuwa taasisi zote 2 zipo chini ya serikali, basi serikali ina uhuru wa kuvi-synchronise ili visaidiane in-tandum katika kutekeleza majukumu na kufikia malengo ya serikali..
Ndio, na Nimekueleza nilichoelewa. TRA anapewa nguvu ya kutumia taasisi zingine kama Bank, Tanesco, Makampuni binafsi (VAT) nk. Na nguvu hii amepewa kisheria, hivyo jibu ni ndio, taasisi zingine zinaweza kukusanya kodi na kuiwasilisha TRA.Narudia Tena, umeelewa maana ya hicho kipengele ulichokitaja?
Kwahiyo TRA wanaweza kutolewa Kisha jukumu la kukusanya mapato/ Kodi likagawanywa Kwa taasisi zingine?
Ntapoteza muda mwingi sana. You are right sirNdio, na Nimekueleza nilichoelewa. TRA anapewa nguvu ya kutumia taasisi zingine kama Bank, Tanesco, Makampuni binafsi (VAT) nk. Na nguvu hii amepewa kisheria, hivyo jibu ni ndio, taasisi zingine zinaweza kukusanya kodi na kuiwasilisha TRA.
So hapo Nyumba Moja yenye mita 4 inalipishwa buku 8 huo ni uwizi sasaWote wanakatwa
Wanao lipa kodi Tanzania niwachache hatuna mfumo mzuri wa kodi kumbe jamii inatakiwa ibuni mfumo mzuri,(rafiki), wa kodi yaani wewe na mimi, mfano mimi ninaanga kwenye mfumo wa kukuza ama kuimalisha ujasiriamali, entrepreneurial ecosystemHiki ni nini serikali imefanya?
Yaani majukumu ya TRA wameyaingiza TANESCO ili iweje!
Kodi ya jengo, kodi ya ardhi ni miongoni mwa kodi za kizamani sana zilizopitwa na wakati kama ile kodi ya kichwa!
Ni utwana uliopitiliza kuendelea kukusanya kodi hii kibabe!
Sheria ziko wazi kabisa kwamba chombo kinachosimamia masuala ya kodi ni TRA!
Sasa inakuwaje mambo ya TRA yaingizwe TANESCO kama chombo cha kukusanya mapato?
Usahihi wa takwimu za makusanyo umezingatia vigezo gan kuchukua kodi kupitia LUKU?
Nachojua shirika la umeme Tanzania ni la kiserikali lakini pamoja na yote hayo! Bado haiondoi ukweli kwamba TANESCO ni taasisi ya kibiashara inauza na kusimamia umeme kwa wateja wake!
Sasa kama ni taasisi ya kibiashara kwanini ishirikishwe kwenye uzembe wa TRA?
Yaani kama tutaruhusu huu ujinga wa kila taasisi kutumia LUKU wananchi watakuwa na hali gani?
Haya Leo TRA wanakusanya kupitia LUKU, kesho manispaa naowaombe, keshokutwa NHC nao waombe, dawasco nao waombe!
Huyu mwananchi atakuwa na hali gani?
Kwanza kitendo cha TANESCO Kutumika kukusanya kodi TRA ni kutokuzingatia masharti waliyoyaweka kwa wateja wa umeme kupitia mkataba wa maombi;
Ukisoma masharti ya TANESCO kwenye fomu ya maombi ya umeme TANESCO! Hakuna kipengele hata kimoja palipoandikwa kwamba mteja Usipolipa kodi ya Jengo umeme hautanunulika!
Sasa kwanini Leo mteja anyimwe umeme TANESCO kisa anadaiwa kodi ya jengo?
Huku ni kwenda kinyume na mkataba wa biashara! Nashauri Kwa hili TANESCO tuwapeleke mahakama ya kibiashara kwa kutunyima wateja haki ya kupata umeme kinyume na utaratibu!
Napinga sana huu utaratibu wa TRA kukusanya kodi kupitia LUKU!
Kila mtu afanye kazi yake anayolipiwa nayo mshahara!
Kwamba hebu fikilia unyonyaji huu!
1.ukiwa na wapangaji kwenye jengo moja na kiwanja kimoja wote wanafyekwa kodi ya jengo!
2. Inamaana huu utaratibu kwa wanaotumia solar na majenereta hawalipi kodi
3. Wale ambao hawana umeme hawalipi kodi
4. Ukijenga Leo nyumba na kuweka umeme mwezi huu wa tano wanakutoza kodi kama mtu aliyejenga nyumba zamani!
5. Hakuna elimu yoyote iliyotolewa wananchi tunakutana na kodi kama surpplize pasipo kujipanga! (Usipolipa kodi ya TRA huna haki ya kupewa umeme na TANESCO! (Ebu fikilia mtu unadaiwa 180000 au 240000 usiku! Na usipolipa hupati umeme ajabu sana hili)
Haya yanatokea huko EWURA kuna taasisi inayosimamia walaji wa huduma za umeme imesinzia usingizi wa pono kusubilia mshahara wakati walipaswa hili zoezi watusemee wananchi!
Ebu someni hapa chini masharti ya TANESCO kuunganishiwa umeme kama kuna sehemu pameandikwa kwamba mtu asipokuwa na hela ya kodi ya jengo hataki kupata umeme!
Ardhi kaumba mungu bure, majengo yetu tunajenga kwa gharama ambazo kila vifaa tulivyojengea mlikata kodi!
Lakini Bado mnatufuatilia hadi kwenye LUKU ili iweje?
Nchi hii tatizo siyo walipa kodi, Bali tatizo kubwa ni wasimamizi wa kodi, kwasababu pesa zinapotea kwenye mambo yasiyo na tija
Mfano;
Kuna haja gani kuwa na mkuu wa wilaya/ mkoa awe mwenyekiti wa ulinzi na usalama wakati kuna ma OCD na RPC?
