Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Kwa takribani wiki mbili wakazi wa Kimara mpaka mbezi wanaishi pasi na umeme kila siku kwa zaidi ya masaa 12 bila ya taarifa yotote.
TANESCO kila inapofika saa 4 asubuhi wanakata umeme na hurudi saa 5 Usiku. Kama kuna mgao waelezeni wananchi wafahamu kuliko huu ujinga mnaoufanya.
Taarifa iwafikie TANESCO na tunataka majibu ya haraka juu ya hili jambo.
Pia soma: KERO - Tanesco Mkoa wa Kinondoni Kusini- Kimara/Kibamba
TANESCO kila inapofika saa 4 asubuhi wanakata umeme na hurudi saa 5 Usiku. Kama kuna mgao waelezeni wananchi wafahamu kuliko huu ujinga mnaoufanya.
Taarifa iwafikie TANESCO na tunataka majibu ya haraka juu ya hili jambo.
Pia soma: KERO - Tanesco Mkoa wa Kinondoni Kusini- Kimara/Kibamba