Wakuu wa wilaya na mikoa kila mwaka wananunuliwa mashangingi mapya, mishara na huduma ni nyingi kiasi gani?
Kwanini serikali wasingejikita kupitisha katiba ya kufuta hivyo vyeo ili kutuondolea KODI ZA KIPUUZI ambazo hazina tija kama hizi kodi za ardhi na majengo?
Pia soma
- KERO - Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya
- TRA: Hatuhusiki na ukusanyaji wa Kodi kupitia LUKU
View attachment 2615710
Hii nchi ijinga mwingi sana! Hii kodi sijawah kuilewa, tunaibiwa kindez sana yanHiki ni nini serikali imefanya?
Yaani majukumu ya TRA wameyaingiza TANESCO ili iweje!
Kodi ya jengo, kodi ya ardhi ni miongoni mwa kodi za kizamani sana zilizopitwa na wakati kama ile kodi ya kichwa!
Ni utwana uliopitiliza kuendelea kukusanya kodi hii kibabe!
Sheria ziko wazi kabisa kwamba chombo kinachosimamia masuala ya kodi ni TRA!
Sasa inakuwaje mambo ya TRA yaingizwe TANESCO kama chombo cha kukusanya mapato?
Usahihi wa takwimu za makusanyo umezingatia vigezo gan kuchukua kodi kupitia LUKU?
Nachojua shirika la umeme Tanzania ni la kiserikali lakini pamoja na yote hayo! Bado haiondoi ukweli kwamba TANESCO ni taasisi ya kibiashara inauza na kusimamia umeme kwa wateja wake!
Sasa kama ni taasisi ya kibiashara kwanini ishirikishwe kwenye uzembe wa TRA?
Yaani kama tutaruhusu huu ujinga wa kila taasisi kutumia LUKU wananchi watakuwa na hali gani?
Haya Leo TRA wanakusanya kupitia LUKU, kesho manispaa naowaombe, keshokutwa NHC nao waombe, dawasco nao waombe!
Huyu mwananchi atakuwa na hali gani?
Kwanza kitendo cha TANESCO Kutumika kukusanya kodi TRA ni kutokuzingatia masharti waliyoyaweka kwa wateja wa umeme kupitia mkataba wa maombi;
Ukisoma masharti ya TANESCO kwenye fomu ya maombi ya umeme TANESCO! Hakuna kipengele hata kimoja palipoandikwa kwamba mteja Usipolipa kodi ya Jengo umeme hautanunulika!
Sasa kwanini Leo mteja anyimwe umeme TANESCO kisa anadaiwa kodi ya jengo?
Huku ni kwenda kinyume na mkataba wa biashara! Nashauri Kwa hili TANESCO tuwapeleke mahakama ya kibiashara kwa kutunyima wateja haki ya kupata umeme kinyume na utaratibu!
Napinga sana huu utaratibu wa TRA kukusanya kodi kupitia LUKU!
Kila mtu afanye kazi yake anayolipiwa nayo mshahara!
Kwamba hebu fikilia unyonyaji huu!
1.ukiwa na wapangaji kwenye jengo moja na kiwanja kimoja wote wanafyekwa kodi ya jengo!
2. Inamaana huu utaratibu kwa wanaotumia solar na majenereta hawalipi kodi
3. Wale ambao hawana umeme hawalipi kodi
4. Ukijenga Leo nyumba na kuweka umeme mwezi huu wa tano wanakutoza kodi kama mtu aliyejenga nyumba zamani!
5. Hakuna elimu yoyote iliyotolewa wananchi tunakutana na kodi kama surpplize pasipo kujipanga! (Usipolipa kodi ya TRA huna haki ya kupewa umeme na TANESCO! (Ebu fikilia mtu unadaiwa 180000 au 240000 usiku! Na usipolipa hupati umeme ajabu sana hili)
Haya yanatokea huko EWURA kuna taasisi inayosimamia walaji wa huduma za umeme imesinzia usingizi wa pono kusubilia mshahara wakati walipaswa hili zoezi watusemee wananchi!
Ebu someni hapa chini masharti ya TANESCO kuunganishiwa umeme kama kuna sehemu pameandikwa kwamba mtu asipokuwa na hela ya kodi ya jengo hataki kupata umeme!
Ardhi kaumba mungu bure, majengo yetu tunajenga kwa gharama ambazo kila vifaa tulivyojengea mlikata kodi!
Lakini Bado mnatufuatilia hadi kwenye LUKU ili iweje?
Nchi hii tatizo siyo walipa kodi, Bali tatizo kubwa ni wasimamizi wa kodi, kwasababu pesa zinapotea kwenye mambo yasiyo na tija
Mfano;
Kuna haja gani kuwa na mkuu wa wilaya/ mkoa awe mwenyekiti wa ulinzi na usalama wakati kuna ma OCD na RPC?
Wakuu wa wilaya na mikoa kila mwaka wananunuliwa mashangingi mapya, mishara na huduma ni nyingi kiasi gani?
Kwanini serikali wasingejikita kupitisha katiba ya kufuta hivyo vyeo ili kutuondolea KODI ZA KIPUUZI ambazo hazina tija kama hizi kodi za ardhi na majengo?
Pia soma
- KERO - Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya
- TRA: Hatuhusiki na ukusanyaji wa Kodi kupitia LUKU
View attachment 2615710
Kura yako haithaminiwi, bao la mkono linawapa jeuri wenye mpiniOktoba 2025 haiko mbali!
YesSo hapo Nyumba Moja yenye mita 4 inalipishwa buku 8 huo ni uwizi sasa